MSIMISEKI SENIOR
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 459
- 287
Hivi vodacom mkijifunza na kuiga kwa wenzenu wa airtel mtafilisika? Kwa nini msitoe taarifa ya salio la kifurushi kila baada ya kupiga simu? Ninawapenda lakini mnaniboa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna ujumbe huu unaosambaa:
Jamani, nawaomba hiyo namba msipokee had sasa imeuwa watu wawili 0766601665 halafu ukiangalia kwenye m pesa jina linakuja MUNGU SHETANI tafadhari nakuomba watumie wote kwenye sim yako okoa roho za watu kikubwa tukazane maomb asante. NIMEITUMA KAMA NILIVYOTUMIWA.
Na mimi nimeiandika kama ilivyo kwenye inbox exactly, tusaidieni hapa jamani, hiki ni nini?
Jana nimeweka vocha ya mia 5 ili kujiunga na cheka, matokeo yake kila nikijiunga mnasema sina salio la kutosha nikirudi kwenye account yangu mia 5 ipo pale pale matokeo yake baada ya muda ela ikatumika bila kuunga bundle na hili tatizo limekuwa la kujirudia rudia mara kwa mara, hebu jaribuni kuboresha system zenu jamani tupata hasara
Ndugu mteja,
Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:
- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.
Karibu
Vodacom Tanzania
Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.
Eti kazi ni kwetu