Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,602
- 5,809
Hawa hovyo sana... wanazani hatuna line zingine tena wengine wana bundle nzuri tu... mm MB 50 znanisaidia nn... wakati mitandao mingine naweza nkapata MB 120 kwa hiyo hela kwann nihangaike kununua vocha ya voda... voda wanakera sana...
Hawa jamaa walianza kwa kupunguza dk... Mf. t.sh 14,000 ilikuwa unapata dk 600 za kupiga mitandao yote kwa siku 30.. Wameshusha hadi dk 230....
Huu ni uhuni wa wazi wazi.