ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,586
- 3,857
Mtoto wa Samia, umelewa?Kwa maoni yangu, Rais Samia Suluhu Hassan anafanya vizuri sana. Hali ya uchumi inasababishwa na matatizo ya uchumi wa kidunia. Lakini anafanya vizuri naa Hana uchu wa MADARAKA. Aachwe, apewe nafasi AFANYE KAZI Kwa uhuru mpaka kipindi CHAKE kiishe.
Bernard Camilius Membe pia ataweza kuwa Rais mzuri sana baada ya Rais Samia kumalizwa muda wake.
Mwingine ambae atamrudisha mshikamano, ataondoka dhulma ni Mzee WA chuga AbdulRahman KINANA. Pia anafaa Sana kuwa Rais wa Tanzania.
Hayati sauti yake ilikuwa inamsaidia kumtuliza adui..
2025, too far taifa litakuwa limeangimia. Chali. Majaliwa, Hussein Mwinyi watakuwa viongozi wazuri.Wazanzibar inatosha sasa. Akimaliza muda wake atoke tu.
Samia alishasema atagombea mwaka 2025, ndio maana wale waandishi kwenye lile gazeti la Uhuru waliomlisha maneno walichukuliwa hatua.
zitto junior TUJITEGEMEE
JokaKuu
No elvischirwa , hujanikwaza bali umesaidia sana kuwaelimisha watu humu jinsi ya to read in between the lines kwa kutenganisha Mungu na mungu, na kiukweli kuna sauti mtu anaisikia akadhani ni sauti ya Mungu kumbe sio sauti ya Mungu bali ni sauti ya mungu.Asante, ila unisamehe kama nimekukwaza.
Kwahiyo P yaani ccm ni undugunization 100% , Samia amuachie mdogo wake damudamu aiseeee maccm mna shidasana na aibu hamna .
Polite projection by december expect to fetch tshs 7000/=2025 ni mbaal mno, Kwa mfano Nan aweza kutabiri Bei za mafuta kufika December 2022, tutanunua petrol Kwa sh ngap?? Busara itumimike mapema!!!!
Lakini akijua kutafuta majibu, kama hapo anakubananisha mpaka unatoka hoiHayati sauti yake ilikuwa inamsaidia kumtuliza adui..
Asante mkuuMkuu cabo , asante sana kwa swali hili, japo linaonekana kama ni swali lakijinga sana kwa sababu inatarajiwa kila Mtanzania ni lazima aijue katiba, the basics, kuwa rais akitokea upande mmoja wa muungano, VP ni lazima atoke upande mwingine. Samia ni rais kutoka Zanzibar hawezi kumteua Dr Mwinyi kuwa VP.
Ila tulipo ungana, Rais wa Zanzibar ndie VP wa kwanza, halafu PM ndie VP wa pili. Samia akiamua kumrudishia hadhi rais wa Zanzibar kwenye hii setup ya muungano, anaweza. Kwa sasa ndani ya set up ya muungano, rais wa Zanzibar is nothing,ni nobody!. Anaelezwa kuwa atateuliwa na Rais wa JMT kuwa Waziri asiye na Wizara maalum ili tuu aweze kuhudhuria cabinet meetings lakini ndani ya setup ya muungano rais wa Zanzibar is nobody!, na mpaka hapa ninapoandika, katiba ya JMT haitambui GNU, wala wale Makamo wawili wa kule, ila tuu wanatambulika ki protokali kwa heshima tuu. Hivyo sasa maadam Rais wa JMT ni kutoka Zanzibar, huu sasa ndio wakati muafaka kwa hadhi ya Zanzibar ndani ya muungano iwe restored, Katiba ya JMT iitambue katiba ya Zanzibar na ku ya adopt mabadiliko yake. Rais wa Zanzibar awe restored kuwa VP etc etc.
P
Mimi nasema hakuna kiongozi asievutia kwakwe....Tunaweza kusema mimi nikupata madaraka basi nitasaidia maskini lakini lazima nitavutia kwangu kwanza....Lakini akijua kutafuta majibu, kama hapo anakubananisha mpaka unatoka hoi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kundi la nyoka ni nyoka tu usijaribu kuweka kidole utakufa, hao uliowataja wamepata madaraka kwa hila nao watawaandaa watoto wao.2025, too far taifa litakuwa limeangimia. Chali. Majaliwa, Hussein Mwinyi watakuwa viongozi wazuri.
Nakujibu soon mkuuUpo kimya sana kule kwenye e-mails. Kuna shida pahala?
Mtu safi mkuu wewe utakuwa unategemea familia ikulisheMama SSH ni mtu safi sana, tatizo 'mafisi' yalishamzunguka