Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

Nyumbani ndo mpango mzima tafuta line ya mwanachuo na hautajuta
 
wanaboa kweli yan last week nilijiunga cha buku 2 nikapata MB50024 nikanogewa kwelii asaa jana nataka nijiunge tena eti hakipo kipo cha buku unapata MB1024 nili laaaaani ila nilifurahi kishingo upande maaamae zao asa kwa nn wanaweka for some few days tu, watu wanataka freedom of data.
 
Nyumbani ndo mpango mzima tafuta line ya mwanachuo na hautajuta
Kweli ndugu yan nna credit ya elfu10 TTCL toka 2012 haijaexpire bado nasuiri line ya chuo niogelee hizo JB za kutosha.
 
wanaboa kweli yan last week nilijiunga cha buku 2 nikapata MB50024 nikanogewa kwelii asaa jana nataka nijiunge tena eti hakipo kipo cha buku unapata MB1024 nili laaaaani ila nilifurahi kishingo upande maaamae zao asa kwa nn wanaweka for some few days tu, watu wanataka freedom of data.
Hata mimi wamenikera kweli nilikuwa napata GB 5 ck 30 kwa2000 now wamenibadilishia hawa machoko Vodacom Tanzania
 
Wanachonishangaza mimi eti namba ya voda isiyotumika mara kwa mara ina ofa nzuri ya kwako kkuliko namba inayotumika mara kwa mara.
 
Kuna janja janya nyingi vodacom imekuwa ikiifanya na tumekuwa tukiwanyamazia sana. Sasa naona mmezid mnataka kutupanda kichwani.

Jana kifurush changu cha sms cha mwezi ambacho nilinunua kwa 1500 kiliisha. Nikaamua kununua kingine. Wakati nanunua nikapata mshangao kukuta bei imepanda kutoka 1500 had 2000. Ila kulikuwa na addition ya data ya instagram.

Screenshot_20180506-005811_Phone.jpg


Bac ikanibidi ninunue ivyo ivyo koz kuna addition ya kutumia instagram bure.

Cha kushangaza baada ya kununua kifurushi, message inasema kama ifuatavyo na hakuna walipotaja mambo ya instagram.
Screenshot_20180506-005825_Messages.jpg


Sikuamin nilichokion nikabidi nihakikishe kwa kufungua insta na kukuta ni kweli nimetapeliwa na vodacom.

Sasa kesho mimi nitadeal na nyie mpaka kieleweke. Hizi ni dharau.

Mnaleta mabundle ya kuibia watu tu apa. Leo mnamlazimisha mtu anunue bundle la sms na instagram , mnadhan kila mtu anasmartphone?
 
unajichanganya mwenyewe tu kwenye kununua voda wako vizuri sana kwenye vifurushi na vinabadilika kila siku kama vile ya kwako tu
 
Mimi niliwahama tangu 2016.
Hawako serious kama kampuni zingine.
Ndiyo kunawezekana kuna ongezeko la being, ni bora wakasema ukweli tu bila kutoa ahadi hewa kama some politicians.

Mimi simu yangu walichukua wezi, nikaenda kurenew, sasa ile line yangu ilikuwa special kwa miamala tu kwa kuwa ninazo lines zingine kwa ajili ya calls na zingine kwa ajili ya data.

Kufika pale natakiwa nitaje number tano za simu nilizopiga recently.... Nikajibu hii line huwa ni kwa ajili ya kufanyia miamala tu, wakasema wanataka namba nilizopiga na sio lingine....nijaribu kuwaeleza kila muamala niliofanya na salio lilikuwa some 72000 lakini wapi....nikaona isiwe tabu, nikaachana nao from that day.
 
Nimeona uhuni wao kwenye units, kwamba unit 1 sawasawa na dak 1 voda kwenda voda na units 5 sawa sawa na dak 1 kwenda mitandao mingine, mb 1 sawasawa na unit 1 pia...nilichokishuhudia jana sina hamu, ukipiga ukaongea hata sekunde tano unit haipo, washa data ya simu tumia internet hata kwa dak 1 utakuta units karib ya 20 hazipo wakat mtandao wenyewe ni Edge na si 3G wala 4G.
 
Ukanjanja wameuanza muda and now nipo na zain nafaidi vifurushi vyao vya mb za kutosha shida yao ni kasi ndogo tu waliyonayo.
 
Me na furahia mtandao supa Deilee GB1 Mchna + GB1 Usiku kwa 1500
 
Miye yamenikuta pia kwa line ya 4g. Nilikuwa na 3g nikataka line ya 4g . Nikanunua kwa mbwembwe hiyo 4g cha ajabu no changes, bado inasoma 4g wkt kasha lao limeandikwa 3g. Simu yangu inasupport 4g cause kabla ya kuweka voda nilikuwa natumia line ya nchi fulani Ulaya, ilikuwa inasoma na display kwenye screen. Najiuliza kwa nn watuibie? Na nilivyowabana wahudumu na maboss wao wakawa hawana la kusema mbali na kushangaa cm yanguuuu utadhani hawajawahi ona km hiyo. Nikagundua pia wahudumu wengi hawana ujuzi na mitandao, wapo tu ilimradi kupiga pesa za wateja. Nikalizwa pesa yangu ya kununua line isiyokuwa na impact........hivi nyie voda mnayajua haya ?
 
Back
Top Bottom