Hizo ni bangi na "paradigm" ya kisukuma zimechanganyika.
Toka lini msukuma akakubali kwenye nafsi yake kuongozwa na mwanamke?
Unaleta porojo refu wakati hakuna cha sauti ya nani wala nani, kwanza anaesikia sauti zinamsemesha huyu "schizophrenic". Usije kuanza kuuwa watu tu, hata Son of Sam alianza hivyo hivyo.
Serial killers wote wanaanza hivyo hivyo. Una matatizo makubwa sana ya "psychiatric" .Muone daktari wa machizi mapema sana.
Tatizo lenu Nyie watu mnajaza kichwani elimu akhera ambayo tukiwaambia Someni ukweli kuhusu dini yenu na hicho kitabu
Abu Bakr ni mtu muhimu na msingi wa maandishi ya Quran, Huyu ndie alikuwa anajua kusoma na kuandika hapo Mecca, Kulikuwa na watu wawili tu wanaojua kusoma na kuandika mmoja wao ni Abu Bakr
Sasa wewe unakuwa na hasira baada ya Pascal kuelezea voice from within
Pascal alishasema Voice from within Samia atafaa kuwa Rais na JPM ampishe, Yaliyotokea yakatokea
Sasa anasikia tena sauti Samia atakuwa Rais wa miaka mitano, Wewe unaumia kitu gani?
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.
Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti
Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa 2025 should be Dr. Hussein Mwinyi kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.
Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Sauti hiyo ikasema ni Rais Samia mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr. Hussein Mwinyi, 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Samia, kwa awamu moja tuu,.
Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndio sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke atakagombea urais wa JMT kwa 2030.
Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.
Wanabodi, Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha...
www.jamiiforums.com
Hiyo 2014 wakati mimi nikisema mgombea wa CCM kwa 2015 ni Magufuli, wakati huo unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye.
Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Samia mwenyewe hajui, na kwasababu ni Rais Samia aliyependekeza 2025 twende na mgombea mwanamke, unaweza kuta ni Samia anajipanga kuendelea, huku Dr. Mwinyi akiji set kwa his second term in Zanzibar, wala hahui kuwa yeye ndiye rais wa JMT, 2025.
Pascal Mayalla una unabii ndani yako. Ili CCM iwe moja na ili CCM iendelee kuaminika na ili CCM Iendelee kuongoza nchi Dr. Mwinyi ndiye mgombea pekee anayekubalika na wote.
Kasimu Majaliwa Majaliwa na wafaasi wake na kundi lake kubwa ndani ya chama na Serikali hawana tatizo kabisa na DR. MWINYI na ni mtu sahihi kwa kipindi hiki na kipindi hicho(2025). Team Makamba wataumia sana ila ukweli hawana huruma hata kidogo na nchi yetu zaidi ya mission TOWN.
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.
Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti
Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa 2025 should be Dr. Hussein Mwinyi kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.
Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Sauti hiyo ikasema ni Rais Samia mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr. Hussein Mwinyi, 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Samia, kwa awamu moja tuu,.
Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndio sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke atakagombea urais wa JMT kwa 2030.
Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.
Wanabodi, Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha...
www.jamiiforums.com
Hiyo 2014 wakati mimi nikisema mgombea wa CCM kwa 2015 ni Magufuli, wakati huo unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye.
Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Samia mwenyewe hajui, na kwasababu ni Rais Samia aliyependekeza 2025 twende na mgombea mwanamke, unaweza kuta ni Samia anajipanga kuendelea, huku Dr. Mwinyi akiji set kwa his second term in Zanzibar, wala hahui kuwa yeye ndiye rais wa JMT, 2025.
Eti japo tulipania 2025 twende na mwanamke! [emoji28][emoji28][emoji28].. ila bandiko lako zuri. Na kwa mara ya kwanza nakubaliana na wewe pamoja na hiyo sauti yako from within..
