Vodacom wazindua Router za 5G, bei pasua kichwa

Vodacom wazindua Router za 5G, bei pasua kichwa

Hiyo 850K ni hicho kikopo chenye logo ya Voda au ndani yake kuna kitu kikubwa chenye thamani ya kulingana na hiyo pesa?
Kina sehemu ya kufungua kwa juu halafu ukifungua kuna kipochi, humo ndani ya kipochi kuna 750k, hiyo wanakurudishia kama chenji
 
Hii ni kitu wamezindua leo

Ile ya Supakasi naamini ipo na unaingia nao mkataba wa mwaka mmoja, hivyo watakuwa wanakupa Router kwa kukodi kama ilivyo kwa Fibre ( wanakupa kila kitu bure ukiacha kulipia wanavichukua). Ila nikiongea na hawa jamaa wa Supakasi waje kunifungia home kila siku ninazungushwa tu mara jamaa wa survey watakuja, sijui nini.
Ulishasubmit details zako ufanyiwe survey maan survey za 5G dar znadepend na location so Kila shm watakuja
 
Labda unisaidie na waliokufanikishia zoezi zima maana mimi nimeongea nao, then mtu akanipigia, nikamtumia eneo ninapoishi sasa ni wiki ya 3 hamna ripoti na nikimtafuta ni majibu yasiyo eleweka.
Upo eneo Gani mkuu
 
Mkuu hio Nokia Fastmile ni Bei ndefu, si Chini ya Milioni 1 maeneo mengi duniani, Hapo voda pengine wame subsidize mpaka kufika 850k na kama unavyoona ni Enterprise device, capacity mpaka watu 200, sio kifaa cha majumbani.

Tusubirie tu router zetu za watu 10.
Supakasi za 5G unapata ad nyumbani bla stress
 
Mtu akiweka ya 120k anapewa Fastmile bure? Ama anainunua?
Bure unaletewa boss
IMG-20221115-WA0003.jpg
View attachment 2419847
 
Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.

View attachment 2418729
VODACOM INTERNET (5G) SUPAKASI

Home and office internet service

PRICE PER MONTH

[emoji117]30Mbps-[120,000]-Unilimited bundle speed ya 5G
[emoji117]50mbps>[150,000]Unilimited bundle speed ya 5G
[emoji117]100Mbps>[250,000]unlimited bundle speed ya 5G
[emoji117]200Mbps>[400,000]Unlimited bundle speed ya 5G
[emoji117]350Mbps[600,000]Unlimited bundle speed ya 5G

For more information kindly check me DM or call 0744355811

It's 5G FWA (fixed wireless access) sahau LTE TDD ( antenna
 
Tatizo kwa maelezo ya Waiziri wa haya mambo ya mitandao hiyo ni huduma ya ziada, unaweza ukatoa 850,000 ukakinunia hicho kikopo halafu ghafla ukaambiwa gharama za bando zimebadilika hakuna hiyo unlimited volume ya data tena ukaungishwa hizi za 50,000 unapata gb 24 ambazo zinafyekwa kwa kasi ya 5G. Hakuna consumer protection....
Hapa uko sahihi kabisaa, ni suala la muda tu.
 
Ulishasubmit details zako ufanyiwe survey maan survey za 5G dar znadepend na location so Kila shm watakuja
Ndiyo nilituma location yangu mwanzoni mwa Novemba lakini hadi leo sijapokea majibu ya survey zaidi ya subiri watakuja.
 
Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.

View attachment 2418729
Early harvest.
Wakija wengine zitakuwa kama hizi za 4G
 
Habari zenu wakuu! Kama muhanga wa bei hizi kubwa za vifurushi vya intaneti (ambaye siishi karibu na eneo lenye Fibre) nilivyosikia kwamba Vodacom leo wanazindua huduma za 5G kwa majumbani-- nilijawa na furaha, lakini baada ya kuingia kwenye ukurasa wao mahususi wa kufanya 'pre-order' kidogo nikaishiwa na nguvu. (Kama inavyoonekana pichani) Bei hizi si rafiki kwa Mtanzania na sielewi walikuwa wanafikiria nini.

View attachment 2418729
Hawa starlink si waingie sokoni, tupate ushindani.
 
Back
Top Bottom