Mbavu za Mbwa
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 303
- 154
shida iko wapi mkuu umepata 180,000 yako imenyooka na mtaji wako upo pale pale Unapata hasara gani kwani? labda unambie hasara uliyopata kwa wewe kulipwa hyo 180kBiashara ya kibumbavu Sana. Voda ukipata kamisheni ya 200,000 wanakukata kodi ya 19,819.9. Unabaki Na 180,180.1
Asante kwa kushukuru mkuu.Nimekuelewa sana aisee!! Umeandika kwa uchungu lakini kwa msisitizo mkubwa.
Asante sana
Haha mkuu umeuaKamisheni zenyewe za kipumbavu sana. Yaani mtu anatoa laki mbili yeye anakatwa elfu 5 af wewe wakala unaambulia mia sita. Huo si Ugolo? yaani hamna biashara ya kijinga kama uwakala huu. Kwa jicho LA nje watu wanaona kama ni biashara nzuri ila ukiingia ni upuuzi tu. Kuna watu ndio wanafaidi kama wakala mkuu na voda wenyewe ila we unaepingwa jua na kuzungufusha pesa yako ni njaa tu. Unapewa mpaka sh 100 kwa muamala wa elf 10? Ndio maana Mzee wakala hapo juu anawenge anaulizia kamisheni saa moja asubuhi ya tar 1 as if tar 1 imaisha bila kupewa hyo kamisheni ya elf 43 kwa mwezi.
Karibu tu-BETUmenena, nilifanya hii biashara nikaajiri mtu. Kuna siku nikaamua kuchukua kitabu cha miamala na kupiga hesabu kujua anayefaidi zaidi ni nani kati yangu na voda. Nilijiona ni kibarua tu. Niliwauzia wanaohitaji kuwa vibarua. Sio biashara hiyo
MJINI WATU WANATUMIA AKILI TU,NGUVU ZINATUMIKA MASHAMBANI HUKO.Nashukuru kujua tupo wengi....!!mimi nna wateja wangu nnaowajua ndo hua nawafanyia hvyo....!!na sifanyagi kwa mtu nisiyemjua
Sina namba ya wakala ila natoa pesa mitandao yote
Safiiiiii nimekubaliHuo ujinga sifanyi.
Mteja akitaka kutoa elfu 10 makato ni 1400
Natuma 11000 kwenye simu yangu yeye atakatwa 310.
Napata 1,000 iliyosimama.
Habari ya mwisho wa mwezi sina.
Ila hii ni riski
nakuwekea number pm utapiga nikupe maelezo kuandika kazi sana mkuu na niko busy!magode,
Kama wakala mkuu anachukua asilimia 20% ya malipo yako, je! waweza kunifahamisha ni kiasi gani wewe "M-pesa/Tigo-pesa Marchant" unapata (percentage-wise) kutokana na fedha uliyozalisha kwenye miamala uliyofanya kwa mwezi husika.