Vodacom Tanzania
Official Account
- Aug 12, 2013
- 324
- 126
- Thread starter
-
- #1,881
Vifurushi vimefanyiwa maboresho ambapo dakika zimeongezwa katika kifurushi kipya cha Tsh 999 kikiwa na 100MB.Hivi kutoka bundke ya MB 100 mpaka MB 10 ni sawa kweli? Vodacom Tanzania
Vodacom disappointed me so much
Mfa maji ni kwa kipindi gani umekuwa ukipata tatizo hili tafadhali.
Ni kwanini mnafadhiri blogs ambazo hazina maadili, zimejaa matusi na mambo mengi yasiyo mazuri kwa jamii yetu mfano u-turn blog inayomilikiwa na mange kimambi? Mnatudharirisha sisi wateja wenu, fedha zetu tunazowachangia mnaenda kufadhiri matusi huko ni kukoseana adabu. jaribu kuangalia upya sera zenu na vigezo vyenu mnapokuwa mnafadhiri hizo blogs.
Nasoma blog nyingi lakini nadhani yuke dada akili yake si nzuri ni aibu kwa kampuni kama Voda kudhamini upuuzi ule, lakini wanajua wenyewe vigezo wanavyotumia lakini ni aibu.
Alipata sponsorship ya Vodacm kupitia uswahiba wake na Mwamvita Makamba.
Nchi hii haijarishi unajuwa nini bali unamjuwa nani?
Line ya Vodacom nimeshaitupa chooni mpaka wajirekebishe ndio nitafikiria kurudi.
Tunaomba sample numbers tafadhali na namba yako ya simu kwa msaada zaidi.Nime note shida hii kwa takriban week 2 mfululizo kwa mwezi huu wa Nov. Simu za Airtel na Tigo naambiwa mtumiaji hapatikani. Nikipiga kwa Airtel nampata
Habari Samwel, tafadhali tutumie namba yako ya simu PM na muamala husika kwa msaada zaidi. PoleAisee Vodacom Tanzania kuna tatzo mfano mimi nilituma pesa yangu kutoka accounti yangu m.pesa kwenda bank ya posta siku ya jumamos saa moja na dk14 jion m.pesa wakadhibitisha kua pesa imeenda bank maajabu mpaka sasa pesa haijafika bank napiga custurmer care kila mmoja na jibu lake kiukweli vodacom mmenikera mno.
Habari Samwel, tafadhali tutumie namba yako ya simu PM na muamala husika kwa msaada zaidi. Pole
Jamani mtandao wenu siuelewi ata kidogo, nikijiunga kwenye kifurushi then nikiitaji kuconnet kwenye internet inaonekana ipo lakini haiconnect ata kidogo na kifurushi kinakwisha sijui ni kwanini.
Vodacom Tanzania..
Hivi wateja wenu wa Internet tumewakosea nini????
Naona mmeamua kupunguza MB kwenye vifurushi vyenu...
Mf. Kifurushi chs T.shs. 899/=..
Baada ya kupunguza
.......................................
Hongera!Umenunua dakika 18 za kupiga mitandao yote,SMS 500 mitandao yote TZ na 10MB zitumike hadi 2014-11-18.Piga *147# kujua salio.
Kabla ya kupunguza
Hongera!Umenunua dakika 18 za kupiga mitandao yote,SMS 500 mitandao yote TZ na 100MB zitumike hadi 2014-11-14.Piga *147# kujua salio.
NB;
Mmepunguza kwa 90%....