Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Vodacom Tanzania yapata CEO Mpya, Hisham Hendi raia wa Misri

Mjadala ulishafungwa,

Njoo huku uone wenzako walileta hoja ya uzawa tulivyowagaragaza.

Mnamo mwezi wa tisa mwaka jana aliyekuwa ameteuliwa kuwa boss wa Vodacom hapa nchini Bi Sylvia Mulinge kutoka kenya alinyimwa kibali cha kufanya kazi kwa kile kilichoelezwa kuwa kuna Watanzanina kibao wenye sifa za kushika nafasi hio. Lakini hivi majuzi nafasi hiyo amechukua Hisham Hendi, raia wa Misri. Kinachonichangaya ni kwa vipi yule alinyimwa kibali na huyu kapata kapata? Kwa nini umnyime kibali raia wa Jumuia ya Afrika Mashariki na umpe kibali raia wa mbali kabisa? Hii hainiingii akilini.
Kama yameandikwa maneno mengi yakakosa ufafanuzi na wewe ukauliza ufafanuzi kwa hayo tu matatu niliyo-bold basi laumu akili yako kwa ugumu wa kuelewa.

NImeshaeleza jinsi Idrsa alivyojikita huku na kule kupiga majungu aonekane anaonewa lakini haikufua dafu na bahati nzuri hupingi hiki wala huulizi na asante kwa kukiamini.

Kitendo cha Idrisa mzawa kukaa na asitimize miaka miwili kinatosha kuonyesha alivyo-underperform.

Legacy ya Idrisa ni mbaya maana kushindwa kwake kama mzawa kumesababisha mtanzania asipewe tena kuongoza VODACOM tangu alipoondoka kukimbilia vibenki vidogo-vidogo.

Wewe umewahi kuwa Gavana BoT. Tulitarajia uitwe IMF kama mwenzake Edwin Mtei unaishia kuhangaika na vibenki vidogo-vidogo, tena vinavyoendana na dini yako. Je, usingekuwa na hiyo dini, si ungeuza nyanya.

Rena Meze simjui sana maana amekuja nikiwa sipo nchini. Lakini nilichosikia ni kwamba aliondoka ndani ya wiki moja baada ya scandal ya SHIVACOM kuvuma mitandaoni.
 
View attachment 1054930
Waafrika alieturoga alituweza sana.

Mwaka jana Vodacom ikateua raia mwanamama mmoja kutoka Kenya kuja kua mkurugenzi wake, maneno yakawa maneno kua kwani tumekosa mtanzania wa kushika hizo nafasi na mambo kede kede, serikali ikamnyima kibali cha kazi. Dada wa watu akaendelea na maisha yake huko kwao Kenya.

Sasa Vodacom wameteua mwarabu kutoka Misri kua mkurugenzi wake, zile kelele za mwaka jana hazisikiki tena, maana yake hatutaki waafrika wenzetu ila tunataka watu wenye ngozi nyeupe. Kwanza tunaweza kumnyima mkenya kibali cha kufanya kazi Tanzania ila tukampa mwarabu wa Misri, sijui akili za wapi hizi.

Kwa hiyo ikifika kwa ngozi nyeupe hadithi za wazawa zinakufa, ila ikiwa ni mweusi mwenzetu hadithi za wazawa wapewe fursa ndio zinaibuka.

Binafsi hua sikubaliani na hoja ya uzawa, kwenye ulimwengu ulioendelea watu wenye uwezo binafsi wanataftwa kutoka kila mahali wakafanye mabadiliko na kuongoza taasisi za nchi nyingine. Uingereza ilimkodi Gavana wa benki ya Canada ili awe Gavana wao awasaidie kurekebisha uchumi, mkuu wa Google ni mhindi na mifano iko mingi.

Hoja yangu ni kwamba, kwa nini mkenya tulimkatalia kwa hoja ya uzawa alafu tumekubali mwarabu wa Misri?
Nadhani ungeuliza sababu ya kukataliwa mkenya badala ya kuandika ngozi nyeupe na bhla-bhla zingine unazoleta. Hilo lilishakwisha na kama hukujua sababu ya huyo mkenya nyamaza. sababu zingine hazikuhusu kabisa na hustahili kuzifahamu. UNa hisa Voda? au unataka kuona tu mkenya unayemtaja kama mwanadada? Kwa kuwa ni mwanadada ndo apewe nafasi? The past has gone!
 
