VodaCom wamejipata sasa hivi hawana shida na wateja Kila ikifika jioni mtandao shida Huku kwetu

VodaCom wamejipata sasa hivi hawana shida na wateja Kila ikifika jioni mtandao shida Huku kwetu

Kwan ni voda pekee au na tigo mtandao pendwa wa kipolisi ?
mimi nimeshachomokea kwenye back up line yangu chap.Voda hawaeleweki kabisa.halafu wako kimya hawasemi kitu.Voda ni moja ya mtandao niliokuwa nauamini sana,ila naona huko tunakoelekea ni kubaya.maana kila siku network yao inashuka
 
Back
Top Bottom