Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke

Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.

Hii ni thread ya maono tuu ya unabii, sio utabiri, sio trends readings, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti za "Voices from Within", yaani sauti toka ndani yako!, the inner you. The inner you ya kila mwanadamu ni YEYE aliyemuumba na kumpa uhai, ila sometimes yeye ambaye siye YEYE, huweza kujipenyeza kule inner na kutoa sauti, ukadhani ni YEYE kumbe sio YEYE bali ni yeye tuu!.

Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa mwaka 2025 should be a man kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu cha mpito cha awamu moja hadi 2025 na afuatiwe na rais mwanaume atakaye kaa kwa kipindi kimoja hadi 2030 sasa ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo maana yake inamaanisha ni Rais Samia yeye mwenyewe willingly anatakiwa kujiandaa kisaikolojia kuwa ni rais wa awamu moja, na kumuandaa mtu wa kumkabidh urais awamu yake ya pili ya miaka 5 yake iliyobakia ya 2025 - 2030!.

Kwa mujibu wa utaratibu wa CCM, hakuna mwana CCM yeyote anayeruhusiwa kùomba fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais kwa pande zote mbili za muungano. Mgombea urais wa CCM kwa 2025 kwa huku bara ni rais aliyepo madarakani sasa, Rais Samia na kwa Zanzibar ni Dr. Mwinyi, kwasababu wote wiwili hii ni awamu yao ya kwanza!. Hivyo utaratibu wa CCM ni ule wa zengwe la kutoa fomu moja tuu!.

Kama sauti hii nilio isikia ni sauti ya ukweli ya kwake YEYE, hii inamaana, ni ujumbe kwa Rais Samia, ama Rais Samia yeye mwenyewe ameisha ambiwa na YEYE, ama YEYE ameanza kutuambia kwanza sisi wengine wa kutangazia umma ili kuanza kuwaandaa Watanzania kisaikolojia kuhusu 2025.

YEYE huwa ana mtindo kwa baadhi ya mambo, kuwaambia watu wengine kwanza kabla hajawaambia wahusika wenyewe, mfano mzuri ni huu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli wakati huyu aliyeezwa haya ilikuwa ni 2014, by that time hata JPM alikuwa bado hajaambiwa kuwa ni yeye 2015!. Hivyo kuna uwezekano hata sauti hii ya bandiko hili, usikute hata Rais Samia mwenyewe bado hajaambiwa hili na YEYE, ila kama ni sauti yake YEYE mwenyewe halisi, then na Rais Samia pia ataambiwa!.

Hivyo namshauri Mama aendelee na maadalizi ya 2025 kwa kujiandaa yeye kama yeye, lakini pia afanye na maandalizi ya kuisubiria hiyo sauti ya uthibitisho kuwa 2025 yeye Rais Samia ndiye aliyepangiwa na YEYE, kama ni yeye ndiye aliyepangiwa na YEYE, then 2025 ni yeye Samia.

Lakini kama ataisikia hii sauti, sio vibaya kama atajiandaa na kumuandaa mtu wa kumpokea, kwa maoni yangu, Dr. Hussein Mwinyi atatufaa sana, hivyo namuomba Rais Samia akiisikia sauti, amuombe Dr. Hussein Mwinyi, kwa uchaguzi wa urais wa 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Mama Samia kwa yeye kukubali kuwa rais wa JMT kwa awamu moja tuu.

Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndipo sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke atakaye kuja kugombea urais wa JMT kwa 2030, na kwa maoni yangu, Mwanamke huyu sii mwingine yeyote zaidi ya Dr. Tulia Akson Mwansasu, Spika wa sasa wa Bunge la JMT.

Japo Tanzania, tulipania 2025 twende na mgombea mwanamke, na mimi niliunga mkono hoja hii Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
kama hii sauti ni yake YEYE kweli, then inamaanisha kwa uchaguzi wa 2025, Tanzania tuna mgombea mmoja tuu Mwanamke, yaani the one and only ambaye ama anatakiwa na YEYE apumzike ampishe mgombea mwanaume, ama ...

Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia kwenye the voices form within ni sauti kutoka kwake YEYE au ni maono, sauti nyingine ni sauti za kina yeye tuu na sio sauti yake YEYE!.

Hata yale maono ya kwenye ndoto, sio kila ndoto ni maono kutoka kwa Mungu, kuna ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe ni sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo fulani la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme, ila ukilisema lina faida moja, kufanya maandalizi ya kabla!.

Mfano ni tangu ile August 14, 2014 nilipoelezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu za kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu kwa rais wetu ajae ni Magufuli lakini hizo sababu za kwanini ni Magufuli, japo nilielezwa lakini mimi sikuzisema humu!. Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, hivyo hiyo 2014 wakati nikisema hayo, unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye!.

Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Mama Samia mwenyewe bado hajui kuwa 2025 sii yeye kwasababu yeye bado hajaelezwa na YEYE kuwa sio yeye, na ndio sababu ni Rais Samia ndiye aliyependekeza 2025 twende na mgombea Mwanamke kumaanisha ni yeye!.