1. Rudi shule uongeze maarifa. Huo ugomvi wa kiuchumi na Kenya ulianza lini?mawazo ya kimaskini na kijinga kama haya ndio yanaturudisha nyuma. Sasa kama waliiba GT ni kosa la wezi au uzembe wa serikali, kwani walikua wanapitia wapi walipokua wanaiba kwenda Kenya? Unalaum wezi au unalaum serikali kushindwa kulinda rasilimali zake? Mbona ilipovunjika EAC na wakenya kuchukua ndege zote hakukua na vita ya kiuchumi? Eti vita ya kiuchumi. Ndio yale yale tuna vita ya kiuchumi na mabeberu alafu tunaenda kuwaomba misaada.

2. Kwani Vodacom ni kampuni na mali ya Tanzania? Ikiibiwa Vodacom wewe inakuhusu nini?

3. Kuhusu Huawei hujui chochote, tafta vyanzo vingine vya taarifa vikujuze kuhusu mhasibu wa Huawei, Meng anaeshikiliwa Canada. Mambo ya kuiba teknolojia umeyatoa wapi?
Very foolishly structured arguments. Yaani ikiwa ya binafsi haihusu nchi? Kama ni hivyo achana na mijadala kama hii. iko juu ya uwezo wako. Kuna kampuni ni sehemu ya ustawi na usalama wa nchi. iwe ya binafsi au ya serikali lazima ilindwe kiserikali.

Kinachowatuma kushabikia wakenya ni nini? Lini wakenya wameshabikia TZ? Stupidity must have limits!
 
Very foolishly structured arguments. Yaani ikiwa ya binafsi haihusu nchi? Kama ni hivyo achana na mijadala kama hii. iko juu ya uwezo wako. Kuna kampuni ni sehemu ya ustawi na usalama wa nchi. iwe ya binafsi au ya serikali lazima ilindwe kiserikali.

Kinachowatuma kushabikia wakenya ni nini? Lini wakenya wameshabikia TZ? Stupidity must have limits!
Hahahaha, ulivyo taahira ukazani kuandika kingereza ndio utaonekana umeandika jambo la maana, uharo mtupu.

Dada, rudi shule uongeze maarifa. Ushauri wa bure nakupa, tafta mume uolewe, umuombe akurudishe shule uongeze maarifa.
 
Hahahaha, ulivyo taahira ukazani kuandika kingereza ndio utaonekana umeandika jambo la maana, uharo mtupu.

Dada, rudi shule uongeze maarifa. Ushauri wa bure nakupa, tafta mume uolewe, umuombe akurudishe shule uongeze maarifa.
Maandishi kama haya yananipa picha ya malezi yako. Yaani dada zako wako taabuni. Huoneshi ufahamu wa mambo ya kijamii, unahangika kushinda ktk majadiliano bila uchaguzi wa maneno.
Toa jibu. Kampuni ya binafsi haiihusu serikali?
 
Maandishi kama haya yananipa picha ya malezi yako. Yaani dada zako wako taabuni. Huoneshi ufahamu wa mambo ya kijamii, unahangika kushinda ktk majadiliano bila uchaguzi wa maneno.
Toa jibu. Kampuni ya binafsi haiihusu serikali?
Rudi shule uongeze maarifa uweze kuuliza maswali yenye mantiki na yanayoleta maana. Sio kila swali linalokuja kichwani mwako ni la kuuliza. Rudi shule ujifunze hayo mambo.

Nikushauri tu kua kukwepa shule hakuna mbadala. Ni eitha urudi shule tena au uachane na mambo au maswala yanayohitaji akili. Hili linahitaji akili na wewe hujaonyesha kama akili ipo.
 
....................
Nikushauri tu kua kukwepa shule hakuna mbadala. Ni eitha urudi shule tena au uachane na mambo au maswala yanayohitaji akili. Hili linahitaji akili na wewe hujaonyesha kama akili ipo.
Hilo neno eitha lina maana gani? ni lugha gani?
 
View attachment 1054930
Waafrika alieturoga alituweza sana.

Mwaka jana Vodacom ikateua raia mwanamama mmoja kutoka Kenya kuja kua mkurugenzi wake, maneno yakawa maneno kua kwani tumekosa mtanzania wa kushika hizo nafasi na mambo kede kede, serikali ikamnyima kibali cha kazi. Dada wa watu akaendelea na maisha yake huko kwao Kenya.

Sasa Vodacom wameteua mwarabu kutoka Misri kua mkurugenzi wake, zile kelele za mwaka jana hazisikiki tena, maana yake hatutaki waafrika wenzetu ila tunataka watu wenye ngozi nyeupe. Kwanza tunaweza kumnyima mkenya kibali cha kufanya kazi Tanzania ila tukampa mwarabu wa Misri, sijui akili za wapi hizi.