Mwanamke anaruhusiwa kuwa Imama na kusalisha, kuna vigezo na limits zake, hata mwanamme jhawezi kuwa Imama kuna vigezo na limits zake. Aliyekwambia mwanake haruhusiwi kuwa Imam, hajakosea, Mwanamke ni Imama siyo Imam
walisema wakiwezeshwa wanaweza ila wanawake bado sana kuongoza taifa hili. Mfano mzuri SSH kauli anazotoa anatoa kauli kama SSH na si kama raisi, kiufupi anauwezo mdogo sana kwenye kuongoza sema wapambe ndio wengi...
Kwa maoni yangu, Rais Samia Suluhu Hassan anafanya vizuri sana. Hali ya uchumi inasababishwa na matatizo ya uchumi wa kidunia. Lakini anafanya vizuri naa Hana uchu wa MADARAKA. Aachwe, apewe nafasi AFANYE KAZI Kwa uhuru mpaka kipindi CHAKE kiishe.
Bernard Camilius Membe pia ataweza kuwa Rais mzuri sana baada ya Rais Samia kumalizwa muda wake.
Mwingine ambae atamrudisha mshikamano, ataondoka dhulma ni Mzee WA chuga AbdulRahman KINANA. Pia anafaa Sana kuwa Rais wa Tanzania.
Hizo ni bangi na "paradigm" ya kisukuma zimechanganyika.
Toka lini msukuma akakubali kwenye nafsi yake kuongozwa na mwanamke?
Unaleta porojo refu wakati hakuna cha sauti ya nani wala nani, kwanza anaesikia sauti zinamsemesha huyu "schizophrenic". Usije kuanza kuuwa watu tu, hata Son of Sam alianza hivyo hivyo.
Serial killers wote wanaanza hivyo hivyo. Una matatizo makubwa sana ya "psychiatric" .Muone daktari wa machizi mapema sana.
Punguza hasira mamaaa,watu waliomo jikoni washaona mbali mnaenda kuangukia kwenye shimo la moto na huyo mama yenu,na wameshaona Huyo mwinyi JR ndo apite hapo Katikati ya mstari mwembamba.
Halafu Kwani hujui kama kweli ulofanya comparison unaona nani anafaa kuja huku KWA tunaoitwa machogo!!!
Tatzo KWA Sasa mnakwara sana,yani ni mwendo wa "CHUKUA CHAKO MAPEMA"
maana bomu la 2025 habaki mtu na huyo mama yenu
Mimi nasalisha nyumbani kwangu kila siku. Na si wa kipekee, tupo wengi sana Au unamaanisha nini zaidi kwa UImam na Uimam?
Au unataka mwanamke akswalishe msikitini, Akisujudu msambwanda awaachie wanaoswali kaubinua Ng'weee? Kutakuwa na swalat hapo kwenye marijali. Usifanye mzaha na Uislam, haujaacha kitu. Mwanamke anachokatazwa ni kuswali mbele ya wanaume, anaweza kuswa nyuma ya wanaume. Na anaweza kuswalisha kama Imama kwa wanawake wenzake na watoto ambao hawajabalee, iwe wanawake au wanaume. Hakuna katazo hapo
Lakini kama unamaanisha Uimama ni uongozi, basi hilo hakuna lilipokatazwa.
Hayo malumbano unayoyasema ndiyo usomi huo. Ukikuta wawili au zaidi wanabishana, wewe chukuwa yote halafu changanya na yako, usingoje kuburuzwa tu kwa kuwa kuna watu wanakuwa wasemaji wazuri, wana vipaji na mvuto wa kuongea, wanaweza kukuamnisha chochote wapendacho, hata ambayo hayatendeki. Kama Nyerere, alikuwa msemaji mzuri sana, lakini nchi ikawa masikini wa mwisho duniani, na kila atachosema utaamini hiki ndicho chenyewe, kumbe porojo tu nyingi.
Tatizo lenu Nyie watu mnajaza kichwani elimu akhera ambayo tukiwaambia Someni ukweli kuhusu dini yenu na hicho kitabu
Abu Bakr ni mtu muhimu na msingi wa maandishi ya Quran, Huyu ndie alikuwa anajua kusoma na kuandika hapo Mecca, Kulikuwa na watu wawili tu wanaojua kusoma na kuandika mmoja wao ni Abu Bakr
Sasa wewe unakuwa na hasira baada ya Pascal kuelezea voice from within
Pascal alishasema Voice from within Samia atafaa kuwa Rais na JPM ampishe, Yaliyotokea yakatokea
Sasa anasikia tena sauti Samia atakuwa Rais wa miaka mitano, Wewe unaumia kitu gani?