Unaweza kuta aliyepangiwa na YEYE kuwa rais wetu 2025 ni Mama Samia mwenyew, baada ya kuingia by default kuwa rais wa JMT kwa awamu hii ya kwanza, sasa anajipanga kuendelea awamu ya pili, properly kwa kuchaguliwa na jura za Watanzania, ila kugombea kwake ni kupitia ule mserereko wa CCM , huku Dr. Mwinyi akiji set for his second term in Zanzibar kwa mserereko wa CCM na wala hajui kuwa kuna sauti inamtaka yeye ndiye aje awe rais wa JMT, 2025!, hivyo maono kama haya, yanasaidia sana kuwaandaa watu kisaikolojia!.

Hata ile siku niliyoisikia sauti hii
Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Spika Job Ndugai hakujua kuwa yeye hatakuwa Spika, wala Dr. Tulia hakujua kuwa yeye ndiye atakuja kuwa spika ajae!.

Hata ile siku namzungumzia huyu DC, Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam DC mwenyewe alikuwa hajui, na watu humu wakanidhania mimi ni mtu wa kule naniliu na kudhani nimeleta za jikoni!.

Hili la Mwinyi kuja huku, sio la sauti, hili ni langu tuu, maana usikute pia ni mpango ya YEYE, kumfanya huyu jamaa Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii maana
wakati nikiandika hayo, Dr. Shein alikuwa hajui, hivyo hata saa hizi ninapoandika hapa, usikute huyu jamaa wala hajajijua kuwa yeye ndiye anapaswa aje awe rais ajaye wa Zanzibar!. Hii nibkufuatia dhulma kubwa iliyokuwa ikifanyika Zanzibar kwa miaka na miaka, Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda lakini sasa kwavile Samia ni mpenda haki, msema haki na mtenda haki, for the first time in Zanzibar tangu baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964, uchaguzi wa 2025 unaweza kuwatendea haki!.

Hitimisho
Kwa vile mimi ni Msukuma, naweza kutuhumiwa ni sehemu ya Sukuma Gang wasiotaka Samia aendelee 2025 to 2030. Naomba kwanza niwathibitishie I don't believe hiki kitu kinachoitwa ,"The Sukuma Gang" kina exist in reality!, hakuna kitu kinachoitwa Sukuma Gang, ni just a fictitious group in mind za watu waliofilisika kimawazo!.

Mimi ni Msukuma na sio Sukuma Gang, ila pia ni Mimi ndio nilimtabiria Samia urais wa JMT toka 2017, Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
nikamshauri Blaza asigombee 2020 ampishe Samia, but no one takes me seriously, kama sauti hii!, you never know, kama JPM angeusikiliza ushauri wa bandiko hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” nilishauri

probably ange...

Mwaka 2020 nikasema humu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
nilisema

Hivyo it's up to Mama, to decide, kuutafuta ukweli wa sauti hizi, au kuzipuuzia na kuendelea na mipango yake ya 2025.

Kuna kitu pia nimeambiwa ni kwa nini Mama amuombe Mwinyi, ila sio lazima kusema kila kitu. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo mpaka umelisikia hili nimelisema, ujue lina maslahi kwa Taifa.

Kitu muhimu ni nimesikia sauti, nimesema nilichosikia, mimi nimetimiza wajibu wangu!.

Mungu Mbariki Rais wetu Samia aisikie Sauti YAKO!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
(Mzee wa Sauti, "The Voices From Within)

Baadhi ya Mchango very objective

Mkuu idawa , kwanza asante sana kwa mchango wako na uwezo wako wa kunisoma in between the lines, ila naomba nikuhakikishie, it's not my making, it's the voices from within!.

Sikukisema vyote nilivyo ambiwa, na hiyo sauti labda nikivisema vyote itasaidia kwa kuvi mitigate kabla ya 2025 ili Mama aendelee.

Kinachonifanya nisiseme kila kitu ni kwasababu kauli nyingine huumba!. Nisije nikasema humu, halafu yakatokea ya kutokea tukaaanza kunyoosheana vidole!.

Hata mimi kujiunga JF nikauli za wana JF ile 2008 nikiwa naendesha bike Morogoro Rd mitaa ya Manzese, kuna mwana JF akanianzishia uzi humu kuhusu uendeshaji wangu wa bike.

Kilichofuata hata wiki haikupita... mimi chali!. Uzi ule wa kwanza ukafutwa na kupandishwa uzi huu
Pascal Mayalla apata ajali..... na ndipo nami nikatua rasmi humu JF na baada ya mwaka nikatoa shukrani
Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
from then mimi ni mtu makini sana
naamini kwenye nguvu ya kauli Wito Kwa Watanzania:Tuitumie Nguvu ya Kauli, Kumuingiza Ikulu Kiongozi Tunayemtaka!. Mdomo Huumba!.

Mimi ni muumini kuwa humu jf tuna manabii wetu wa ki jf jf TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!

Pia humu JF tuna wanga wengi tuu Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

P
Mchango mwingine very objective

Japo JF mwanzo was meant to be the home of great thinkers, great mind who discuss ideas, those who can read and think, but as times go by, simple minds who discuss people wakajazana humu, ordinary mind who discuss events nao wakajazana humu, hivyo sasa jf ni home to everyone, simple minds, ordinary minds na great minds, ukipandisha bandiko linalohitaji great mind to digest, only the great mind ndio wataelewa unazungumzia nini, simple minds na ordinary minds wataishia chaka.

