Mpigadili Tz
JF-Expert Member
- May 4, 2015
- 1,093
- 2,046
Hiyo 5G ipo Masaki au wapi tuka i test kidogoVodacom imekuwa kampuni ya kwanza ya mawasiliano nchini Tanzania kuzindua internet ya kasi ya 5g.
Zoezi la uzinduzi lipo mubashara sasa, tutaendelea kuwajuza...
Umesemaa!?Usisahau voda ndio mtandao wa kwanza kukuunganisha na huduma ambazo hujaomba
Technology ambayo ni Kama projector ilivo, inatoa mwanga ambao ukitazama unamuona mtu anaimba lakini unaona Kama ni mtu kweli, Yani kwa kifupi inatengeneza shape hewaniHologram ni nn?
JapanMkuu mbona kama bado ipo kwenye process! Nchi gani zinatumia 6G?
Upo sawa kabisa ilikuwa shida kweli netIla siku mbili hizi hata 4g inazingua net au marekebisho ya 5g
Kampuni ya simu ya Vodacom wamefanya kweli, leo wametambulisha teknolojia ya 5G nchini na kuwa kampuni pekee mpaka sasa nchini yenye 5G...
Una simu yenye kusupport 5G?Hiyo 5G ipo Masaki au wapi tuka i test kidogo
Mindset ya kila mtu kudhani ametumwa sio nzuri.. Kama ambavyo mimi niwaze umetumwa kuja kwenda kinyume..Umetumwa! wameharakisha kuzindua haraka haraka kama strategy ya mambo yanayoendelea kuhusu Tozo, typical corporate culture - hawajali wateja! Tozo Tozo Tozo, na vifurushi visivyo na uhalisia wa maisha ya watanzania!
iPhone 13 na Redmi 10T Pro si zina suport 5G au ?Una simu yenye kusupport 5G?
Umesahau na SongeshaVodacom kila kitu huwa wanakuwa wa kwanza.
Huduma za PESA kwa maana ya MPESA walikuwa wa kwanza...
Unafurahia kuzinduliwa kwa kasi ya 5G unakwenda kulia na ongezeko la gharama za bando zinazonyonywa na kasi ya 5G. Watanzania bado mpo usingizini mkija kuamka mshaibiwa vya kutosha.Kampuni ya simu ya Vodacom wamefanya kweli, leo wametambulisha teknolojia ya 5G nchini na kuwa kampuni pekee mpaka sasa nchini yenye 5G.
Nimefurahi sana, tumekuwa na simu za 5G mpaka zinaelekea kuchakaa tumeshindwa kuziutilize kwenye eneo hilo. Muhimu mtandao uwe reliable na vifurushi vya mtanzania.
Hongereni Vodacom, mimi mgeni wenu. Tigo nitawatafutia kisimu kidogo.
Subirini vilio sasaKampuni ya simu ya Vodacom wamefanya kweli, leo wametambulisha teknolojia ya 5G nchini na kuwa kampuni pekee mpaka sasa nchini yenye 5G.
Nimefurahi sana, tumekuwa na simu za 5G mpaka zinaelekea kuchakaa tumeshindwa kuziutilize kwenye eneo hilo. Muhimu mtandao uwe reliable na vifurushi vya mtanzania.
Hongereni Vodacom, mimi mgeni wenu. Tigo nitawatafutia kisimu kidogo.
Zipo aina nyingi tu Zina support 5G!iPhone 13 na Redmi 10T Pro si zina suport 5G au ?
Nafikiri aliniuliza yupo nyuma sana na hizi mambo hajui kitu. Ma device kibao yana suport 5GZipo aina nyingi tu Zina support 5G!
Mimi nilikuwa nazo mbili tangu mwaka jana