Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Ahsante, kazi ya zamani sana duniani hiyo, hata kizazi vya Yesu kwenye biblia wako makahaba tena wa kutupwa. Siyo jipya hilo.
Hufahamu uislam na wala hujui uislam

Umezaliwa umekuta ndugu zako waislam ukapelekwa madrasa ndio mwisho wa unachokijua

Hakuna maandishi ya kiislam yanayomtaka mwanamke ajikweze na ajae matusi mdomoni

Mwanamke kamili wa kiislam Saudia anafundishwa kuwa mke wa pili, tatu na nne

Tanzania kuna mkanganyiko wa dini ya kiislam,

Angalia Iddi ya Tanzania, Tanzania kuna uislam mpya ambao haufuati taratibu za Mecca

Afrika mashariki, Tanzania wana Idi yao ambayo wanafuata mwezi wao tofauti

Swali, Nani anatafsiri upya dini hii Tanzania kuhusu kufunga na kufungua kwa waislam, Maandishi yaliyopo ni ya Abu Bakr

Na sasa waislam wamezidi kugawanywa kwa Misingi ya itikadi, Hakuna sherehe moja ya Idi tena Tanzania, Wa kweli wanafungua lakini sherehe haitambuliki na serikali

Wengine wananuna lakini hawana la kufanya wanafungua siku ya serikali

Hayo ndio mambo ya kujadili, Nani anatakiwa auone mwezi Tanzania, Mwezi upo Tabora na Tandahimba unaambiwa hujaonekana Endelea kufunga

Mwezi upo Mombasa na watu baadhi ya Tanga wanauona unaambiwa haujaonekana

Hii Idi ya Tanzania ni uislam mpya au?
 
Mwinyi atapata resistance kubwa sana kwamba nchi imekuwa ya kifalme, 2030 tutampa Majaliwa
 
Mkuu Maalim Airfryer , kwanza asante kuchangia bandiko hili, pili asante kwa ilmu kuhusu Uislamu Safi, ila hii ni nje ya mada, nakuomba fungua darsa humu, ili hawa wafia dini wa humu kama , Bibie FaizaFoxy wanyoroke.
Natanguliza shukrani.
P
 
Nikisoma katikati ya maandishi naona Pasco huna imani na huyu Mama.

Nikirejea uandishi wako wa siku nyingi humu na uzoefu wako wa siasa za ndani ndani huko naona tayari upepo wa nchi haupo pamoja na Mama 2025..

Na nikimwangalia Mama mwenyewe naona kabisa hana nguvu wala ushawishi wa kulazimisha kuendelea baada ya 2025.

Hasa akiambiwa mrithi wako huenda akawa "nduguyo" basi Mama hatakuwa na nongwa kabisa.
 
Hilo tusi liko wapi? We fala nini? Uisla unaugumu upi mtu kuujuwa? Acha kutishia watu kwa Uislam.

Tunawafahamu nyinyi, hoja zikwashinda mnaanza kujaribu "character assassination.

Unataka kuuelewa Uislam unatakiwa upige goti kwangu nikupe darsa.

Sasa ya mwezi yanahusu nini hapa, na wewe kila unaloambiwa unakubali, ndio upoyoyo wenyewe huo, si kula tu ulikatazwa na nani? Wewe hata kwa mwezi wako kula tu. Rukhsa, au huelewi hilo? Kwanini ungoje mwezi wa kuambiwa?
 
Huyo Pasco ni Msukuma na nani asiyeelewa kuna sukuma gang?

Huyu Pasco ni mnafik wa mwisho, fitina na majungu hajaanza leo huyo.
 
Unataka kuuelewa Uislam unatakiwa upige goti kwangu nikupe darsa
Mbona unajikweza kiasi hiki ?

Sasa ya mwezi yanahusu nini hapa, na wewe kila unaloambiwa unakubali, ndio upoyoyo wenyewe huo, si kula tu ulikatazwa na nani? Wewe hata kwa mwezi wako kula tu. Rukhsa, au huelewi hilo? Kwanini ungoje mwezi wa kuambiwa?
Bakwata ndio wenye hilo jukumu la kutangaza kuanza kwa mfungo au kumalizika kwake ili kuondoa mkanganyiko.
 
Mkuu idawa , kwanza asante sana kwa mchango wako na uwezo wako wa kunisoma in between the lines, ila naomba nikuhakikishie, it's not my making, it's the voices from within!.

Sikukisema vyote nilivyo ambiwa, na hiyo sauti labda nikivisema vyote itasaidia kwa kuvi mitigate kabla ya 2025 ili Mama aendelee.

Kinachonifanya nisiseme kila kitu ni kwasababu kauli nyingine huumba!. Nisije nikasema humu, halafu yakatokea ya kutokea tukaaanza kunyoosheana vidole!.

Hata mimi kujiunga JF nikauli za wana JF
ile 2008 nikiwa naendesha bike Morogoro Rd mitaa ya Manzese, kuna mwana JF akanianzishia uzi kuhusu uendeshaji wangu wa bike.

Kilichofuata hata wiki haikupita... mimi chali!. Uzi ule wa kwanza ukafutwa na kupandishwa huu
Pascal Mayalla apata ajali..... na ndipo nami nikatua rasmi humu JF na baada ya mwaka nikatoa shukrani
Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
from then mimi ni mtu makini sana



P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…