Wako hivyo....1+1 na inakuwa audited Vodafone standard.....wame run backhaul minara yoote fiber nchi nzima....hakuna issue za congestion....ngoja tusubiri tech report tutajua ilikuwa nini ukute servers za biling na authentication.....plus licenses ukute sio issue za BH...!! Tujipe muda
Yani vodacom siwaelewi kabisa
Muamala toka jana nimetuma adi sasa hivi haujafika na hakuna huduma ya kuongea na customer service wao
Bora tuhamie airtel tu kwakweli
Yani vodacom siwaelewi kabisa
Muamala toka jana nimetuma adi sasa hivi haujafika na hakuna huduma ya kuongea na customer service wao
Bora tuhamie airtel tu kwakweli