alphonce.NET
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,703
- 6,046
Kina sehemu ya kufungua kwa juu halafu ukifungua kuna kipochi, humo ndani ya kipochi kuna 750k, hiyo wanakurudishia kama chenjiHiyo 850K ni hicho kikopo chenye logo ya Voda au ndani yake kuna kitu kikubwa chenye thamani ya kulingana na hiyo pesa?
Fibre ya Voda inawatoa jasho wataiweza Starlink?Mimi natamani sana Starlink ije hapa Tz tuone Fanboy wake kama wataridhika.
Ulishasubmit details zako ufanyiwe survey maan survey za 5G dar znadepend na location so Kila shm watakujaHii ni kitu wamezindua leo
Ile ya Supakasi naamini ipo na unaingia nao mkataba wa mwaka mmoja, hivyo watakuwa wanakupa Router kwa kukodi kama ilivyo kwa Fibre ( wanakupa kila kitu bure ukiacha kulipia wanavichukua). Ila nikiongea na hawa jamaa wa Supakasi waje kunifungia home kila siku ninazungushwa tu mara jamaa wa survey watakuja, sijui nini.
Ya starlinkIyo bei kubwa sana ngoja nisubiri internet ya elon musk[emoji1]
Why mkuuWanazingua tu hawa Voda ubabaishaji mwingi
Upo eneo Gani mkuuLabda unisaidie na waliokufanikishia zoezi zima maana mimi nimeongea nao, then mtu akanipigia, nikamtumia eneo ninapoishi sasa ni wiki ya 3 hamna ripoti na nikimtafuta ni majibu yasiyo eleweka.
Supakasi za 5G unapata ad nyumbani bla stressMkuu hio Nokia Fastmile ni Bei ndefu, si Chini ya Milioni 1 maeneo mengi duniani, Hapo voda pengine wame subsidize mpaka kufika 850k na kama unavyoona ni Enterprise device, capacity mpaka watu 200, sio kifaa cha majumbani.
Tusubirie tu router zetu za watu 10.
Mtu akiweka ya 120k anapewa Fastmile bure? Ama anainunua?Supakasi za 5G unapata ad nyumbani bla stress
Bure unaletewa bossMtu akiweka ya 120k anapewa Fastmile bure? Ama anainunua?
VODACOM INTERNET (5G) SUPAKASIHabari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.
View attachment 2418729
Just pay security deposit Yako ya 240k unaletewa device Yako home without stress sema ni Lazima tufanye survey kwanzaMtu akiweka ya 120k anapewa Fastmile bure? Ama anainunua?
Hapa uko sahihi kabisaa, ni suala la muda tu.Tatizo kwa maelezo ya Waiziri wa haya mambo ya mitandao hiyo ni huduma ya ziada, unaweza ukatoa 850,000 ukakinunia hicho kikopo halafu ghafla ukaambiwa gharama za bando zimebadilika hakuna hiyo unlimited volume ya data tena ukaungishwa hizi za 50,000 unapata gb 24 ambazo zinafyekwa kwa kasi ya 5G. Hakuna consumer protection....
Early harvest.Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.
View attachment 2418729
Apo mbn kama coverage ipo nichek 0744355811 nkusaidie mkuuTabata Kisukuru
Hawata ridhika wataanza kulalamika bei kubwaMimi natamani sana Starlink ije hapa Tz tuone Fanboy wake kama wataridhika.
Hawa starlink si waingie sokoni, tupate ushindani.Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.
View attachment 2418729