Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asilimia 99 ya Simu tz hazisapoti 5GMtatafuniwa bando mpaka muikumbuke 4g kama sio 3g
Tandao lenu Leo kila ukijiunga na bando la SMS linakataaKampuni ya simu ya Vodacom wamefanya kweli, leo wametambulisha teknolojia ya 5G nchini na kuwa kampuni pekee mpaka sasa nchini yenye 5G.
Nimefurahi sana, tumekuwa na simu za 5G mpaka zinaelekea kuchakaa tumeshindwa kuziutilize kwenye eneo hilo. Muhimu mtandao uwe reliable na vifurushi vya mtanzania.
Hongereni Vodacom, mimi mgeni wenu. Tigo nitawatafutia kisimu kidogo.
Wapo vizuri sana, Hio the Grid ilikuwa n social media, ilikuwa na map unaweza ona rafiki zako walipo, unaweza post picha n.k ilikuwa 2008 hio sijui kama bado ipo, ila wangeendelea leo ungekuwa mtandao mkubwa, nakumbuka ilikuwa kwenye symbian..Vodacom kila kitu huwa wanakuwa wa kwanza.
Huduma za PESA kwa maana ya MPESA walikuwa wa kwanza
Kuunga vifurushi badala ya kutumia vocha walikuwa wa kwanza, yaani zamani ilikuwa unaweka vocha na kutwanga tu.
4G walikuwa wa kwanza
Kuna huduma ya email wao ndio walikuwa wa kwanza ingawa ilikufa. Yaani namba yako ilikuwa ndio utambulisho wako mfano 0763000000@vodamail.co.tz
THEGRID
Lakini pia voda ndio mtandao wa kwanza kukomba salio lililobaki kwenye simu
Usisahau voda ndio mtandao wa kwanza kukuunganisha na huduma ambazo hujaomba.
Wanasema inqpatikana Dar Es Salaam ila mimi mpaka sasa sioni kituHiyo 5G ipo Masaki au wapi tuka i test kidogo
Under research hakuna matumizi yake mpaka sasaJapan
Kwa dar nzima ngumuWanasema inqpatikana Dar Es Salaam ila mimi mpaka sasa sioni kitu
Mm nahisi itakuwa kwa CBD tuu for nowKwa dar nzima ngumu
Inawezekana ikawa hivyoMm nahisi itakuwa kwa CBD tuu for now