Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,757
- 2,368
Nashukuru kwa sahihisho, nilimaanisha MBps
Mkuu unatumia Optic fiber?
Wala haukukosea unapata 5Mbps kweli...maana 5MB/sec(42Mbps) hapa bongo hamna ISP anaiachia kiulaini hiyo...smile wenyewe wakipanda sana 3MB/sec