Kwa kukusaidia wewe and the like minded people wa level yako, bandiko hili Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Maana yake
  1. Marais wa nchi hupangwa na YEYE.
  2. JPM yeye alipanga kumalizia awamu yake ya pili lakini YEYE akampangia kazi nyingine na badala yake ndiye akatuletea Samia.
  3. Hivyo Rais Samia hakupanga yeye kuwa rais wa JMT bali alipangiwa na YEYE.
  4. Urais haupangi wewe, kazi yako ni just to wish, Ila ili uwe wewe na wish yako itimie, ni lazima iwe imepangwa na YEYE.
  5. Rais Samia alipoulizwa na Kikeke kama atagombea 2025 alijibu vizuri kuwa mambo ya 2025 tumwachie mpangaji Mungu.
  6. Kwa vile Tanzania hatukuwahi kuchagua rais Mwanamke, Kwa Samia imetokea tuu kwa kudra za Mungu, then lets wish 2025 tusimame na mgombea Mwanamke.
  7. Nikasema mwanamke huyo, sio lazima awe ni Rais Samia, bali ni yule aliyepangiwa na YEYE.
  8. Hivyo kama 2025, ni Samia ndiye aliyepangiwa na YEYE, then who are we to say no?.
  9. Hivyo kama yeye ndiye aliyepangiwa na YEYE, then 2025 ni yeye.
  10. soma tena
Hivyo wakati tukisubiri 2025 huku tukienda na Samia, hivi visauti sauti sasa ndio vinaanza. Kwa vile no one is certainly sure of tomorrow, na hakuna uthibitisho wa hizi sauti , voices from within kama ni sauti ya YEYE au yeye, ukisikia sauti inakuambia kitu, kama kitu hicho kinasemeka, kiseme, ili kijulikane, kama ni kizuri kipepewe, kama ni sio kizuri kitafutiwe jinsi.

Natumaini nimeeleweka.
P.
Hatutatki ten uongozi wa kibabd na mbovu kama ule wa jpm. Dunia imebadilika sana haihitaji wababe na kufungia vyombo vya habari
 
Wanabodi
Haya mambo ya
Pascal, kama unasema YEYE ndo hupanga kwanini unasema Samia amuombe Mwinyi ndo aje huku.Je huyo YEYE amekuambia hamtaki Samia ila anamtaka mwinyi?
Lapili, inaknekana tangia mwaka 2014 uliatabiri magufuri kuwa mgombea wa CCM ila sbb ukakataa kuzisema,,na hapa hujataja sbb za YEYE kumkataa Samia licha ya kujtahidi sana.Na nikislma kwa makini ninaona unafahamu mipango yote ya mauaji y JIWe.Unawezfunguka ni kwanini jiwe aliondolewa ili kuendana na utabiri wako wakiwa YEYE alipanga aje mwanamke accidentally.
Tatu..nikwanini hnaanza kutoa mandoto ya ajabu ajabu juu ya mama samai wakatianajitahidi kufa ya vizuri sana kuliko magufiri na hata kumzidi mbali sana kikwete mzee WA scandal kubwkunwa za wizi?
 
Chuki na ubaguzi ndio vinavyo watesa.

Kwanini wakati ule yule Mungu mtu wenu anagombea awamu ya pili msingemshauri amuweke huyo Hussen? Lakini hata Hussen angewekwa bado mngedai mtu mwingine,jinga sana.
Hapa wasukuma hawahusiki,,Hapa ni kikwete anataka kuweka watu wake kwa kumtisha mama etu hata maguri alikuwa mkali akaondoka.Wamekuawakimulizimisha atoe trillion Moja kusaidia WAFA ya kashara kwa kisingizio cha kussaport uwekezaji wa ndani alili watoe ajira na eye kakataa ,,sasa ndo tabiri hizi za kijinga zinajitokeza
 
Hapa wasukuma hawahusiki,,Hapa ni kikwete anataka kuweka watu wake kwa kumtisha mama etu hata maguri alikuwa mkali akaondoka.Wamekuawakimulizimisha atoe trillion Moja kusaidia WAFA ya kashara kwa kisingizio cha kussaport uwekezaji wa ndani alili watoe ajira na eye kakataa ,,sasa ndo tabiri hizi za kijinga zinajitokeza
Hii WAFA mmiliki wake ni nani mkuu
 
Ni katika kutafuta tu justificatio ya uzi wako but,

sukuma gang is real na tumeishuhudia.

iliwahi fahanika mratibu wake ni gwajima.

wako ndani na nje ya hio gang.

but theie movement and echoes heard very clearly
 
Pascal, kama unasema YEYE ndo hupanga kwanini unasema Samia amuombe Mwinyi ndo aje huku.Je huyo YEYE amekuambia hamtaki Samia ila anamtaka mwinyi?
Lapili, inaknekana tangia mwaka 2014 uliatabiri magufuri kuwa mgombea wa CCM ila sbb ukakataa kuzisema,,na hapa hujataja sbb za YEYE kumkataa Samia licha ya kujtahidi sana.Na nikislma kwa makini ninaona unafahamu mipango yote ya mauaji y JIWe.Unawezfunguka ni kwanini jiwe aliondolewa ili kuendana na utabiri wako wakiwa YEYE alipanga aje mwanamke accidentally.
Tatu..nikwanini hnaanza kutoa mandoto ya ajabu ajabu juu ya mama samai wakatianajitahidi kufa ya vizuri sana kuliko magufiri na hata kumzidi mbali sana kikwete mzee WA scandal kubwkunwa za wizi?
YEYE keshaamua hivyo mshaurini tu apumzike akikaza fuvu shauri yake
 
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.

