Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Poa bana,don't mind mkuu wangu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni award mkuu wangu, Sina uwezo wa kudiscuss na wewe. Acha kuniongelea shit siko katika mood hiyo mimi, kwaheri tena.
chukua like yanguDuuh kweli nyie mambulula...hamjui voda ni kampuni kubwa na ina campaigns/promotions mbalimbali?...Sasa hivi dabo bando ndo habari ya mjini kwahiyo wanaipromote acheni ujinga wa lara 1 sijui nani. ..jiongezeni
Wewe unachekeshwa, namie najikuta unanichekesha.....[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ni award mkuu wangu, Sina uwezo wa kudiscuss na wewe. Acha kuniongelea shit siko katika mood hiyo mimi, kwaheri tena.
Ameanza na dar, mabango ya mikoa mingine yajiandaeHa ha ha ha ha!! Ian ferrao yuko anatetemeka mda huu Lara 1 akitoa tamko lingine tu itabidi atoe amri Tanzania nzima mabango yatolewe..
Duu we jamaa ni kituko kabisa ...eti tunzo za Grammy! Nimecheka sana comments zako...Dogo ameanza kuchuja,tunaelekea mwezi wa tano huu katika mwaka mpya,hakuna cha tuzo wala mama yake na tuzo.Na bado
Kifupi namchukia toka amkashifu lowassa na chadema.Period.Hayo ya wengine mi sitaki kujua
Haina shida tuwe na subira.nyota njema huonekana asubuhi,ametoa nyimbo kibao mara na kc mara Raymond mara nani.lakini wapi!Madawa ya Nigeria yameanza kuchuja
Kwani duniani na afrika hakuna tuzo yoyote iliyotolewa?Au mpaka Kilimanjaro awards ndo wewe uone tuzo?Acha uzuzu...haya mfano zilitolewa tuzo za grammy na adele akapata tuzo tano... hujui hata grammy awards ni kitu gani.Napoteza muda tu hapa
Akishamaliza kote huko anageukia Coca-Cola!kaanza na ya dar. Kesho atatoa tamko voda watoe na mabango ya huko
Ahsante kwa ufafanuzi mzuri, jamaa atajikuta anajua kumbe tabularasa lolBe informed kwamba kimsingi Grammy Awards ina-deal na English Language Music Industry na kwa kutambua hilo ndio maana mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakaanzisha Tunzo nyingine inayoitwa Latin Grammy Awards primarily to cater majority of Americans ambao ni Spanish speaking na muziki wao wanaimba kwa Spanish.
Diamond is neither in English language music industry nor Latin music industry!
Ha ha ha ha ha hata my number one ya diamond ina kiingereza humo lolSi ajabu akasema "mbona ya AKA ni ya English!
Hujui kituKuna uzi humu lara 1 anaelezea jinsi makampuni yalivyopotoka kumtumia Diamond kwa matangazo yake kama humaniser.
Uzi wenyewe ni huu: Pale makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Vodacom
Leo bango la pale Ubungo kona ya kwenda chuo kikuu UDSM wametoa picha ya Diamond na kumuweka dada fulani, pia eneo la Sayansi wametoa picha zake.
Hizo ni sehemu mbili nilizoona kwa leo, nadhani ndani ya wiki huyu jamaa hatakuwa hana bango hata moja.
Sasa sijui ni coincidence au dua la kuku limempata mwewe!
Diamond naana yake ni almas sidhani kama tope linaweza kuifanya almas kuwa udongoKuna uzi humu lara 1 anaelezea jinsi makampuni yalivyopotoka kumtumia Diamond kwa matangazo yake kama humaniser.
Uzi wenyewe ni huu: Pale makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Vodacom
Leo bango la pale Ubungo kona ya kwenda chuo kikuu UDSM wametoa picha ya Diamond na kumuweka dada fulani, pia eneo la Sayansi wametoa picha zake.
Hizo ni sehemu mbili nilizoona kwa leo, nadhani ndani ya wiki huyu jamaa hatakuwa hana bango hata moja.
Sasa sijui ni coincidence au dua la kuku limempata mwewe!
Wametoa billboards tuu lakini project bado ipo...ikiwa project imesha fanikiwa hakuna sababu ya kuendelea kupoteza pesa nyingi kwenye mabango wakati kuna nafasi ya kuingiza project nyingine na ndicho walicho fanya Voda..wana project nyingi tuu hazina mabango kwa sasa na bado zinaendelea....Na hii Dabo baada ya muda waitoa kwenye mabango lakini itakuwepo....Wamemtoa kila mahali
Wacha uchokoziWanamuonea huyu Muha.
Sasa ngumbaru kama diamond atajua lini English,collabo zote wenzake wanaimba kiingereza yeye anaishia Kiswahili.Mambo yake imeishia hapo...Be informed kwamba kimsingi Grammy Awards ina-deal na English Language Music Industry na kwa kutambua hilo ndio maana mwanzoni mwa miaka ya 2000 wakaanzisha Tunzo nyingine inayoitwa Latin Grammy Awards primarily to cater majority of Americans ambao ni Spanish speaking na muziki wao wanaimba kwa Spanish.
Diamond is neither in English language music industry nor Latin music industry!
Mkuu hata kama una-hate hebu jaribu kwanza uwe na uelewa na unachokiongea..Sasa ngumbaru kama diamond atajua lini English,collabo zote wenzake wanaimba kiingereza yeye anaishia Kiswahili.Mambo yake imeishia hapo...