Vodacom-TZ Kaimu mkurugenzi apatikana

muachiwe tu mhujumu kama kawaida yenu........hakuna historia ya Mmisri kuhujumu Tz.....ila Kenya........fitna tu
Naskia huyo jamaa wa Misri amekamatwa na polisi!! So now your statement does not hold.
 
Sio Wakenya na hatujawahi kuzuia mtu kwa kigezo kwamba kuna Wakenya wenye uwezo huo, ni ujuha mzuie kwa kigezo cha kulinda ajira za ndani halafu hapo hapo bado apewe Mwarabu, hehehe nyie kituko.

Ndio maana nchi yenu ipo very weak kwenye masuala ya Security, na pia uchumi wa nchi yenu ni mali ya Wageni,
40% ya wakenya wanaishi chini ya Dola Moja na mamia wanakufa njaa huko ushango.
 
Voda wateua kaimu mkurungezi mwengine ila mgeni pia, hehehe Watanganyika weusi watasubri sana.....walimkatalia Mkenya kwa kigezo cha kwamba kuna Watanzania wenye uwezo huo, lakini Vodacom wameng'ang'ania lazima waweke mgeni hapo, kuipa kampuni Mtanzania itakua kama kuisulubisha.
 

Wacha ujinga. Tuambie safaricom imekuwa kwa nani?
 
Wacha ujinga. Tuambie safaricom imekuwa kwa nani?

Sisi hatujawahi kuwa na ujinga kama wenu huo wa kukataa mgeni kutokea nchi jirani kwa kigezo kuna wazawa wenye uwezo zaidi yake halafu tunaishia kuajiri wageni wa kutoka mbali wanaoishia kutuhujumu.
 
Sisi hatujawahi kuwa na ujinga kama wenu huo wa kukataa mgeni kutokea nchi jirani kwa kigezo kuna wazawa wenye uwezo zaidi yake halafu tunaishia kuajiri wageni wa kutoka mbali wanaoishia kutuhujumu.

That woman was a criminal who would be in jail for driving drunk. Case closed.

Peleka pombe na umama uko gatundu
 
That woman was a criminal who would be in jail for driving drunk. Case closed.

Peleka pombe na umama uko gatundu

Pumba tu, maisha ya mtu hayakuhusu, anakunywa nini, ana michepuko wangapi wala nini, kwa taarifa yako mama aliteuliwa kwenye wadhifa muhimu Safaricom na faida imepitiliza hakuna kampuni ukanda huu iliyofikisha faida ya Safaricom, bora hivyo amebaki nyumbani badala ya kwenda kuajiriwa kwenye some shithole halafu abambikiziwe kesi na kunyea debe https://www.businessdailyafrica.com...o-Sh31-5bn/4003102-4833318-w9f0s4z/index.html
 

The key positions in safaricom are held by Britain. Same case for Airtel and Telkom which are owned by Indians.

Why don't you fight for your own independence instead of taking your neocolonialism to other countries.
 
The key positions in safaricom are held by Britain. Same case for Airtel and Telkom which are owned by Indians.

Why don't you fight for your own independence instead of taking your neocolonialism to other countries.

Sisi hatuna shida na utaifa wa mtu ilmradi ana uwezo wa kufanya kazi na kuwa na matokeo chanya, hutaskia ujinga Kenya kama huo wa kwenu eti tumkatae Mtanzania kwa kigezo tu kwamba kuna Wakenya wenye uwezo kumzidi, ilhali bodi ya kampuni husika imemchagua yeye, halafu akiajiriwa Mwarabu tuone nafuu na kuufyata. Nyie watu wa ajabu sana...mtaliwa hadi mtie akili.
Bodi ya Vodacom imeng'ang'ania haitoajiri mivivu ya Kitanganyika, naona wameteua mzungu kukaimu nafasi ya huyo Mwarabu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…