Hii ni thread ya maono tuu ya unabii, sio utabiri, sio trends readings, ni unasikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kuambiwa sababu na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu sauti niliosikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti za "Voices from Within", yaani sauti toka ndani yako!, the inner you. The inner you ya kila mwanadamu ni YEYE aliyemuumba na kumpa uhai, ila sometimes yeye ambaye siye YEYE, huweza kujipenyeza kule inner na kutoa sauti, ukadhani ni YEYE kumbe sio YEYE bali ni yeye tuu!.

Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa mwaka 2025 should be a man kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia awe ni Rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu cha mpito cha awamu moja hadi 2025 na afuatiwe na rais mwanaume atakaye kaa kwa kipindi kimoja hadi 2030 sasa ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo maana yake inamaanisha ni Rais Samia yeye mwenyewe willingly anatakiwa kujiandaa kisaikolojia kuwa ni rais wa awamu moja, na kumuandaa mtu wa kumkabidh urais awamu yake ya pili ya miaka 5 yake iliyobakia ya 2025 - 2030!.

Kwa mujibu wa utaratibu wa CCM, hakuna mwana CCM yeyote anayeruhusiwa kùomba fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais kwa pande zote mbili za muungano. Mgombea urais wa CCM kwa 2025 kwa huku bara ni rais aliyepo madarakani sasa, Rais Samia na kwa Zanzibar ni Dr. Mwinyi, kwasababu wote wiwili hii ni awamu yao ya kwanza!. Hivyo utaratibu wa CCM ni ule wa zengwe la kutoa fomu moja tuu!.

Kama sauti hii nilio isikia ni sauti ya ukweli ya kwake YEYE, hii inamaana, ni ujumbe kwa Rais Samia, ama Rais Samia yeye mwenyewe ameisha ambiwa na YEYE, ama YEYE ameanza kutuambia kwanza sisi wengine wa kutangazia umma ili kuanza kuwaandaa Watanzania kisaikolojia kuhusu 2025.

YEYE huwa ana mtindo kwa baadhi ya mambo, kuwaambia watu wengine kwanza kabla hajawaambia wahusika wenyewe, mfano mzuri ni huu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli wakati huyu aliyeezwa haya ilikuwa ni 2014, by that time hata JPM alikuwa bado hajaambiwa kuwa ni yeye 2015!. Hivyo kuna uwezekano hata sauti hii ya bandiko hili, usikute hata Rais Samia mwenyewe bado hajaambiwa hili na YEYE, ila kama ni sauti yake YEYE mwenyewe halisi, then na Rais Samia pia ataambiwa!.

Hivyo namshauri Mama aendelee na maadalizi ya 2025 kwa kujiandaa yeye kama yeye, lakini pia afanye na maandalizi ya kuisubiria hiyo sauti ya uthibitisho kuwa 2025 yeye Rais Samia ndiye aliyepangiwa na YEYE, kama ni yeye ndiye aliyepangiwa na YEYE, then 2025 ni yeye Samia.

Lakini kama ataisikia hii sauti, sio vibaya kama atajiandaa na kumuandaa mtu wa kumpokea, kwa maoni yangu, Dr. Hussein Mwinyi atatufaa sana, hivyo namuomba Rais Samia akiisikia sauti, amuombe Dr. Hussein Mwinyi, kwa uchaguzi wa urais wa 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Mama Samia kwa yeye kukubali kuwa rais wa JMT kwa awamu moja tuu.

Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndipo sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke atakaye kuja kugombea urais wa JMT kwa 2030, na kwa maoni yangu, Mwanamke huyu sii mwingine yeyote zaidi ya Dr. Tulia Akson Mwansasu, Spika wa sasa wa Bunge la JMT.

Japo Tanzania, tulipania 2025 twende na mgombea mwanamke, na mimi niliunga mkono hoja hii Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
kama hii sauti ni yake YEYE kweli, then inamaanisha kwa uchaguzi wa 2025, Tanzania tuna mgombea mmoja tuu Mwanamke, yaani the one and only ambaye ama anatakiwa na YEYE apumzike ampishe mgombea mwanaume, ama ...

Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia kwenye the voices form within ni sauti kutoka kwake YEYE au ni maono, sauti nyingine ni sauti za kina yeye tuu na sio sauti yake YEYE!.

Hata yale maono ya kwenye ndoto, sio kila ndoto ni maono kutoka kwa Mungu, kuna ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe ni sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo fulani la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme, ila ukilisema lina faida moja, kufanya maandalizi ya kabla!.

Mfano ni tangu ile August 14, 2014 nilipoelezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu za kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu kwa rais wetu ajae ni Magufuli lakini hizo sababu za kwanini ni Magufuli, japo nilielezwa lakini mimi sikuzisema humu!. Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, hivyo hiyo 2014 wakati nikisema hayo, unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye!.

Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Mama Samia mwenyewe bado hajui kuwa 2025 sii yeye kwasababu yeye bado hajaelezwa na YEYE kuwa sio yeye, na ndio sababu ni Rais Samia ndiye aliyependekeza 2025 twende na mgombea Mwanamke kumaanisha ni yeye!.

Unaweza kuta aliyepangiwa na YEYE kuwa rais wetu 2025 ni Mama Samia mwenyew, baada ya kuingia by default kuwa rais wa JMT kwa awamu hii ya kwanza, sasa anajipanga kuendelea awamu ya pili, properly kwa kuchaguliwa na jura za Watanzania, ila kugombea kwake ni kupitia ule mserereko wa CCM , huku Dr. Mwinyi akiji set for his second term in Zanzibar kwa mserereko wa CCM na wala hajui kuwa kuna sauti inamtaka yeye ndiye aje awe rais wa JMT, 2025!, hivyo maono kama haya, yanasaidia sana kuwaandaa watu kisaikolojia!.

Hata ile siku niliyoisikia sauti hii
Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Spika Job Ndugai hakujua kuwa yeye hatakuwa Spika, wala Dr. Tulia hakujua kuwa yeye ndiye atakuja kuwa spika ajae!.

Hata ile siku namzungumzia huyu DC, Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam DC mwenyewe alikuwa hajui, na watu humu wakanidhania mimi ni mtu wa kule naniliu na kudhani nimeleta za jikoni!.

Hili la Mwinyi kuja huku, sio la sauti, hili ni langu tuu, maana usikute pia ni mpango ya YEYE, kumfanya huyu jamaa Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii maana
wakati nikiandika hayo, Dr. Shein alikuwa hajui, hivyo hata saa hizi ninapoandika hapa, usikute huyu jamaa wala hajajijua kuwa yeye ndiye anapaswa aje awe rais ajaye wa Zanzibar!. Hii nibkufuatia dhulma kubwa iliyokuwa ikifanyika Zanzibar kwa miaka na miaka, Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda lakini sasa kwavile Samia ni mpenda haki, msema haki na mtenda haki, for the first time in Zanzibar tangu baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964, uchaguzi wa 2025 unaweza kuwatendea haki!.

Hitimisho
Kwa vile mimi ni Msukuma, naweza kutuhumiwa ni sehemu ya Sukuma Gang wasiotaka Samia aendelee 2025 to 2030. Naomba kwanza niwathibitishie I don't believe hiki kitu kinachoitwa ,"The Sukuma Gang" kina exist in reality!, hakuna kitu kinachoitwa Sukuma Gang, ni just a fictitious group in mind za watu waliofilisika kimawazo!.

Mimi ni Msukuma na sio Sukuma Gang, ila pia ni Mimi ndio nilimtabiria Samia urais wa JMT toka 2017, Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
nikamshauri Blaza asigombee 2020 ampishe Samia, but no one takes me seriously, kama sauti hii!, you never know, kama JPM angeusikiliza ushauri wa bandiko hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” nilishauri

probably ange...

Mwaka 2020 nikasema humu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
nilisema

Hivyo it's up to Mama, to decide, kuutafuta ukweli wa sauti hizi, au kuzipuuzia na kuendelea na mipango yake ya 2025.

Kuna kitu pia nimeambiwa ni kwa nini Mama amuombe Mwinyi, ila sio lazima kusema kila kitu. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo mpaka umelisikia hili nimelisema, ujue lina maslahi kwa Taifa.

Kitu muhimu ni nimesikia sauti, nimesema nilichosikia, mimi nimetimiza wajibu wangu!.

Mungu Mbariki Rais wetu Samia aisikie Sauti YAKO!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
(Mzee wa Sauti, "The Voices From Within)

Baadhi ya Mchango very objective

Mkuu idawa , kwanza asante sana kwa mchango wako na uwezo wako wa kunisoma in between the lines, ila naomba nikuhakikishie, it's not my making, it's the voices from within!.

Sikukisema vyote nilivyo ambiwa, na hiyo sauti labda nikivisema vyote itasaidia kwa kuvi mitigate kabla ya 2025 ili Mama aendelee.

Kinachonifanya nisiseme kila kitu ni kwasababu kauli nyingine huumba!. Nisije nikasema humu, halafu yakatokea ya kutokea tukaaanza kunyoosheana vidole!.

Hata mimi kujiunga JF nikauli za wana JF ile 2008 nikiwa naendesha bike Morogoro Rd mitaa ya Manzese, kuna mwana JF akanianzishia uzi humu kuhusu uendeshaji wangu wa bike.

Kilichofuata hata wiki haikupita... mimi chali!. Uzi ule wa kwanza ukafutwa na kupandishwa uzi huu
Pascal Mayalla apata ajali..... na ndipo nami nikatua rasmi humu JF na baada ya mwaka nikatoa shukrani
Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
from then mimi ni mtu makini sana
naamini kwenye nguvu ya kauli Wito Kwa Watanzania:Tuitumie Nguvu ya Kauli, Kumuingiza Ikulu Kiongozi Tunayemtaka!. Mdomo Huumba!.

Mimi ni muumini kuwa humu jf tuna manabii wetu wa ki jf jf TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!

