Vodacom yapata hasara ya shillingi bilioni 5.06 ndani ya miezi sita kutoka Septemba 2020

Vodacom yapata hasara ya shillingi bilioni 5.06 ndani ya miezi sita kutoka Septemba 2020

Wiki au Miezi?

Sijaelewa.

Maana ukiniambia Miezi 6 kutokea Sept 2020 hafu sahivi tupo Nov sijaelewa.
Vodacom (T) reported a net loss of 5.06bn/- in six months to September due to tax penalties dated back over 10 years ago.

Kizungu kimekaa poa zaidi
 
500 dk 15 na dk 5 za saa sita usiku😄😄😄😄😄
 
Biashara kama ailipi si unaacha,wakipataga faida mbona awatangazi kama wamepata faida!!
 
Waache tu wale hasara tena mbona ndogo sana wao wanatuiibia sana walalahoi sie, wacha msumeno ufanye kaz yake bhana
 
Vodacom walivyo wezi wanapataje hasara? au ndiyo kujinyenyekeza! wakiamua kukata sh100 kwa kila mteja hiyo hasara inatokeaje.?
 
Once unaposhiriki muovu lazima ubebe hizo expenses, Vodacom ni wahujumu mojawapo wa uchafuzi wa 2020, hivyo kama wamepigwa hilo panga ni halali.

Wasiwahusishe tuu na makato yao.
 
Sio miezi sita kutoka September, ni miezi sita hadi kufikia September ( ina maanisha toka Machi). Inamaana hujui kiswahili?
 
 
View attachment 1628441
Vodacom (T) imeripoti hasara ya shillingi bilioni 5.06 miezi sita kutoka Septemba 2020 kwa sababu ya adhabu dhidi ya makosa ya zamani yanazohusiana kodi kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita.

Kulingana na maoni ya wachambuzi mbalimbali, ripoti hiyo ya nusu mwaka kwa kipindi hiki imechora picha mbaya kwa kampuni hiyo kubwa nchini.

Licha ya kurekodi faida ya shillingi bilioni 1.74 kabla ya ushuru, - kampuni iliripoti hasara hiyo ya shillingi bilioni 5.06 - kwa sababu ya adhabu ya ushuru ya shillingi bilioni 5.9bn.

====
Vodacom (T) reported a net loss of 5.06bn/- in six months to September due to tax penalties dated back over 10 years ago. Semi-annual financial results for the period painted a dire portrait of the giant telco in the country, according to some analysts. Financials despite recording profits before tax of 1.74bn/- the company reported a net loss of 5.06bn/- due to tax penalties of 5.9bn/- for the treatment of capital allowances in 2006-2009.

The Court of Appeal ruled on a dispute in respect of capital allowances for these years. Orbit Securities said in its Weekly Market Synopsis on Monday that Voda reports raised the tax rate for the period to 390.7 per cent from 30.6 per cent in 2019. “Normalising tax penalties, net profit will stand at 835m/-, which is still 98 per cent lower compared to a similar period in 2019,” Orbit said. Vodacom is listed on Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) and its share was start the week trading at 770/-, which is drop of 9.41 per cent since January.Its financial statement showed that operating profits fell by 78.5 per cent, as a result of subdued revenue and constant expenses. Topline revenue fell by 10 per cent, while total expenses fell marginally by 0.4 per cent influenced by a drop in direct expenses, while all other expenses rose.

The gross margin has lowered by 100 basis points (bps) to 69.55 per cent, while the operating margin has fallen by 10.8 percentage points to 3.39 per cent, indicating tightening revenue than expenses. “The main challenge that led to such dire results was pricing pressure from increased competition considering the concentration of the telecom sector,” Orbit’s synopsis said. For instance, the leading stock brokerage firm said, as a result mobile data revenue fell by 4.2 per cent, while data traffic during a similar period rose by 43.8 per cent. According to reports by the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), the price per megabyte (MB) charged by Vodacom dropped by 80 per cent during the period from 205/- per MB in September last year to 40/- per MB in this September. Voice tariff has also fallen by 69 per cent during a similar period, and the trend is seen in almost all services.

