Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ni wiziBaada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima.
Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate 1GB kwa sh.500.View attachment 1767268
KAMA siyo SAMIA wasinge rudisha, hongera mama SAMIA NA CCM kwa ujumla.Baada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima.
Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate 1GB kwa sh.500.View attachment 1767268
Yaan mmi nimelia nao sana kwanza ile 100 huduma kwa wateja haipo huwez kuwapata, pili waongo sana wanaenda kwenye ukurasa wa Rais samia wanajiandikisha vitu et tumeboresha zaid mm kila nilipokua nikijaribu sion kitu week kama moja na nusu jana nimeamua rasim kuhama voda na kwenda zantel, jamani hamia zantel raha tupu. J.b na m.b za kufa mtu dakika kibao mitandao yote voda bayee nitachukua line niweke simu ndogo kwa ajiri ya m.pesa baaas.Nadhani hiyo ni kwa Wateule wachache tu, kwangu halipo
Hahahah hiki kifurushi changu nilichojifichamo baada ya yule mkurugenzi mwehu kuleta wehu ofisini! Atakuwa anajutia bangi aliyovuta siku ile 😝😝😝 kabla hajatoa maagizo ya GB moja kuuzwa elfu 3
mbona hamna hiyo huduma kiongoziBaada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima.
Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate 1GB kwa sh.500.View attachment 1767268
Hakuna kitu Kama iko acha uongo wewe mfanyakazi wa VODACOMBaada ya maelfu ya watumiaji kuhama mtandao wao sasa VODACOM wameachia vifurushi baada ya kubana kwa karibia mwezi mzima.
Tutarajie Halotel na Airtel kujibu mapigo kwa kushusha hadi wateja wapate 1GB kwa sh.500.View attachment 1767268
Jamaa ameamua kumpa promo mkoloni mwekundu VodacomHIYO OFA YA VODACOM LABDA NI MAALUM KWA WAKAZI WA DAR TU ILA MIKOANI BADO TUNAKAMULIWA TU.
Zuzu ww,hakuna kitu Kama ikoMenu:
*149*03#
Kisha chagua namba 4.
hili nalo neno!What if ni kwa vile kaleeee kadeni sasa TUMEKAKAMILISHA KUKALIPIA!???
sure... na nadhani pia muda mtumiaji amekuwa na mtandao unachangiaKwenye hiyo menu kila mtu anapewa kutokana na matumizi yake View attachment 1767282
Ni uzushi na upuuzi