Vodacom waonesha ukinara wao, waleta 5G nchini

Kwa gharama hizi? Najua hiyo 5G ina wateja wake - wengi wao wakiwa wanufaikaji wa tozo
 
Tandao lenu Leo kila ukijiunga na bando la SMS linakataa
 
Wapo vizuri sana, Hio the Grid ilikuwa n social media, ilikuwa na map unaweza ona rafiki zako walipo, unaweza post picha n.k ilikuwa 2008 hio sijui kama bado ipo, ila wangeendelea leo ungekuwa mtandao mkubwa, nakumbuka ilikuwa kwenye symbian..
 
Kama 4G yenyewe bado chenga, hiyo 5G itabaki tu kuwa hadithi za alinacha...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…