Pia humu JF tuna wanga wengi tuu Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

P
Mchango mwingine very objective

Japo JF mwanzo was meant to be the home of great thinkers, great mind who discuss ideas, those who can read and think, but as times go by, simple minds who discuss people wakajazana humu, ordinary mind who discuss events nao wakajazana humu, hivyo sasa jf ni home to everyone, simple minds, ordinary minds na great minds, ukipandisha bandiko linalohitaji great mind to digest, only the great mind ndio wataelewa unazungumzia nini, simple minds na ordinary minds wataishia chaka.

Kwa kukusaidia wewe and the like minded people wa level yako, bandiko hili Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Maana yake
  1. Marais wa nchi hupangwa na YEYE.
  2. JPM yeye alipanga kumalizia awamu yake ya pili lakini YEYE akampangia kazi nyingine na badala yake ndiye akatuletea Samia.
  3. Hivyo Rais Samia hakupanga yeye kuwa rais wa JMT bali alipangiwa na YEYE.
  4. Urais haupangi wewe, kazi yako ni just to wish, Ila ili uwe wewe na wish yako itimie, ni lazima iwe imepangwa na YEYE.
  5. Rais Samia alipoulizwa na Kikeke kama atagombea 2025 alijibu vizuri kuwa mambo ya 2025 tumwachie mpangaji Mungu.
  6. Kwa vile Tanzania hatukuwahi kuchagua rais Mwanamke, Kwa Samia imetokea tuu kwa kudra za Mungu, then lets wish 2025 tusimame na mgombea Mwanamke.
  7. Nikasema mwanamke huyo, sio lazima awe ni Rais Samia, bali ni yule aliyepangiwa na YEYE.
  8. Hivyo kama 2025, ni Samia ndiye aliyepangiwa na YEYE, then who are we to say no?.
  9. Hivyo kama yeye ndiye aliyepangiwa na YEYE, then 2025 ni yeye.
  10. soma tena
Hivyo wakati tukisubiri 2025 huku tukienda na Samia, hivi visauti sauti sasa ndio vinaanza. Kwa vile no one is certainly sure of tomorrow, na hakuna uthibitisho wa hizi sauti , voices from within kama ni sauti ya YEYE au yeye, ukisikia sauti inakuambia kitu, kama kitu hicho kinasemeka, kiseme, ili kijulikane, kama ni kizuri kipepewe, kama ni sio kizuri kitafutiwe jinsi.

Natumaini nimeeleweka.
P.
Kumbe ata wewe ni mfumo dume?
 
Huyu Pascal Mayalla ni mtu anayeona mbali sana, unaweza kumuona kama mtu wa ajabu ila yeye akielezaga jambo amemaliza siku likitokea la kutokea huwa ana reply kwa kushusha Uzi wake wa alichokiandika. Much respect bro!
Asante sana Mkuu amshapopo , ni kawaida nabii huwa hakubaliki nyumbani, nilichofanya ni kuwaeleza watu humu kuwa tuna manabii wetu humu Tanzania tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!

Bandiko hili watu watalielewa baada ya 2025.
P
P
 
Yaan ulipomtaja tulia umelikoroga kabisa nimejiskia vibaya sana kwann mnakuwa wajinga hivi yaan vichwa mnavyo mnapambana kutawaliwa na wanawake are you serious? CCM acheni bangi tumeshachelewa sana hivi hamuoni hilo? You should fix this acheni ujinga
 
Wanabodi
Haya mambo ya mtu kusikia sauti, sio mambo ya ulimwengu huu wa mwili, haya ni mambo ya ulimwengu wa Roho.

Hii ni thread ya maono tuu ya unabii, sio utabiri, sio trends readings, ni unaisikia tuu sauti inakuambia jambo fulani bila kukuambia sababu za jambo hilo, na huwezi kuuliza, hivyo nami naomba kuwaeleza tuu kile nilichosikia kwenye sauti hiyo niliyoisikia na naomba msiniulize kitu kwasababu sio mimi ni sauti za "Voices from Within", yaani sauti toka ndani yako!, the inner you. The inner you ya kila mwanadamu ni YEYE aliyemuumba na kumpa uhai, yaani YEYE ambaye ni YEYE, ila kuna yeye anayependa sana kuji disguise kuwa ni YEYE lakini kiukweli sii YEYE!.

Hili la YEYE na yeye, nimewahi kulihubiri sana humu na kuwasaidia watu jinsi ya kumtambua YEYE halisi ambaye ni YEYE na kumtofautisha YEYE na yeye fake disguised as YEYE Angalizo: Kuna Wengi Wanamwabudu Shetani Wakidhani ni Mungu!. Jee Wewe Unajijua?, Jitambue!.

Sasa kwa vile yeye fake ambaye siye YEYE, huweza kujipenyeza kule kule ndani yako kwenye the inner you na kujiposition kama YEYE na kutoa sauti, ukadhani ni YEYE kumbe sii
YEYE bali ni yeye tuu!, hivyo hii sauti niliyoisikia kama ni ya YEYE, mwenyewe the original "The One and Only" then 2025 hili lazima litatimia!, ila kama ni yeye, then halitatimia!.

Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa mwaka 2025 should be a man kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia ajiandae kisaikolojia kuwa ni rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu cha mpito cha awamu moja kuimalizia awamu ya pili ya JPM hadi 2025 na afuatiwe na rais mwanaume atakaye kaa kwa kipindi kimoja tuu hadi 2030 sasa ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo maana yake inamaanisha ni Rais Samia yeye mwenyewe, willingly anatakiwa kujiandaa kisaikolojia kuwa ni rais wa awamu moja, na kumuandaa mtu wa kumkabidhi urais awamu yake ya pili ya miaka 5 yake iliyobakia ya 2025 - 2030!.

