Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa 2025 should be Dr. Hussein Mwinyi kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Sauti hiyo ikasema ni Rais Samia mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr. Hussein Mwinyi, 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Samia, kwa awamu moja tuu,.
Ni kweli ili aliyepo akafanye royal tour part two upande ule
 
Yaani huyu ndugu yangu uchambuzi wake siku hizi umekosa objectivity kabisa. Uraisi siyo entitlement. Kuna wengi amewapigia chapuo kwenye uongozi kwa sifa kemkem, unfortunately they failed. Massively. Tujifunze kuweka urafiki na mahaba pembeni kwa maslahi mapana ya taifa.

Paskali kwa exposure na weledi ulio nao....more is expected from you. Siyo hizi cheap cheap arguments za kufurahisha marafiki.

Wasalaam

Umesoma aliyoandika na ku refer.
 
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.

Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti

Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa 2025 should be Dr. Hussein Mwinyi kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Sauti hiyo ikasema ni Rais Samia mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr. Hussein Mwinyi, 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Samia, kwa awamu moja tuu,.

Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndio sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke atakagombea urais wa JMT kwa 2030.

Japo Tanzania, tulipania 2025 twende na mgombea mwanamke, na mimi niliunga mkono hoja hii Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
kama hii sauti ni yake YEYE kweli, then unamaanisha kwa uchaguzi wa 2025, Tanzania tuna mgombea mmoja tuu Mwanamke, yaani the one and only ambaye ama anatakiwa na YEYE apumzike ampishe Mwinyi ama ...

Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.

Hiyo 2014 wakati mimi nikisema mgombea wa CCM kwa 2015 ni Magufuli, wakati huo unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye.

Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Samia mwenyewe hajui, na kwasababu ni Rais Samia aliyependekeza 2025 twende na mgombea mwanamke, unaweza kuta ni Samia anajipanga kuendelea, huku Dr. Mwinyi akiji set kwa his second term in Zanzibar, wala hahui kuwa yeye ndiye rais wa JMT, 2025.

Hata ile siku niliyoisikia sauti hii
Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Spika Job Ndugai hakujua hatakuwa Spika, wala Dr. Tulia hakujua kuwa yeye ndiye spika ajae.

Hata ile siku namzungumzia huyu DC, Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam DC mwenyewe alikuwa hajui, na watu humu wakanidhania mimi ni mtu wa kule naniliu na kudhani nimeleta za jikoni.

Hili sasa ni langu, hili la Mwinyi kuja huku, usikute ni mpango ya YEYE, kumfanya huyu jamaa Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii
Hata wakati nikiandika hayo, Dr. Shein alikuwa hajui, hivyo saa hizi, usikute huyu jamaa wala hajajijua yeye ndiye rais ajaye wa Zanzibar

Hitimisho
Kwa vile mimi ni Msukuma, naweza kutuhumiwa ni sehemu ya Sukuma Gang wasiotaka Samia aendelee 2025 to 2030. Naomba kwanza niwathibitishie I don't believe hiki kitu kinachoitwa Sukuma Gang kina exist. Mimi ni Msukuma na sio Sukuma Gang, ila pia ni Mimi ndio nilimtabiria Samia urais wa JMT toka 2017, Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
nikashauri Blaza asigombee 2020 ampishe Samia, but no one takes me seriously, you never know, kama JPM angeusikiliza ushauri wa bandiko hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” nilishauri

probably ange...
Mwaka 2020 nikasema humu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
nilisema

Hivyo it's up to Mama, kuna kitu nimeambia ni kwa nini Mama amuombe Mwinyi, ila sio lazima kusema kila kitu. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo mpaka umelisikia hili nimelisema, ujue lina maslahi kwa Taifa.

Kitu muhimu ni nimesikia sauti, nimesema nilichosikia, nimetimiza wajibu wangu.

Paskali
(Mzee wa The Voices Within)
Wewe ni mtu wa system wala hakuna cha utabiri bali ndio mpango mlio nao..

Vyovyote mlivyopanga kama mgombea wenu atakuwa mtu wa kupenda biashara na ustawi wa uchumi sina shida nae ila kama atakuwa kama huyo marehemu nitafikiria kuhamia Nchi jirani niendelee na maisha huko..

Siwezi kuishi maisha ya paka na panya au maisha ya kutaka watu wawe maskini chini ya sera za kipuuzi za kijamaa..

Namuunga mama mkono kwa sababu ya sera za kibepari, naamini Ili uondoe umaskini lazima utembee na Ubepari.
 
Tatizo kubwa la watu wa nchi hii kuishi kwa ramli, kujifanya wanatabiri sijui wanna ya mbele.

Na sometimes ni upuuzi mtupu, unkuta watu wazima kbisa wanapotea muda na bando kujadili tetesi na UZUSHI Kama vile ndio uhalisia.

Na akili za wabongo zilivyo, chochote wanachikiona wait wanachukua na kumeza na kukiamini utafikiri imani za dini.

Na tatizo unakuta mtu anachonga tetesi na utabiri based on CHUKI au PROPAGANDA.

Rais Samia yupo na atakuwepo. Na dalili zzote ziko wazi kuwa atagombea 2025 maana Hilo liko wazi.

Pili, Watu wote mnaomhisi Mwinyi ( ambaye Hana maajabu yoyote Kiuongozi kumzidi Samia ) Ni kwasababu HAMUAMINI katika Wanawake ( msiohusiana nao ).

Yaani JITU liko tayari kupata Kiongozi mbovu ilimradi tu Ni Mwanaume. Hivi huyo Mwinyi zaidi ya kuwa MTOTO wa Mwinyi na KUSIMIKIWA na JESHI kuwa Rais wa Zanzibar ana maajabu gani mengine???

