Ngoja nikawashitaki jamaa, niliwapigia simu waifungie line yangu kwa muda mpaka nitakapowambia kuifungua wao wamempa mtu mwingine.Wananchi wajijue HAKI zao,
Kampuni ya simu kumpa mtu mwingine line Yako bila ridhaa Yako,
Hiyo pekee inatosha kuifanya kampuni ishtakiwe na kulipa pesa nyingi kama fidia.
Makampuni ya simu yanajua SHERIA, lakini sababu ya Ujinga wa customers wanakiuka SHERIA.
Tafuta wakili mzuri,Ngoja nikawashitaki jamaa, niliwapigia simu waifungie line yangu kwa muda mpaka nitakapowambia kuifungua wao wamempa mtu mwingine.
Hawa jamaa jau sana na line hiyo niliunganisha kwenye mishe zangu kibao asee.Tafuta wakili mzuri,
Ukipata PESA kutokana na fidia utakayolipwa,itasaidia kuwafanya watumie akili vizuri.
Uingereza case za namna hiyo nyingi sana zimewahi funguliwa na makampuni yakalipa fidia ya mamilioni ya paund Kwa uzembe.Hawa jamaa jau sana na line hiyo niliunganisha kwenye mishe zangu kibao asee.
Mobile money mfano wa mpesa tigo pesa, airtel money zimefaulu afrika kwa sababu zilitengenezwa afrika... Ulaya walijaribu zikafail, South pia zimefail.Unaamanisha huduma za Mobile Money ni Africa tu ndio zinafanya kazi
Ulaya na Amerika hakuna hizo mambo.Unaamanisha huduma za Mobile Money ni Africa tu ndio zinafanya kazi
Mpesa ilipoanza haikuanza kama huduma ya kutuma pesa, safaricom walilenga kudevelop huduma ya kutuma mikopo kwa watu wa kipato cha chini. Lakini wakaja kugundua watu hao wanaitumia kama njia ya kutumiana pesa. So, wakarudi mezani na kuja na hiyo product, na toka mwanzo walilenga watu wenye viswaswandu maana internet afrika shida ndio maana ilikuwa ina USSD toka mwanzo kitu amabcho kuna nchi USSD haitumiki kabisa hasa nchi kama Japan, na baadhi za ulaya.Kwanini ilifeli?
Hizo zipo nyingi tu, sema watu wasiri tu hawataki kugawana dhambi.Mimi naanzisha App ya ku-request papuchi iliyopo jirani na wewe
unapowaambia USSD wengine wasielewe. kuwarahisishia ussd ni sawa na sms - short message service.Mpesa ilipoanza haikuanza kama huduma ya kutuma pesa, safaricom walilenga kudevelop huduma ya kutuma mikopo kwa watu wa kipato cha chini. Lakini wakaja kugundua watu hao wanaitumia kama njia ya kutumiana pesa. So, wakarudi mezani na kuja na hiyo product, na toka mwanzo walilenga watu wenye viswaswandu maana internet afrika shida ndio maana ilikuwa ina USSD toka mwanzo kitu amabcho kuna nchi USSD haitumiki kabisa hasa nchi kama Japan, na baadhi za ulaya.
So ilipofanikiwa Afrika wakadhani na ulaya itafanikiwa nadhani walianza na Romania, kule mitandao ya kibenki, paypal, na huduma nyingi zimeshashika kasi. Mpesa ilikuwa developed kwa watu ambao wako nje ya mfumo wa kibenki na ndio maana hata south ilifail.
Kwa nini ulaya zimefeli? Je huduma za benki ni rahisi kuliko mobile money?Ulaya na Amerika hakuna hizo mambo.
Nadhani inaingiza kwa aliyeambiwa tafadhali nipigie kipigaHivi tafadhali nipigie inaingizahe hela?
Akipiga anakatwa?Nadhani inaingiza kwa aliyeambiwa tafadhali nipigie kipiga
Makate and Vodacom have been involved in a back-and-forth court battle for fair and reasonable compensation for nearly a decade since the Constitutional Court ruled on the matter.Mahakama ya Juu ya Rufaa nchini Afrika Kusini imetupilia mbali rufaa ya Vodacom dhidi ya mbunifu wa huduma ya ‘Tafadhali Nipigie,’ Kenneth Makate.
Aidha, mahakama imeiamuru Vodacom imlipe Makate kati ya asilimia 5 hadi 7.5 ya jumla ya mapato yaliyotokana na huduma hiyo kwa zaidi ya miaka 18 iliyotumika, pamoja na riba.
======
In a major win for 'Please Call Me' creator, Kenneth Nkosana Makate, the Supreme Court of Appeal dismissed Vodacom's appeal with costs.
The court further ordered the cellphone network service provider to pay Makate between 5 and 10% of the total revenue that the service generated over the last 18 years.
According to court documents, Vodacom has to determine a reasonable compensation amount due to Makate within 30 days.
The protracted battle between Vodacom and Makate began in November 2000 when Makate, a former Vodacom employee, came up with the 'Please Call Me' feature.
Makate came up with the idea more than 20 years ago when he had a long-distance relationship with his now wife, who was a student then. As communication was difficult at the time, he came up with the invention.
A former Vodacom chief executive promised Makate compensation for his invention, but the company later backtracked when the service became a success.
In April 2016, the Constitutional Court ruled in Makate’s favour, ordering Vodacom chief executive Shameel Joosub to make a determination on reasonable compensation for Makate.
Vodacom made a determination of R47 million, which was rejected by Makate and his legal team, who valued fair compensation closer to R28 and R110 billion.
Judge Wendy Hughes made it clear in her ruling that the calculations used by Joosub in offering Makate R47 million for what she called a brilliant invention was by far too conservative.
Makate and Vodacom have been involved in a back-and-forth court battle for fair and reasonable compensation for nearly a decade since the Constitutional Court ruled on the matter.
Wakadaiwa fidia na mwenye wazo, ndiyo wakalazimika kumfanya ndiye Wakala Mkuu wa M Pesa, ili avute hela kwa kila muamala wa M Pesa.[emoji419][emoji375]Hii itakuwa ni mara ya pili kwa Vodacom kufanya makosa ya namna hii na kuamriwa kulipa fidia. Sijui shida ya hawa watu ni nini?
Ilitokea hivi kwa huduma ya M-Pesa kwa Tanzania, walipelekewa wazo na mwanamama mmoja (tusimtaje jina hapa), ila wakalikataa.
Baadaye walipoona binamu zao, Safaricom ya Kenya wanatusua na huduma kama hii wakiita Mombasa Pesa (M Pesa), na wao wakaanza kuifanya Tanzania.
Kwa kujaribu kumkwepa yule mama mwenye wazo hilo, wakajitia kuwa wameunganisha huduma hiyo na Safaricom, wakaiita hivyo hivyo M Pesa.
Wakadaiwa fidia na mwenye wazo, ndiyo wakalazimika kumfanya ndiye Wakala Mkuu wa M Pesa, ili avute hela kwa kila muamala wa M Pesa.
Ova
Hapa ujaelezea bali umeweka kirefu ambacgo bado ni very technical kuelezea ni....USSD ni code zinazo run(kufanyika) nyuma ya panzia kifanikisha lengo mfano wa USSD ni *147*00# kujiunga Tigo then ukiingiza hizo Code nyengine zina Run...ni mfumo usiotumia internet.unapowaambia USSD wengine wasielewe. kuwarahisishia ussd ni sawa na sms - short message service.