Vodacom Tanzania..
Hivi wateja wenu wa Internet tumewakosea nini????
Naona mmeamua kupunguza MB kwenye vifurushi vyenu...
Mf. Kifurushi chs T.shs. 899/=..
Baada ya kupunguza
.......................................
Hongera!Umenunua dakika 18 za kupiga mitandao yote,SMS 500 mitandao yote TZ na 10MB zitumike hadi 2014-11-18.Piga *147# kujua salio.
Kabla ya kupunguza
Hongera!Umenunua dakika 18 za kupiga mitandao yote,SMS 500 mitandao yote TZ na 100MB zitumike hadi 2014-11-14.Piga *147# kujua salio.
NB;
Mmepunguza kwa 90%....