Hii mpya kwangu.hapo kabla kulikua na huduma ya kuhamisha bando (MB 250) kutoka namba moja kwenda namba nyingine sasa ivi naona hii huduma wamesha itoa bila hata ya taarifa.
Pia hii ilikua ni amri kutoka TCRA kwamba ma kampuni ya simu yaruhusu luamisha bando naona vodacom wameamia kukaidi na kuondoa hii huduma.
Nimeangalia kwenye menu niliokua mimeizoea hakuna tena hii huduma??
Ipo hata Airtel na Halotel wanayoSikuwahi kujua kama kuna huduma ya kuhamisha bundle
Ipo hata Airtel na Halotel wanayo
Airtel wanatumia menu ipi na hatua zipi..?Ipo hata Airtel na Halotel wanayo
Wakati wanaanzisha walikupa taarifa?hapo kabla kulikua na huduma ya kuhamisha bando (MB 250) kutoka namba moja kwenda namba nyingine sasa ivi naona hii huduma wamesha itoa bila hata ya taarifa.
Pia hii ilikua ni amri kutoka TCRA kwamba ma kampuni ya simu yaruhusu luamisha bando naona vodacom wameamia kukaidi na kuondoa hii huduma.
Nimeangalia kwenye menu niliokua mimeizoea hakuna tena hii huduma??
Ushawahi hamisha?maana naona magirini tuu wao na Halotel,ukijaribu kuhamisha wanakwambia huna mb zakutosha wakati utakuta una 10GB kwenye simu.Airtel bado ipo
Mapambo tu, nimejaribu kuhamisha wamesema sina MB za kutosha wakati nina ziada ya MB 400.Ushawahi hamisha?maana naona magirini tuu wao na Halotel,ukijaribu kuhamisha wanakwambia huna mb zakutosha wakati utakuta una 10GB kwenye simu.