Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Hii ya serikali kumkataa Mkenya na kumkubali Mmisri sijaikubali kabisa... waarabu sio watu. Wabaguzi sanaView attachment 1055046

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo hamna Mtanzania mwenye sifa za kuchukua nafasi hiyo paka walete mwaarabu.......unakata mwana Africa mashariki mkenya unaleta mwaarabu.....hiyo ndotatizo la nchi ambazo hazinaga sera maalumu ya nchi za nje(clear foreign policy) nchi inaendesha kwa matakua ya viongozi wa siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo hizi kazi kubwa haziwafai wanalewa madaraka haraka sana utasikia huu mkutano wa cuf nimeuzuia
 
Issue sio kwamba kampuni ni yetu au sio yetu bali ni kampuni inayofanya kazi Tanzania! Bila kujali inamilikiwa na nani, huwezi kupuuza ajira walizonazo Watanzania kutoka Vodacom! Huwezi kupuuza kodi inayolipwa na Vodacom!!! Huwezi kupuuza biashara kadhaa zinazotokana na uwepo wa Vodacom! Lakini kubwa zaidi, huwezi kupuuza kwamba Vodacom ipo listed Dar es salaam Stock Exchange na kwahiyo kuna maelfu ya Watanzania wenye hisa zao Vodacom kupitia 25% ya hisa ambazo ziliingizwa sokoni!

Lakini pamoja na hayo, Rostam Aziz alikuwa anamiliki zaidi ya 25% ya hisa za Vodacom ambazo iliripotiwa aliziuza au yupo njiani kuziuza baada ya kukubaliwa na mamlaka! You never know, labda mnunuzi au wanunuzi wa hizo 25+% ya hisa za Rostam ni pamoja na Watanzania!!!

So, kampuni kama hiyo huwezi kusema awe Mkenya au Mzulu, it doesn't matter kwa sababu Vodacom ni ya SA!!!
Wrong Vodacom SA is also owned by Vodafone UK!
 
Issue sio kwamba kampuni ni yetu au sio yetu bali ni kampuni inayofanya kazi Tanzania! Bila kujali inamilikiwa na nani, huwezi kupuuza ajira walizonazo Watanzania kutoka Vodacom! Huwezi kupuuza kodi inayolipwa na Vodacom!!! Huwezi kupuuza biashara kadhaa zinazotokana na uwepo wa Vodacom! Lakini kubwa zaidi, huwezi kupuuza kwamba Vodacom ipo listed Dar es salaam Stock Exchange na kwahiyo kuna maelfu ya Watanzania wenye hisa zao Vodacom kupitia 25% ya hisa ambazo ziliingizwa sokoni!

Lakini pamoja na hayo, Rostam Aziz alikuwa anamiliki zaidi ya 25% ya hisa za Vodacom ambazo iliripotiwa aliziuza au yupo njiani kuziuza baada ya kukubaliwa na mamlaka! You never know, labda mnunuzi au wanunuzi wa hizo 25+% ya hisa za Rostam ni pamoja na Watanzania!!!

So, kampuni kama hiyo huwezi kusema awe Mkenya au Mzulu, it doesn't matter kwa sababu Vodacom ni ya SA!!!
Jamaa aliposema kuwa Vodacom Tz si Wabongo ni ya SA nilidhani sijui biashara maanake nakumbuka wabongo akiwemo uliemtaja wana shares kubwa tu.
 
Yani kwao ni bora mmisri kuliko Mchaga mtanzania mwenzako. Kwasababu iyo nafasi walishaona hamna mtanzania mwengine mwenye vigezo ispokuwa Mchaga tuu. Wakaamua kumchukua mwarabu wawe na amani.
 
Mbona watanzani hao hao tukiwa nje tunafanya vizuri, kwanini hawakumtafuta mtanzani wa hapo hapo nyumbani kuendesha hiyo kampuni? Haya mambo ya infiriority complex yananiudhi sana.

Watanzania tunaweza - JPM
 
Mbona watanzani hao hao tukiwa nje tunafanya vizuri, kwanini hawakumtafuta mtanzani wa hapo hapo nyumbani kuendesha hiyo kampuni? Haya mambo ya infiriority complex yananiudhi sana.

Watanzania tunaweza - JPM
Tatizo watz Wengi janja janja nyingi, ila hapa kwa mmisri tumeingia mkenge maana hawa jamaa wametushinda hata sisi kwa udokozi.
 
Kwahiyo hamna Mtanzania mwenye sifa za kuchukua nafasi hiyo paka walete mwaarabu.......unakata mwana Africa mashariki mkenya unaleta mwaarabu.....hiyo ndotatizo la nchi ambazo hazinaga sera maalumu ya nchi za nje(clear foreign policy) nchi inaendesha kwa matakua ya viongozi wa siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ali Mafuruki mwenyewe alisema hakuna mtanzania anayeweza kuongoza kampuni kama VODACOM. Katika hili tumuunge mkono. Kuna watanzania wamo VODACOM tangu imeanzishwa yaani wana miaka 19 sasa ndani ya VODACOM.

Hawa wana kazi ya kutueleza VODACOM waliitumia vipi kukuza ujuzi wao kuiongoza. Je walipanda (ku-grow) kimaisha au walipnada kiujuzi.
 
Tatizo watz Wengi janja janja nyingi, ila hapa kwa mmisri tumeingia mkenge maana hawa jamaa wametushinda hata sisi kwa udokozi.


Na ndicho kilichwaangusha watanzania waliowahi kufanya kazi VODACOM. Ujanja-ujanja mwingi. Wengine wake zao wakaishia kuvua nguo hadharani.
 
Back
Top Bottom