Huna elimu ya nafsi (phsychology) wewe zaidi ya Muislam. Kumbuka hilo, humuwezi hata aliyemaliza juzuu ya kwanza tu.
Kwa maandiko yake, niliyomueleza ndiyo ukweli. Hiyo "voice within" ndio "schizophrenia", ushahidi huu hapa, kajisomee: Schizophrenia - Symptoms and causes
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.
Hii ni thread ya maono ya unabii, na sio utabiri na sio trends reading, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti
Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa 2025 should be Dr. Hussein Mwinyi kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.
Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu hadi 2025. Sauti hiyo ikasema ni Rais Samia mwenyewe willingly anatakiwa kumuomba Dr. Hussein Mwinyi, 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Samia, kwa awamu moja tuu,.
Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndio sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke atakagombea urais wa JMT kwa 2030.
Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia from within ni sauti kutoka kwa Mungu au ni maono, sauti nyingine ni sauti za shetani tuu na sio sauti za Mungu, kama zilivyo ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme). Mfano ni tangu August 14, 2014 nilielezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu lakini sikuzisema.
Wanabodi, Leo nimekutana na rafiki yangu wa siku nyingi tuliyepotezana naye kipindi kirefu nyuma, ambaye ni mtu wa sehemu na wa kuaminika sana ambaye yuko attached CCM kama kada tuu wa kawaida wa Chama cha Mapinduzi-CCM, akanieleza seriously habari za kushtusha kidogo ambazo mimi zimenitisha...
www.jamiiforums.com
Hiyo 2014 wakati mimi nikisema mgombea wa CCM kwa 2015 ni Magufuli, wakati huo unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye.
Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Samia mwenyewe hajui, na kwasababu ni Rais Samia aliyependekeza 2025 twende na mgombea mwanamke, unaweza kuta ni Samia anajipanga kuendelea, huku Dr. Mwinyi akiji set kwa his second term in Zanzibar, wala hahui kuwa yeye ndiye rais wa JMT, 2025.
Tatizo kubwa la watu wa nchi hii kuishi kwa ramli, kujifanya wanatabiri sijui wanna ya mbele.
Na sometimes ni upuuzi mtupu, unkuta watu wazima kbisa wanapotea muda na bando kujadili tetesi na UZUSHI Kama vile ndio uhalisia.
Na akili za wabongo zilivyo, chochote wanachikiona wait wanachukua na kumeza na kukiamini utafikiri imani za dini.
Na tatizo unakuta mtu anachonga tetesi na utabiri based on CHUKI au PROPAGANDA.
Rais Samia yupo na atakuwepo. Na dalili zzote ziko wazi kuwa atagombea 2025 maana Hilo liko wazi.
Pili, Watu wote mnaomhisi Mwinyi ( ambaye Hana maajabu yoyote Kiuongozi kumzidi Samia ) Ni kwasababu HAMUAMINI katika Wanawake ( msiohusiana nao ).
Yaani JITU liko tayari kupata Kiongozi mbovu ilimradi tu Ni Mwanaume. Hivi huyo Mwinyi zaidi ya kuwa MTOTO wa Mwinyi na KUSIMIKIWA na JESHI kuwa Rais wa Zanzibar ana maajabu gani mengine???
Punguzeni CHUKI na ROHO MBAYA.
Unamchukia Kiongozi mwanamke kwasababu tu siyo Ndugu yako.
Hivi angekuwa Mama yako au dada yako ungekuwa UNAPAYUKA PAYUKA kiwa Wanawake hawafai kuwa Viongozi.
Poa. Tushajua unalinda kupigania maslahi ya familia sijui mama yako dada yako na sio Taifa mama. Watu wanajadili nchi wewe unajadili undugu udada na ufamilia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.