Punguzeni CHUKI na ROHO MBAYA.

Unamchukia Kiongozi mwanamke kwasababu tu siyo Ndugu yako.

Hivi angekuwa Mama yako au dada yako ungekuwa UNAPAYUKA PAYUKA kiwa Wanawake hawafai kuwa Viongozi.

Soma kwanza alichoandika Acha kukurupuka.
 
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.

Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti

Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa 2025 should be Dr. Hussein Mwinyi kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Sauti hiyo ikasema ni Rais Samia mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr. Hussein Mwinyi, 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Samia, kwa awamu moja tuu,.
Hizo ni bangi na "paradigm" ya kisukuma zimechanganyika.

Toka lini msukuma akakubali kwenye nafsi yake kuongozwa na mwanamke?

Unaleta porojo refu wakati hakuna cha sauti ya nani wala nani, kwanza anaesikia sauti zinamsemesha huyu "schizophrenic". Usije kuanza kuuwa watu tu, hata Son of Sam alianza hivyo hivyo.

Serial killers wote wanaanza hivyo hivyo. Una matatizo makubwa sana ya "psychiatric" .Muone daktari wa machizi mapema sana.
 
Mmeambiwa hiyo ni sauti yake kutoka ndani ndio ameisikiliza, na hii sio mara yake ya kwanza kuizungumzia hiyo "voice from within", sasa mnampigia kelele za nini?

Kama mnamuhumkumu PASKALI kuwa ana chuki kwa huyo aliyepo sababu ni mwanamke, basi nami nawahukumu nyie kwa mahaba yaliyopitiliza, kwangu hivyo vyote ni makosa, nyie wote hamfai kuwa majaji wazuri kwenye hii kesi.

Unadhani wamesoma? As always wamekurupuka
 
Pascal Mayalla anaonekana amenyaka nyeti za ndani, na sasa anatuzuga as 'vioice from within'.

Mimi ninadhani ni 'information from within' kutokana na uelewa wangu.

Kwa hiyo Pascal Mayalla ungesema hivi:

"Taarifa hiyo inasema kwamba namba moja awe ni Rais wa nchi kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Taarifa hiyo inasema ni namba moja mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr 2025 aje kugombea urais wa nchi, kuimalizia awamu ya pili ya namba moja, kwa awamu moja tuu".
 
Hizo ni bangi na "paradigm" ya kisukuma zimechanganyika.

Toka lini msukuma akakubali kwenye nafsi yake kuongozwa na mwanamke?

Unaleta porojo refu wakati hakuna cha sauti ya nani wala nani, kwanza anaesikia sauti zinamsemesha huyu "schizophrenic". Usije kuanza kuuwa watu tu, hata Son of Sam alianza hivyo hivyo.

Serial killers wote wanaanza hivyo hivyo. Una matatizo makubwa sana ya "psychiatric" .Muone daktari wa machizi mapema sana.



Unaweza kutuambia kwa nini kwenye uislam mwanamke haruhusiwi kuwa IMAM ili walau kuongoza sala?
 
Kwa maoni yangu, Rais Samia Suluhu Hassan anafanya vizuri sana. Hali ya uchumi inasababishwa na matatizo ya uchumi wa kidunia. Lakini anafanya vizuri naa Hana uchu wa MADARAKA. Aachwe, apewe nafasi AFANYE KAZI Kwa uhuru mpaka kipindi CHAKE kiishe.

Bernard Camilius Membe pia ataweza kuwa Rais mzuri sana baada ya Rais Samia kumalizwa muda wake.

Mwingine ambae atamrudisha mshikamano, ataondoka dhulma ni Mzee WA chuga AbdulRahman KINANA. Pia anafaa Sana kuwa Rais wa Tanzania.
Hata mimi uliniambiae Kuhusu Samia sitokuelewa sio kwa sababu ni ushabiki bali facts,hadi sasa namba za Uchumi zinasoma vyema kuliko awamu iliyopita..

Hai make sense eti matatizo ya Uchumi wa Dunia yaonekane ni matatizo ya Samia..

Hapa shida ni Uzanzibari wake na Uanamke wake nothing else..

Mtu kama Magufuli alifanya nini cha kwenye Nchi hii kwa mwaka wake mmja tukimlinganisha na Samia?
 
Unaweza kutuambia kwa nini kwenye uislam mwanamke haruhusiwi kuwa IMAM ili walau kuongoza sala?
Ni vizuri sana umeuliza swali kuhusu Uislam.

Mwanamke anaruhusiwa kuwa Imama na kusalisha, kuna vigezo na limits zake, hata mwanamme jhawezi kuwa Imama kuna vigezo na limits zake. Aliyekwambia mwanake haruhusiwi kuwa Imam, hajakosea, Mwanamke ni Imama siyo Imam

Labda uelewa wa maana ya neno Imam mlitofautiana.
 
Hata mimi uliniambiae Kuhusu Samia sitokuelewa sio kwa sababu ni ushabiki bali facts,hadi sasa namba za Uchumi zinasoma vyema kuliko awamu iliyopita..

Hai make sense eti matatizo ya Uchumi wa Dunia yaonekane ni matatizo ya Samia..

Hapa shida ni Uzanzibari wake na Uanamke wake nothing else..

Mtu kama Magufuli alifanya nini cha kwenye Nchi hii kwa mwaka wake mmja tukimlinganisha na Samia?
Screenshot_20220502-172908_2.jpg
 
Back
Top Bottom