VodaCom wamejipata sasa hivi hawana shida na wateja Kila ikifika jioni mtandao shida Huku kwetu

Kuna muda ilitoka sababu ya kwamba kusuasua mtandao kulitokana na kukatika kwa nyaya (fibers) zilizoko baharini. Kwasasa sijui watakuja na sababu ipi!
 
Hata huku kwetu ibologelo, Malendi, Bulyang’ombe hakuna mtandao?
 
Kuna mtu ananidahi na nimempigia mara kadhaa tukutane nimpatie pesa yake lakini namba yake haikuwa ikiunganisha (not connected!) ila najua kwa wabongo basi ataniona mimi kama mhuni mhuni πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Vodacom inabidi msimamie kesi yangu kama mashahidi
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kuna jirani kaja hapa anataka nimtengenezee

kumbe mtandao upo slow 😁😁😁
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kuna jirani kaja hapa anataka nimtengenezee

kumbe mtandao upo slow 😁😁😁
Leo mshtuko ulikuwa mkubwa sana, hapo angeenda kwa fundi ilibidi aache hata Tsh.5,000.
 
Kwan ni voda pekee au na tigo mtandao pendwa wa kipolisi ?
 
Nina sim cards zote isipokuwa smile, wakizingua upande mmoja naenda sehemu nyingine.
Options ni hizi.
1.Vodacom
2.Tigo
3.Airtel
4.Halotel
5.TTCL
Extra ni Wi-Fi ya hii hoteli ya karibu
 
Reactions: apk
Nimekutumia namba ya tigo, naomba unilipe hela yangu tafadhali!
 
Reactions: apk
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…