Kwa mujibu wa utaratibu wa CCM, hakuna mwana CCM yeyote anayeruhusiwa kùomba fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais kwa pande zote mbili za muungano. Mgombea urais wa CCM kwa 2025 kwa huku bara ni rais aliyepo madarakani sasa, Rais Samia na kwa Zanzibar ni Dr. Mwinyi, kwasababu wote wiwili hii ni awamu yao ya kwanza!. Hivyo utaratibu wa CCM ni ule utaratibu wa mserereko wa kuchapisha na kutoa fomu moja tuu ya urais kwa pande zote mbili za muungano ambao kiukweli kabisa huu ni utaratibu wa zengwe!.

Kama sauti hii nilioisikia ni sauti ya kweli ya kwake YEYE, then hii inamaana, huu ni ujumbe kwa Rais Samia, ama Rais Samia yeye mwenyewe ameisha ambiwa na YEYE, ama YEYE ameanza kutuambia kwanza akina sisi wengine wa kutangazia umma ili kuanza kuwaandaa Watanzania kisaikolojia kuhusu 2025,kisha atamtaarifu mhusika mwenyewe.

YEYE huwa ana kawaida na mtindo kwa baadhi ya mambo, kuwatumia watu wengine kwanza kabla hajawaambia wahusika wenyewe, mfano mzuri ni huu Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli wakati huyu aliyeezwa haya ilikuwa ni 2014, by that time hata JPM alikuwa bado hajaambiwa kuwa ni yeye 2015!. Hivyo kuna uwezekano hata sauti hii ya bandiko hili, usikute hata Rais Samia mwenyewe bado hajaambiwa hili na YEYE, ila kama ni sauti yake YEYE mwenyewe halisi, then na Rais Samia pia ataambiwa wakati wake wa kuambiwa ukifika!.

Hivyo namshauri Mama kipenzi, as long as hajaambiwa, yeye aendelee tuu na maadalizi yake ya 2025 kwa kujiandaa yeye kama yeye, lakini pia afanye na maandalizi ya kisaikolojia kuisubiria hiyo sauti ya uthibitisho kuwa 2025 ni yeye Rais Samia ndiye aliyepangiwa na YEYE, kama ni yeye ndiye aliyepangiwa na YEYE, then 2025 ni yeye Samia!.

Lakini kama ataisikia hii sauti, sio vibaya kama atajiandaa na kumuandaa mtu wa kumpokea, kwa maoni yangu, Dr. Hussein Mwinyi atatufaa sana, hivyo namuomba Rais Samia akiisikia hii sauti, amuombe Dr. Hussein Mwinyi, kwa uchaguzi wa urais wa 2025 aje kugombea urais wa JMT, kuimalizia awamu ya pili ya Mama Samia kwa yeye kukubali kuwa rais wa JMT kwa awamu moja tuu.

Na kipindi hicho cha 2025- 2030 ndipo sasa sasa tufanye grooming ya Mwanamke competant candidate atakaye kuja kugombea urais wa JMT kwa 2030, na kwa maoni yangu, Mwanamke huyu sii mwingine yeyote zaidi ya Dr. Tulia Akson Mwansasu, Spika wa sasa wa Bunge la JMT.

Japo Tanzania, tulipania 2025 twende na mgombea mwanamke, na mimi niliunga mkono hoja hii Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
kama hii sauti ni yake YEYE kweli, then inamaanisha kwa uchaguzi wa 2025, Tanzania tuna mgombea mmoja tuu Mwanamke, yaani the one and only ambaye ama anatakiwa na YEYE apumzike ampishe mgombea mwanaume, ama ...

Japo sio sio lazima kusema kila unachosikia, kwa sababu sometimes sio kila unachosikia kwenye the voices from within ni sauti kutoka kwake YEYE au ni maono, sauti nyingine ni sauti za kina yeye tuu na sio sauti yake YEYE!.

Hata yale maono ya kwenye ndoto, sio kila ndoto ni maono kutoka kwa Mungu, kuna ndoto nyingine, ni ndoto za shetani kama ile "ndoto ya Lema", ukisikia sauti ukahisi inaweza isiwe ni sauti ya Mungu, au ukiota ndoto ya jambo fulani la ajabu ajabu ukahisi jambo hilo sio la kheri, sio lazima uliseme, ila ukilisema lina faida moja, kufanya maandalizi ya kabla!.

Mfano ni tangu ile August 14, 2014 nilipoelezwa rais ajaye wa Tanzania ni Magufuli, na nilielezwa sababu za kwanini ni Magufuli, nami nikaeleza humu kwa rais wetu ajae ni Magufuli lakini hizo sababu za kwanini ni Magufuli, japo nilielezwa lakini mimi sikuzisema humu!. Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli, hivyo hiyo 2014 wakati nikisema hayo, unaweza kukuta hata JPM mwenyewe alikuwa hajui kuwa ndiye yeye!.

