Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona siku nyingi..Wakina means FA walishalipwa pesa zao na tigopesa?
Tulia wewe mgalatia wa ajabu unayetetea magaidi.Amka toka usingizini utajikojolea.
Wewe freemasons ni muongo.Hiyu mwamba watamlipa karibu trilioni 3 na bilioni 700 na ushee
Wazo! Wazo! Wazo!Sijaelewa, did she invent the computer program to send money/receive money or just a commedian name/a word M- Pesa? Kwamba jina linavutia. Nijuavyo dawa inapata soko kama inatibu na siyo jina la dawa. Kinacho matter ni kugundua programme ya kutuma fedha kwenye simu. Unaweza ukaaita TUMA-POKEA FEDHA...TPF something on those lines.......
Kwahyo chips unaweza ukanunua leo ukazila mwakani?Swala la kupangiwa kifurushi muda wa kuisha nahitaji kibatala mmoja tupige hela. Mfano umenunua chipsi alafu unaambiwa ukishindwa kuyamaliza ndani ya nusu saa tunazchkua
HIi ya mpesa itakuwa ina walakini. Mpesa ni child brain ya Safaricom... Yani ni among African invention kwa hiyo mitandao yote iliyobaki iliiga kutoka kwa safaricom. Sidhani kama kuna mtanzania anaweza kujisifu kuwa alipeleka wazo la mpesa vodacom. Popote utakaposoma kuhusu mobile money africa, sifa zinaenda kwa safaricom.Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Vodacom kufanya makosa ya namna hii na kuamriwa kulipa fidia. Sijui shida ya hawa watu ni nini?
Ilitokea hivi kwa huduma ya M-Pesa kwa Tanzania, walipelekewa wazo na mwanamama mmoja (tusimtaje jina hapa), ila wakalikataa.
Baadaye walipoona binamu zao, Safaricom ya Kenya wanatusua na huduma kama hii wakiita Mombasa Pesa (M Pesa), na wao wakaanza kuifanya Tanzania.
Kwa kujaribu kumkwepa yule mama mwenye wazo hilo, wakajitia kuwa wameunganisha huduma hiyo na Safaricom, wakaiita hivyo hivyo M Pesa.
Wakadaiwa fidia na mwenye wazo, ndiyo wakalazimika kumfanya ndiye Wakala Mkuu wa M Pesa, ili avute hela kwa kila muamala wa M Pesa.
Ova
Kwanini ilifeli?HIi ya mpesa itakuwa ina walakini. Mpesa ni child brain ya Safaricom... Yani ni among African invention kwa hiyo mitandao yote iliyobaki iliiga kutoka kwa safaricom. Sidhani kama kuna mtanzania anaweza kujisifu kuwa alipeleka wazo la mpesa vodacom. Popote utakaposoma kuhusu mobile money africa, sifa zinaenda kwa safaricom.
Yani ni kati ya product ambazo zilikuwa developed zikiwalenga waafrika wenyewe toka chini na ndio maana hii kitu imefanikiwa sana afrika. Vodacom walijaribu kuipeleka Ulaya ikafail vibaya mno yani nchi waliyoanza nayo ilibidi waisitishe ndani ya miezi sita. Same kwa south africa, mpesa ilifail.
Tulishawahi kuongea na wanaowasimamia katika mafunzo fulani, wakasema kifurushi kinaisha muda wake ukimalizika licha ya kuwa bado kipo kwa sababu bei unayouziwa sio halisi, ni bei ya ofa.Swala la kupangiwa kifurushi muda wa kuisha nahitaji kibatala mmoja tupige hela. Mfano umenunua chipsi alafu unaambiwa ukishindwa kuyamaliza ndani ya nusu saa tunazchkua
Fine, kuna wazo nakubali, but kabla ya wazo kulikuwa mgunduzi wa mini-program ya kutuma fedha. Kuna ki program kidogo kwenye simu cha kutuma fedha, kupokea pesa , kuweka kiasi, ikatoa jina la mpokeaji/mtumaji. etc etc. Huyu atauza program yake ya kutuma na kupokea pesa. Sasa huyu aje asema M-pesa awasumbue kweli? huyu ndiye namuon ana haki ya kulipwa lots of money...... anyway ndivyo biashara zilivyoWazo! Wazo! Wazo!
Kabla ya kuanzisha jambo, kuna wazo.
Bro maana ya wazo ni nini ?Fine, kuna wazo nakubali, but kabla ya wazo kulikuwa mgunduzi wa mini-program ya kutuma fedha. Kuna ki program kidogo kwenye simu cha kutuma fedha, kupokea pesa , kuweka kiasi, ikatoa jina la mpokeaji/mtumaji. etc etc. Huyu atauza program yake ya kutuma na kupokea pesa. Sasa huyu aje asema M-pesa awasumbue kweli? huyu ndiye namuon ana haki ya kulipwa lots of money...... anyway ndivyo biashara zilivyo
Unaamanisha huduma za Mobile Money ni Africa tu ndio zinafanya kaziHIi ya mpesa itakuwa ina walakini. Mpesa ni child brain ya Safaricom... Yani ni among African invention kwa hiyo mitandao yote iliyobaki iliiga kutoka kwa safaricom. Sidhani kama kuna mtanzania anaweza kujisifu kuwa alipeleka wazo la mpesa vodacom. Popote utakaposoma kuhusu mobile money africa, sifa zinaenda kwa safaricom.
Yani ni kati ya product ambazo zilikuwa developed zikiwalenga waafrika wenyewe toka chini na ndio maana hii kitu imefanikiwa sana afrika. Vodacom walijaribu kuipeleka Ulaya ikafail vibaya mno yani nchi waliyoanza nayo ilibidi waisitishe ndani ya miezi sita. Same kwa south africa, mpesa ilifail.
Kinachokera hawasemi yaani ni kimya kimya.Ila matangazo yao kila dakika.Wananchi wajijue HAKI zao,
Kampuni ya simu kumpa mtu mwingine line Yako bila ridhaa Yako,
Hiyo pekee inatosha kuifanya kampuni ishtakiwe na kulipa pesa nyingi kama fidia.
Makampuni ya simu yanajua SHERIA, lakini sababu ya Ujinga wa customers wanakiuka SHERIA.
Unatafuta uhakika, Unataka ukamkope umpatie Netanyahu, nasikia wameishiwa pesa.Wewe freemasons ni muongo.