Kwa hiyo ikifika kwa ngozi nyeupe hadithi za wazawa zinakufa, ila ikiwa ni mweusi mwenzetu hadithi za wazawa wapewe fursa ndio zinaibuka.

Binafsi hua sikubaliani na hoja ya uzawa, kwenye ulimwengu ulioendelea watu wenye uwezo binafsi wanataftwa kutoka kila mahali wakafanye mabadiliko na kuongoza taasisi za nchi nyingine. Uingereza ilimkodi Gavana wa benki ya Canada ili awe Gavana wao awasaidie kurekebisha uchumi, mkuu wa Google ni mhindi na mifano iko mingi.

Hoja yangu ni kwamba, kwa nini mkenya tulimkatalia kwa hoja ya uzawa alafu tumekubali mwarabu wa Misri?
Mwanamme mzima unakubali kabisa mwanammke wa Kenya akamate Vofacom? Wakenya unawajua au unawasikia? Yule aliyekuja kwa mbwembwe na kusaini mkataba feki wa kununua korosho tena mbele ya jopo la mawaziri UMEMUONA AKIJA KULIPIA NA KUCHUKUA KOROSHOW????
 
Kwani ameshapewa work permit? Akija ku-renew work permit kwa level ya u- CEO tutamwambia wapo waTanzania wanaoweza kuifanya hiyo kazi, full stop.
 
Hongera kwa bwana mdogo Hisham Hendi. Ila huo ndio utakuwa mwisho wa career yake after three years.
Voda com dont believe that an MD will still perform after three yrs. So he shouldnt expect a contract renewal after three yrs.
Historically, the recent past two Vodacom MDs are on retirement leave.
Huwezi toka Voda ukaenda tena uswahilini kuajiriwa kama sijui meneja wa nini! Huu ndio mwisho wa career. Akitoka hapo akawe mkulima tu.
Nyie watu mbona mnaongea as if ameshapewa work permit kwa class hiyo ya kazi, yaani MD? Kuteuliwa ni jambo moja, na kupewa work permit ni kitu kingine
 
Kwani wanaomiliki VODACOM ni serikali iliyomkataa? Wanaomiliki si ndiyo waliomteua huyo dada. Hujui hili?

Shame for the nation to have someone like you!
Samahani, anaetoa work permit kwa wageni ni serikali au Vodacom? Samahani lakini
 
Wa-Kenya wengi janja-janja hususani kwenye pesa/deals/rushwa. Japo wanajua kuji-market/lobbying
 
Hongera kwa bwana mdogo Hisham Hendi. Ila huo ndio utakuwa mwisho wa career yake after three years.
Voda com dont believe that an MD will still perform after three yrs. So he shouldnt expect a contract renewal after three yrs.
Historically, the recent past two Vodacom MDs are on retirement leave.
Huwezi toka Voda ukaenda tena uswahilini kuajiriwa kama sijui meneja wa nini! Huu ndio mwisho wa career. Akitoka hapo akawe mkulima tu.
Kuna sababu yoyote ya msingi nyuma ya hiyo dhana?
Kwa nini akimaliza muda wake na thamani yake inaisha?
 
Hongera kwa bwana mdogo Hisham Hendi. Ila huo ndio utakuwa mwisho wa career yake after three years.
Voda com dont believe that an MD will still perform after three yrs. So he shouldnt expect a contract renewal after three yrs.
Historically, the recent past two Vodacom MDs are on retirement leave.
Huwezi toka Voda ukaenda tena uswahilini kuajiriwa kama sijui meneja wa nini! Huu ndio mwisho wa career. Akitoka hapo akawe mkulima tu.

Unachokisema ni kweli na hii imetokana na kampni zetu kuongozwa na vilaza maana kama wewe ni brilliant post kama hiyo inakufanya uwe consultant wa telecommunication dunia nzima, utakimbiliwa na university nyingi duniani.

Badala yake wanaenda kufuga kuku, kusafirisha mazao, kukdisha magari biashara zingine zinazodhihirisha umbumbumbu wao.
 
Nashauri Kama hujui lolote kuhusu maswala ya ulinzi na usalama wa taifa jaribu kuwa msomaji tu na si mchangiaji kwa ushabiki.

Tulieni nchi inakwenda sehemu sahihi kama ilivyokua lengo la baba wa taifa mwalimu Nyerere
 
Back
Top Bottom