Vodacom yaamriwa kumlipa fidia ya Mabilioni aliyebuni huduma ya "Tafadhali Nipigie"

Vodacom yaamriwa kumlipa fidia ya Mabilioni aliyebuni huduma ya "Tafadhali Nipigie"

Wananchi wajijue HAKI zao,

Kampuni ya simu kumpa mtu mwingine line Yako bila ridhaa Yako,

Hiyo pekee inatosha kuifanya kampuni ishtakiwe na kulipa pesa nyingi kama fidia.

Makampuni ya simu yanajua SHERIA, lakini sababu ya Ujinga wa customers wanakiuka SHERIA.
Ngoja nikawashitaki jamaa, niliwapigia simu waifungie line yangu kwa muda mpaka nitakapowambia kuifungua wao wamempa mtu mwingine.
 
Ngoja nikawashitaki jamaa, niliwapigia simu waifungie line yangu kwa muda mpaka nitakapowambia kuifungua wao wamempa mtu mwingine.
Tafuta wakili mzuri,

Ukipata PESA kutokana na fidia utakayolipwa,itasaidia kuwafanya watumie akili vizuri.
 
Tafuta wakili mzuri,

Ukipata PESA kutokana na fidia utakayolipwa,itasaidia kuwafanya watumie akili vizuri.
Hawa jamaa jau sana na line hiyo niliunganisha kwenye mishe zangu kibao asee.
 
Mimi naanzisha App ya ku-request papuchi iliyopo jirani na wewe
 
Hawa jamaa jau sana na line hiyo niliunganisha kwenye mishe zangu kibao asee.
Uingereza case za namna hiyo nyingi sana zimewahi funguliwa na makampuni yakalipa fidia ya mamilioni ya paund Kwa uzembe.

Watanzania Si wafutatiliaji wa HAKI zao, serious ikiwa line Yako ilikuwa umesajiliwa na wakampa mtu mwingine,

Ukipata wakili mzuri ukafungua case court kudai fidia, kampuni itakuita chemba myamalize,

Utapata pesa, na Ujinga huo wataacha.
 
Unaamanisha huduma za Mobile Money ni Africa tu ndio zinafanya kazi
Mobile money mfano wa mpesa tigo pesa, airtel money zimefaulu afrika kwa sababu zilitengenezwa afrika... Ulaya walijaribu zikafail, South pia zimefail.
 
Kwanini ilifeli?
Mpesa ilipoanza haikuanza kama huduma ya kutuma pesa, safaricom walilenga kudevelop huduma ya kutuma mikopo kwa watu wa kipato cha chini. Lakini wakaja kugundua watu hao wanaitumia kama njia ya kutumiana pesa. So, wakarudi mezani na kuja na hiyo product, na toka mwanzo walilenga watu wenye viswaswandu maana internet afrika shida ndio maana ilikuwa ina USSD toka mwanzo kitu amabcho kuna nchi USSD haitumiki kabisa hasa nchi kama Japan, na baadhi za ulaya.
So ilipofanikiwa Afrika wakadhani na ulaya itafanikiwa nadhani walianza na Romania, kule mitandao ya kibenki, paypal, na huduma nyingi zimeshashika kasi. Mpesa ilikuwa developed kwa watu ambao wako nje ya mfumo wa kibenki na ndio maana hata south ilifail.
 
Mpesa ilipoanza haikuanza kama huduma ya kutuma pesa, safaricom walilenga kudevelop huduma ya kutuma mikopo kwa watu wa kipato cha chini. Lakini wakaja kugundua watu hao wanaitumia kama njia ya kutumiana pesa. So, wakarudi mezani na kuja na hiyo product, na toka mwanzo walilenga watu wenye viswaswandu maana internet afrika shida ndio maana ilikuwa ina USSD toka mwanzo kitu amabcho kuna nchi USSD haitumiki kabisa hasa nchi kama Japan, na baadhi za ulaya.
So ilipofanikiwa Afrika wakadhani na ulaya itafanikiwa nadhani walianza na Romania, kule mitandao ya kibenki, paypal, na huduma nyingi zimeshashika kasi. Mpesa ilikuwa developed kwa watu ambao wako nje ya mfumo wa kibenki na ndio maana hata south ilifail.
unapowaambia USSD wengine wasielewe. kuwarahisishia ussd ni sawa na sms - short message service.
 
