Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Voda mozafantaz mnazingua kimaku acheni uwaki mmenichefua kiduanzi mbayaaa yanii kesho nawapiga chini mapema asubuhi na songesha yenu silipi. MOFOS..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu mteja, Una tatizo lolote unapotumia mtandao wetu? Una ushauri wowote ili tuiboreshe huduma yetu? Tafadhali itumie mada (thread) hii ili tukusaidie kwa urahisi. Unapokuwa na tatizo, ili tukusaidie kirahisi zingatia haya: - Ni tatizo gani? (M-PESA, SMS, Calls, Internet, usajili, kukatika kwa mawasiliano n.k) - Maeneo gani? (Tukifahamu location, inakuwa rahisi kukuelekeza wapi uende ili upate physical assitance toka kwa vendor wetu aliye karibu nawe) - Tatizo limeanza lini na limejirudia au kuendelea kuwa kero kwako kwa muda gani? - Kama ni ushauri, zingatia ya juu lakini tutafurahi tukijua kwanini unapendekeza unachopendekeza - Kama ni pongezi, zingatia ya juu na tungependa pia upendekeze lipi tufanye kuzidi kuiboresha huduma kwako. Karibu Vodacom Tanzania
Unajua nini maana ya kiherehere my dia Joanah?Ungehama tu kimya kimya,umuhimu wa kuanzisha uzi haukuwepo
Alisikika manager masoko voda
We nichane tu dia babu...kwamba niache kiherehereUnajua nini maana ya kiherehere my dia Joanah?
Oh sorry my dia mjukuu. Sikujua wewe ndo umehama voda ukaja kuanzisha uzi kwa kiherehere... nisamehe my dia honeyWe nichane tu dia babu...kwamba niache kiherehere
Oh sorry my dia mjukuu. Sikujua wewe ndo umehama voda ukaja kuanzisha uzi kwa kiherehere... nisamehe my dia honey
Nlitaka nikutumie wewe kufikisha ujumbe my dia. Huoni ujumbe ulivyofika vizuri?Tatizo unazunguka sana dia babu,mwambie basi mleta mada aache kiherehere....kwamba kama anahama ahame kimya kimya