Jicho la Tai
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 1,450
- 600
duh...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ilichoandika ni copy & paste ya kilichompata shemeji yangu. Laini ya tigo kaitumia zaidi ya miaka 6, then tigo wakamsajilia namba hiyo hiyo mtu mwingine.sio voda tu mume wangu ametumia tigo line long time kama sio 6/7 years juzi imeanza kupoteza network mara haisomi
kwenda tigo shop wanasema sio line yake akawauliza ya nani wakasema ni ya mtu anaitwa ELIZABE
akawatupia line yao akaondoka akahamia kwingine
hawa voda ,tigo ,zantel na airtel hawajui kuwa kuna
viettel na Smart wamekuja wameshajiona sana subirini
Kuna tatzo jingine zaid hata ya hili. wafanyakazi wa customer care nao ni janga. Unaripoti tatizo lakini jibu utakalopewa hata mtu wa mtaani hatoi jibu kama hilo
Gefu katika usajili namba hiyo ni ya mteja mwingine kwa sasa, hamuitumii bali ipo katika nyaraka zenu, ingekuwa vyema kama kijana wako angewafahamisha watu aliokuwa anawasiliana nao kuwa kwa sasa hatumii tena namba hiyo nanyi mna jukumu la kubadilisha(update) namba katika taarifa zenu muhimu na nyeti ili kuepuka na hasara inayoweza kujitokeza....asante kwa mrejesho, namba hii bado tunaitumia na ipo kwenye taarifa zetu nyeti na muhimu, mara ya mwisho ametumiwa fedha kiasi cha Tzs 150,000/= na huyo mteja wenu kaulizwa wewe ni fulani akakubali wakati anajua si yeye. so akatuibia fedha hiyo, nitawasilisha malalamiko yangu kwa maandishi TCRA....
Habari bahati, tumekutumia PM kwa msaada zaidi. Ahsante
Voda mmezidi nimewahi kuweka salio 500 naunga bundle wananiambia sina salio la kutosha na wala aikuwa nimekopa arrrrghhh
Up to now you it use vodacom ? You am not know Tigo or Airtel. Why it waste time with useless network Voda ? Me it not break break voda line only. it break break and burn and flash the ashes in toilet.
Voda is much uselessful. I am recommend Tigo for you.
Up to now you it use vodacom ? You am not know Tigo or Airtel. Why it waste time with useless network Voda ? Me it not break break voda line only. it break break and burn and flash the ashes in toilet.
Voda is much uselessful. I am recommend Tigo for you.
Sijaelewa kabisa hii lugha ya malkia
Up to now you it use vodacom ? You am not know Tigo or Airtel. Why it waste time with useless network Voda ? Me it not break break voda line only. it break break and burn and flash the ashes in toilet.
Voda is much uselessful. I am recommend Tigo for you.
Mkuu voda nijanga zaidii
Kwa nini mkuu mbona ndio wanaoenda high school mpaka vyuoni hao.cc Elli.
Mhhhh!!basi huko vyuo kazi ipo
Up to now you it use vodacom ? You am not know Tigo or Airtel. Why it waste time with useless network Voda ? Me it not break break voda line only. it break break and burn and flash the ashes in toilet.
Voda is much uselessful. I am recommend Tigo for you.