Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kwa "udini" unamaanisha Uislam basi elewa kuwa hilo sitaliacha mpaka niingie kaburini.
Kaitazame "Royal tour", mwenyewe kaonesha nyumbani kwao na alipolelewa na msikiti na madrassa aliyosoma ipo hapo hapo kwao, hapo alisema ndiyo palipomjengea maadili.
Utaacha wapi kuusifia Uislam kwani ndiyo uliomfundisha nidhamu na maadili, unafikiri maadili yanafundishwa shule za secular? Au shule za Kikaristo? Ambako mapadri wamejazana mashoga, kuna kufundishana maadili mema huko?
Rais wa Ufilipino Duterte kayasema hayo, si mimi, unataka ushahidi sema nikuwekee.
Naam na nyumbani kwetu ni Waislaam, hakuna aliyewahi kufundishwa maadili na mashoga kanisani: https://www.usnews.com/news/article...s-its-empirical-fact-that-many-clergy-are-gayMaadili hufundishwa na familia. Kama hukufundishwa misingi ya maadili na utu ukiwa nyumbani, hata ukeshe msikitini, hekaluni au hata kanisani itakuwa ni kazi bure. Kila kitu huanzia nyumbani.
Naam na nyumbani kwetu ni Waislaam, hakuna aliyewahi kufundishwa maadili na mashoga kanisani: https://www.usnews.com/news/article...s-its-empirical-fact-that-many-clergy-are-gay
Huajipitia link, hayo yanafundishwa na mashoga makanisani: https://www.usnews.com/news/article...s-its-empirical-fact-that-many-clergy-are-gayPia sidhani kama kuna familia zinazofundisha maadili hayo, hususan katika desturi ya waAfrika.
Ahsante, kazi ya zamani sana duniani hiyo, hata kizazi cha Yesu kwenye biblia wako makahaba tena wa kutupwa. Siyo jipya hilo.Kahaba mwandamizi katika ubora wako
Dunia nzima,Taja nchi ambayo Katiba Inampa mamlaka yakiti Kama kwetu mwanamke, krotia?!Bado Watanzania akili zetu wengi zimeganda. Kwa zama hizi bado tunataka kumchagua Rais kwa kigezo cha JINSIA kweli?
Shida siyo Uzanzibari wau Uanamke wake, shida ni Uislam wake.
Nnakuhakikishia kila anaempinga mama humu basi utakuta sio Muislam.
Huajipitia link, hayo yanafundishwa na mashoga makanisani: https://www.usnews.com/news/article...s-its-empirical-fact-that-many-clergy-are-gay
Hiyo link niliyokuwekea hakuandika Muislam hayo, inasema wazi, kuwa kazi za makanisani zote zinaendeshwa na mashoga, sasa utegemee kusomeshwa maadili yepi huko?
Ikiwa familia yako hakikufundishi maadili mambovu lakini familia hiyo hiyo inakupeleka ukafundishe maadili na mashoga Sunday School. inakutakia mema kweli hiyo familia yako?
Kwaiyo hapo akitafuta kiki?Ni kweli Samia hawezi hayo maigizo.
Samia siyo raisi wa kutafuta kiki kama yule mwingine.
Mkuu watu wanasema Magu alikuwa anatafuta kiki hapo!Duh.. how come tunakuwa wazembe kiasi hiki nchi hii
Doh yaani wewe ndio walewale hutufai kabisaKwa maoni yangu, Rais Samia Suluhu Hassan anafanya vizuri sana. Hali ya uchumi inasababishwa na matatizo ya uchumi wa kidunia. Lakini anafanya vizuri naa Hana uchu wa MADARAKA. Aachwe, apewe nafasi AFANYE KAZI Kwa uhuru mpaka kipindi CHAKE kiishe.
Bernard Camilius Membe pia ataweza kuwa Rais mzuri sana baada ya Rais Samia kumalizwa muda wake.
Mwingine ambae atamrudisha mshikamano, ataondoka dhulma ni Mzee WA chuga AbdulRahman KINANA. Pia anafaa Sana kuwa Rais wa Tanzania.
Kazi ya Mungu haina makosa, hakuna binaadam aliyempa Urais, ni kudra za Allah mwenyewe. Shindana na Qadar sasa.Mimi ni muislam lakini huyu mama sitaki hata kumsikia, tokea ni VP nilishaona ni mnafiki na lightweight ambae hakustahili kupewa mamlaka yoyote makubwa.
Duh! Rais Ali Hassan Mwinyi alikuwa Rais wa Zanzibar kwa muda mgupi tu!!! Humu JF kuna watu waliokosa uelewa wa mambo mengi simple kiasi hiki?Alichaguliwa na wananchi? Alikuwa rais wa muda tu, tena nadhani sio zaidi ya mwaka mmoja.
Wewe haliwezi kukutisha kwa kuwa umefundishwa maadili na hao mashoga. Sikushangai.Ni kweli kabisa kanisa la Roman Catholic limekuwa na kadhia hizo kwa kificho kwa muda mrefu. Lkn pia kanisa limekuwa likifumbia macho matendo hayo. Licha ya kuwa linajinasibu kupinga mambo hayo.
Mbali na hawa RC, kuna Anglican ambao wameweka mambo hadharani. Kuna Lutheran huko ulaya wanafungisha ndoa za watu wa jinsia moja makanisani mwao.
Binafsi mimi halinishi, wala kunihangaisha akili. Maana najua wanatimiza unabii wa Yesu aliposema "Si kila mtu aniambiaye Bwana Bwana ataurithi ufalme wa Mungu, bali afanyae mapenzi ya Mungu. Wengi watakuja kwangu na kusema, je hatukutoa pepo kwa jina Lako, je hatukufundisha kwa jina lako na kufanya ishara kubwa kwa nguvu zako. Ndipo Yeye atasema sikuwajua ninyi, ondokeni kwangu ninyi watenda dhambi wakubwa". Hivyo waache maana vitabu vimebainisha fungu lao.