Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Kampuni ya simu ya Vodacom wamefanya kweli, leo wametambulisha teknolojia ya 5G nchini na kuwa kampuni pekee mpaka sasa nchini yenye 5G.
Nimefurahi sana, tumekuwa na simu za 5G mpaka zinaelekea kuchakaa tumeshindwa kuziutilize kwenye eneo hilo. Muhimu mtandao uwe reliable na vifurushi vya mtanzania.
Hongereni Vodacom, mimi mgeni wenu. Tigo nitawatafutia kisimu kidogo.
Nimefurahi sana, tumekuwa na simu za 5G mpaka zinaelekea kuchakaa tumeshindwa kuziutilize kwenye eneo hilo. Muhimu mtandao uwe reliable na vifurushi vya mtanzania.
Hongereni Vodacom, mimi mgeni wenu. Tigo nitawatafutia kisimu kidogo.