Ulaya na Amerika hakuna hizo mambo.
Kwa nini ulaya zimefeli? Je huduma za benki ni rahisi kuliko mobile money?
Naonaga bongo watu wasio na kipato cha uhakika huduma za benki zinawashinda.

Hata akaunti za wanafunzi wa chuo mwisho wa kutumika ni anapomaliza chuo, baada ya hapo asipopata ajira anabaki na mobile money yaani tigopesa na ukoo wake.
 
Mahakama ya Juu ya Rufaa nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya Vodacom dhidi ya mbunifu wa huduma ya ‘Tafadhali Nipigie,’ Kenneth Makate.

Aidha, mahakama imeiamuru Vodacom imlipe Makate kati ya asilimia 5 hadi 7.5 ya jumla ya mapato yaliyotokana na huduma hiyo kwa zaidi ya miaka 18 iliyotumika, pamoja na riba.

======

In a major win for 'Please Call Me' creator, Kenneth Nkosana Makate, the Supreme Court of Appeal dismissed Vodacom's appeal with costs.

The court further ordered the cellphone network service provider to pay Makate between 5 and 10% of the total revenue that the service generated over the last 18 years.

According to court documents, Vodacom has to determine a reasonable compensation amount due to Makate within 30 days.

The protracted battle between Vodacom and Makate began in November 2000 when Makate, a former Vodacom employee, came up with the 'Please Call Me' feature.

Makate came up with the idea more than 20 years ago when he had a long-distance relationship with his now wife, who was a student then. As communication was difficult at the time, he came up with the invention.

A former Vodacom chief executive promised Makate compensation for his invention, but the company later backtracked when the service became a success.

In April 2016, the Constitutional Court ruled in Makate’s favour, ordering Vodacom chief executive Shameel Joosub to make a determination on reasonable compensation for Makate.

Vodacom made a determination of R47 million, which was rejected by Makate and his legal team, who valued fair compensation closer to R28 and R110 billion.

Judge Wendy Hughes made it clear in her ruling that the calculations used by Joosub in offering Makate R47 million for what she called a brilliant invention was by far too conservative.

Makate and Vodacom have been involved in a back-and-forth court battle for fair and reasonable compensation for nearly a decade since the Constitutional Court ruled on the matter.
Makate and Vodacom have been involved in a back-and-forth court battle for fair and reasonable compensation for nearly a decade since the Constitutional Court ruled on the matter.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Vodacom kufanya makosa ya namna hii na kuamriwa kulipa fidia. Sijui shida ya hawa watu ni nini?

Ilitokea hivi kwa huduma ya M-Pesa kwa Tanzania, walipelekewa wazo na mwanamama mmoja (tusimtaje jina hapa), ila wakalikataa.

Baadaye walipoona binamu zao, Safaricom ya Kenya wanatusua na huduma kama hii wakiita Mombasa Pesa (M Pesa), na wao wakaanza kuifanya Tanzania.

Kwa kujaribu kumkwepa yule mama mwenye wazo hilo, wakajitia kuwa wameunganisha huduma hiyo na Safaricom, wakaiita hivyo hivyo M Pesa.

Wakadaiwa fidia na mwenye wazo, ndiyo wakalazimika kumfanya ndiye Wakala Mkuu wa M Pesa, ili avute hela kwa kila muamala wa M Pesa.

Ova
Wakadaiwa fidia na mwenye wazo, ndiyo wakalazimika kumfanya ndiye Wakala Mkuu wa M Pesa, ili avute hela kwa kila muamala wa M Pesa.[emoji419][emoji375]


Sent using Jamii Forums mobile app
 
unapowaambia USSD wengine wasielewe. kuwarahisishia ussd ni sawa na sms - short message service.
Hapa ujaelezea bali umeweka kirefu ambacgo bado ni very technical kuelezea ni....USSD ni code zinazo run(kufanyika) nyuma ya panzia kifanikisha lengo mfano wa USSD ni *147*00# kujiunga Tigo then ukiingiza hizo Code nyengine zina Run...ni mfumo usiotumia internet.
 
Back
Top Bottom