Despite these challenges, Vodacom was able to pay a dividend of 427.46bn/- during the week under review, further eating up the company’s cash balance reported up to 630.66bn/- as at the end of this September. Orbit has it that lowered cash balance will possibly limit finance income in the coming periods as well as limit the company’s capacity to utilise expansion opportunities. “The telco also has to step up capital expenditure to sustain maintenance of depreciable assets as depreciation expenses have been consistently exceeding capital investments,” the brokerage firm said.

Source:

Hawa wanaojisifu wanakusanya kodi, hivyo ndivyo kodi zenyewe zinavyokusanywa. Wanaangalia biashara toka miaka kadhaa iliyopita. Wanakuja na estimates za ajabuajabu na Hakuna namna lazima zilipwe.

Namna hiyo kampuni nyingi zinachechemea
 
Voda inawateja mil 15.67 wakichukua watu mil 15 tu wakakatwa mia5 kwa mwezi wanapata billion 7 point hasara inakua ishafidiwa haraf chench wanagawana
 
Shareholders kubebeshwa mzigo. Najuta kununua vidacom shares.
 
Wateja wa Voda hiyo hasara wataifidia tu
[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
 
View attachment 1628441
Vodacom (T) imeripoti hasara ya shillingi bilioni 5.06 miezi sita kutoka Septemba 2020 kwa sababu ya adhabu dhidi ya makosa ya zamani yanazohusiana kodi kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita.

Kulingana na maoni ya wachambuzi mbalimbali, ripoti hiyo ya nusu mwaka kwa kipindi hiki imechora picha mbaya kwa kampuni hiyo kubwa nchini.

Licha ya kurekodi faida ya shillingi bilioni 1.74 kabla ya ushuru, - kampuni iliripoti hasara hiyo ya shillingi bilioni 5.06 - kwa sababu ya adhabu ya ushuru ya shillingi bilioni 5.9bn.

====
Vodacom (T) reported a net loss of 5.06bn/- in six months to September due to tax penalties dated back over 10 years ago. Semi-annual financial results for the period painted a dire portrait of the giant telco in the country, according to some analysts. Financials despite recording profits before tax of 1.74bn/- the company reported a net loss of 5.06bn/- due to tax penalties of 5.9bn/- for the treatment of capital allowances in 2006-2009.

The Court of Appeal ruled on a dispute in respect of capital allowances for these years. Orbit Securities said in its Weekly Market Synopsis on Monday that Voda reports raised the tax rate for the period to 390.7 per cent from 30.6 per cent in 2019. “Normalising tax penalties, net profit will stand at 835m/-, which is still 98 per cent lower compared to a similar period in 2019,” Orbit said. Vodacom is listed on Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) and its share was start the week trading at 770/-, which is drop of 9.41 per cent since January.Its financial statement showed that operating profits fell by 78.5 per cent, as a result of subdued revenue and constant expenses. Topline revenue fell by 10 per cent, while total expenses fell marginally by 0.4 per cent influenced by a drop in direct expenses, while all other expenses rose.

The gross margin has lowered by 100 basis points (bps) to 69.55 per cent, while the operating margin has fallen by 10.8 percentage points to 3.39 per cent, indicating tightening revenue than expenses. “The main challenge that led to such dire results was pricing pressure from increased competition considering the concentration of the telecom sector,” Orbit’s synopsis said. For instance, the leading stock brokerage firm said, as a result mobile data revenue fell by 4.2 per cent, while data traffic during a similar period rose by 43.8 per cent. According to reports by the Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA), the price per megabyte (MB) charged by Vodacom dropped by 80 per cent during the period from 205/- per MB in September last year to 40/- per MB in this September. Voice tariff has also fallen by 69 per cent during a similar period, and the trend is seen in almost all services.

Despite these challenges, Vodacom was able to pay a dividend of 427.46bn/- during the week under review, further eating up the company’s cash balance reported up to 630.66bn/- as at the end of this September. Orbit has it that lowered cash balance will possibly limit finance income in the coming periods as well as limit the company’s capacity to utilise expansion opportunities. “The telco also has to step up capital expenditure to sustain maintenance of depreciable assets as depreciation expenses have been consistently exceeding capital investments,” the brokerage firm said.

Source:
hayakuhusu mkuu, kwani hiyo kampuni ya kwako? Mbona wewe huweki kampuni zako ili tuone zimepata hasara au faida? Umekazana na kampuni za watu
 
Back
Top Bottom