VODACOM wameachia rasmi

VODACOM wameachia rasmi

Nadhani hiyo ni kwa Wateule wachache tu, kwangu halipo
Yaan mmi nimelia nao sana kwanza ile 100 huduma kwa wateja haipo huwez kuwapata, pili waongo sana wanaenda kwenye ukurasa wa Rais samia wanajiandikisha vitu et tumeboresha zaid mm kila nilipokua nikijaribu sion kitu week kama moja na nusu jana nimeamua rasim kuhama voda na kwenda zantel, jamani hamia zantel raha tupu. J.b na m.b za kufa mtu dakika kibao mitandao yote voda bayee nitachukua line niweke simu ndogo kwa ajiri ya m.pesa baaas.
 
Mambo bado natupa laini next week
Screenshot_20210429-104441.jpg


Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Hakuna walichorekebisha!
Screenshot_20210429-104634_Phone.jpg
 

Attachments

  • Screenshot_20210429-002019_Call.jpg
    Screenshot_20210429-002019_Call.jpg
    13.4 KB · Views: 1
Mkitaka kupata ofa kabambe nunueni sim card mpya. Sasa wewe mteja wa Voda toka mwaka 2003 wakuvutie kwa lipi wakati wanauhakika wewe ni mteja wao? Mleta mada anasema ukweli ila hiyo ofa sio kwa nyie wateja loyal kwa voda.
 
Kama ni buku unapata gb 1 na dakika 100 allnet, wako vizuri.

@Halotel n.k waige mfano wao
 
Back
Top Bottom