Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora umeliona hilo Hawaii jamaa wanna gharama kubwa kuliko mtandao wowote,hawana lolote hao
Mkuu hongera kwa uvumilivu, wengine tulishahama kitambo sana baada ya kujibiwa kwa kebehi na jeuri kwenye hizo wanaita huduma kwa wateja. Niko huru kwa sasa.
nimekuwa mteja wako kwa muda mrefu sana lakini sasa naona ni muda mwafaka kukuhama..
mimi ni mtanzania ambae ninataka mtandao wenye garama nafuu za mawasiliano..
lakini hata kama nimekuwa mteja wako hujanifunga kiasi cha kuendelea kuung'ang'ania wakati naona kuna uhuru kwingineko..
1.siku hizi kupiga simu voda huduma kwa wateja UNALIPIA.. UJINGA HUU.. mbaya zaidi wahudumu wanabaki kukupiga bla blaaa na kukata simu bila kupata huduma inavyostahili na ukirudia kupiga unalipia tena na tenaaa..
2. Huduma ya m-pesa imebaki kuwa juu kuliko mtandao mwingine hapa tz kama airtel money na tigo pesa.
3. huduma za cheka bombastick zimepanda bei hasa ya kupiga mitandao mingine.. MNAKAZANA KULETA HUDUMA ZISIZO NA MASHIKO KAMA CHEKA ZOGO YA KUPIGA VODA KWENDA VODA. hupati sms wala mb za internet ukiwa na cheka zogo.. huu ni usen........ na mtapigwa bao huku mkijifanya mtandao unaoongoza tz
mitandao mingine kama airtel wameleta hadi vocha za extreem tu mfano sh 500 unapata dk 15 mitandao yote MB na sms kibao.. NITAWAACHA
CHA KUFANYA HAPA NI KUBORESHA HUDUMA VINGINEVYO KAZI ITAKUWA KWANGU KUONDOKA KWENDA KWENYE MITANDAO YENYE HUDUMA NAFUU..
dahh.. wanaboa sana mkuu.. bt inafika mahali uvumilivu mtu unamshinda..
Usipoanza wewe nawahama yaani hawajifunzi kwa tigo...airtel na zantel...wamekalia kusema mitaani nafanya kazi voda na kula pesa za wizi tu kutoka kwa wateja wao...
Kuna mmoja alitoa wazo kwenye page yao ya facebook kwamba kwenye menu yao ya *149*01# waweke muamala wa kurudi nyuma kama mteja kagundua kakosea wateja wanazidi kutoa maoni wao wamekaa kimya nina ndugu zangu wawili wamehamia tigo na airtel..mda si mreu nawafuata nyie wadai.Voda nimechoka nao nimechoka nimechokaaa
Mimi walikula fedha yangu halali ya Tanzania ya shilingi elfu tano kimaajabu ajabu, nikawapigia huduma kwa wateja kwa ile namba yao ya kulipia, majibu yao eti niwapigie baada ya saa 24, nikafanya hivyo lakini majibu yaleyale. Sikuona tabu kukavunjilia mbali ka kadi kao na kukubali kula hasara ya kiasi hicho. Sasa hakuna msongo tena, ni uhuru wa kujiachia utakavyo.
nakuja mkuu.. niko njiani.. nimeshaweka mikakati ya kutosha ambayo hayataniathiri nitakapohamia kwingine dhidi ya marafiki zangu.
Karibu sana mitandao yenye nidhamu kwa wateja, huko voda ni majanga matupu.
Mie line yangu voda iko hewani lakini inaenda mwezi sijaweka vocha ni mwendo wa kupokea simu tuk kama simu ya mezani!