Hawa hovyo sana... wanazani hatuna line zingine tena wengine wana bundle nzuri tu... mm MB 50 znanisaidia nn... wakati mitandao mingine naweza nkapata MB 120 kwa hiyo hela kwann nihangaike kununua vocha ya voda... voda wanakera sana...
Habari Dragondreamx, tafadhali tusaidie namba ya simu tuweze kufuatilia suala hili na tupeane msaada kuhusu tatizo la Intaneti.Vodacom mi mpaka nime wahama .....yaani naweka vocha sipigi simu wala situmi sms
Wala siperuz nokia 1200tochi
Ila pesa inapungua 100tzs kila baada ya masaa matatu
Kama mimi muongo yeyote aliyeko arusha achunguze.....
.....kingine kifurushi cha kuongea kinajihesabu speeed ya ajabu.....yaani
Nlijiunga
Tigo dakika 20 na voda dakika 20
Nikachukua simu zote mbili nikazipiga kuzifanyia majaribio...
Yaani tigo ipo dakika ya 16:37
Voda ilishamaliza dakika zote
Acheni wizi.....
......kingine internet yenu kwa sasa ni mbovu tz nzima....tuboresheeni ongezeni minara mijini.....
Kwa sasa ni hayo tuu ila yapo mengi mno
Vodacom mmepunguza sana vifurushi vya Internet. Kama mnajali wateja wenu mliangalie hilo. Yaani imekuwa gharama kubwa sana kuwa na kifurushi cha kutosheleza matumizi binafsi ya Internet kwa wiki kwa mwezi.
Ziro kabisa vodacom pesa yangu mmetapeli yaani aisee natuma pesa bank mnajisevia mfukoni??watanzania wenzangu tuogopeni hii mitandao km ukoma tena kwenye kutuma pesa au kutoa pesa kupitia m.pesa ni patapotea!!
Habari Samwel, pesa yako haijapotea ipo mahali salama, hali hii inarekebishwa.
Habari Samwel, pesa yako haijapotea ipo mahali salama, hali hii inarekebishwa.
Habari ndugu mteja, kwa sasa vifurushi vya Intaneti vimepunguzwa gharama kuliko ambavyo ilikuwa kabla, Kwa Tsh 6000 unapata kifurushi cha siku 7 bila mpaka wa matumizi. Kwa wenye matumizi makubwa kuna kifurushi cha Tsh 30,000 kwa 20GB na cha elfu 20,000 bila mpaka mwezi mzima.
Vodacom naomba mnisaidie Salio langu linaisha bila kujua hatakama sijapiga sim mfano Jana nilikuwa na 4700 Leo sijaiona nimepiga customer care simu yangu haiunganishwi, what the hell happened?