Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Habarini JF.
Haya ya Vodacom Tanzania yamekuwa too much now.
Wamepunguza MB toka MB 130 na MB 20 za bure za msimu wa sikukuu.
Kwa MB70 na MB50 za bure za msimu wa sikukuu.
Achana na Vodacom Tanzania.
Hamia @Mitandao mingine Vodacom Tanzania is pending now I'm unlike this network. It's over!!
6dfa5b5a610171182f02c6764a6ced86.jpg

53e1ac66c673592239126dff806941e7.jpg
 
Naona hata Halotel pia wamepunguza MB's from 250 mpaka 200 kwa shs. 499
 
Vodacom ni wasenge kulko mitandao mingine hata ukiunga wanakula mb kma andazi
 
Ndugu mteja,

Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu?

Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi.

Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya:

- Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k)
- Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe)
- Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani?
- Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza
- Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako.

Karibu

Vodacom Tanzania
Mimi tarehe 04/01/2017 nilinunua salio la MPESA na kujiunga na bundle ya mwezi ya T.shs, 30,000/= ambayo ni 10GB kwa mwezi lakini bundle hiyo haikuwa updated kwenye akaunti yangu. kwakuwa nilinunua bundle hiyo kupitia MPESA moja kwa moja badala ya kununua salio kwanza, nilijaribu kuwapigia huduma kwa wateja (upande wa huduma za MPESA) mara tatu lakini mara zote walinijibu wanafanyia kazi na nitapata majibu ndani ya masaa 24. mpaka hapa ninapoandika ujumbe huu sijapata majibu toka vodacom. naomba kama inawezekana jambo hilo lipatiwe ufumbuzi.

Pia, huduma zenu za 4G ni nzuri sana lakini kwa bahati mbaya zinapatikana Dar es salaam tu. hii hupelekea sisi tunaosafiri mara kwa mara kukosa huduma hii tukiwa nje ya Dar.

naomba kuwasilisha
 
Mmepunguza tena bando za internet.punguzeni hadi ifike moja.tutawaachia kumtandao chenu
 
Naona hata Halotel pia wamepunguza MB's from 250 mpaka 200 kwa shs. 499
Mm mshangao wangu ni pale wanapopunguza wote kwa wakati mmoja.wapuuzi wanakaa pamoja wanapanga kutunyonya shenz kabisa ushindani uko wapi??????
 
Back
Top Bottom