Hivyo hata sauti hii niliyoisikia leo, 2022, kuhusu 2025, usikute hata Mama Samia mwenyewe bado hajui kuwa 2025 sii yeye kwasababu yeye bado hajaelezwa na YEYE kuwa sio yeye, na ndio sababu ni Rais Samia ndiye aliyependekeza 2025 twende na mgombea Mwanamke kumaanisha ni yeye!.

Unaweza kuta aliyepangiwa na YEYE kuwa rais wetu 2025 ni Mama Samia mwenyewe, baada ya kuingia by default kuwa rais wa JMT kwa awamu hii ya kwanza, sasa anajipanga kuendelea awamu ya pili, properly kwa kuchaguliwa na kura za Watanzania, ila kugombea kwake ni kupitia ule mserereko wa CCM , huku Dr. Mwinyi akiji set for his second term in Zanzibar kwa mserereko wa CCM na wala hajui kuwa kuna sauti inamtaka yeye ndiye aje awe rais wa JMT, 2025!, hivyo maono kama haya, yanasaidia sana kuwaandaa watu kisaikolojia!.

Hata ile siku niliyoisikia sauti hii
Voices from within: Nimesikia sauti, Dr. Tulia Ackson ndiye Spika ajaye! Sauti hiyo imenieleza Ndugai, japo atatamani aendelee lakini... Spika Job Ndugai hakujua kuwa yeye hatakuwa Spika, wala Dr. Tulia hakujua kuwa yeye ndiye atakuja kuwa spika ajae!.

Hata ile siku namzungumzia huyu DC, Nimemkubali Sana DC Makonda, anafaa kuwa Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam DC mwenyewe alikuwa hajui, na watu humu wakanidhania mimi ni mtu wa kule naniliu na kudhani nimeleta za jikoni!.

Hili la Mwinyi kuja huku, sio la sauti, hili ni langu tuu, maana usikute pia ni mpango ya YEYE, kumfanya huyu jamaa Dr. Shein Mfute Kazi Haraka, Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar Kabla Hajamwaga Sumu Hii maana
wakati nikiandika hayo, Dr. Shein alikuwa hajui, hivyo hata saa hizi ninapoandika hapa, usikute huyu jamaa wala hajajijua kuwa yeye ndiye anapaswa aje awe rais ajaye wa Zanzibar!. Hii nibkufuatia dhulma kubwa iliyokuwa ikifanyika Zanzibar kwa miaka na miaka, Elections 2015 - Imethibitishwa pasi na shaka kuwa ni kweli kabisa, Zanzibar, Maalim Seif na CUF ndio walioshinda lakini sasa kwavile Samia ni mpenda haki, msema haki na mtenda haki, for the first time in Zanzibar tangu baada ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya January 12, 1964, uchaguzi wa 2025 unaweza kuwatendea haki!.

Hitimisho
Kwa vile mimi ni Msukuma, naweza kutuhumiwa ni sehemu ya Sukuma Gang wasiotaka Samia aendelee 2025 to 2030. Naomba kwanza niwathibitishie I don't believe hiki kitu kinachoitwa ,"The Sukuma Gang" kina exist in reality!, hakuna kitu kinachoitwa Sukuma Gang, ni just a fictitious group in mind za watu waliofilisika kimawazo!.

Mimi ni Msukuma na sio Sukuma Gang, ila pia ni Mimi ndio nilimtabiria Samia urais wa JMT toka 2017, Pascal Mayalla alitabiri mwaka 2017 kuwa Samia atakuwa Rais wa JMT baada ya 2020
nikamshauri Blaza asigombee 2020 ampishe Samia, but no one takes me seriously, kama sauti hii!, you never know, kama JPM angeusikiliza ushauri wa bandiko hili Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” nilishauri

probably ange...

Mwaka 2020 nikasema humu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
nilisema

Hivyo it's up to Mama, to decide, kuutafuta ukweli wa sauti hizi, au kuzipuuzia na kuendelea na mipango yake ya 2025.

Kuna kitu pia nimeambiwa ni kwa nini Mama amuombe Mwinyi, ila sio lazima kusema kila kitu. Swali la Morality: Je, ni lazima kuusema kila ukweli unaousikia au tutangulize mbele maslahi ya Taifa?
Hivyo mpaka umelisikia hili nimelisema, ujue lina maslahi kwa Taifa.

Kitu muhimu ni nimesikia sauti, nimesema nilichosikia, mimi nimetimiza wajibu wangu!.

Mungu Mbariki Rais wetu Samia aisikie Sauti YAKO!.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
(Mzee wa Sauti, "The Voices From Within)

Baadhi ya Mchango very objective

Mkuu idawa , kwanza asante sana kwa mchango wako na uwezo wako wa kunisoma in between the lines, ila naomba nikuhakikishie, it's not my making, it's the voices from within!.

Sikukisema vyote nilivyo ambiwa, na hiyo sauti labda nikivisema vyote itasaidia kwa kuvi mitigate kabla ya 2025 ili Mama aendelee.

Kinachonifanya nisiseme kila kitu ni kwasababu kauli nyingine huumba!. Nisije nikasema humu, halafu yakatokea ya kutokea tukaaanza kunyoosheana vidole!.

Hata mimi kujiunga JF nikauli za wana JF ile 2008 nikiwa naendesha bike Morogoro Rd mitaa ya Manzese, kuna mwana JF akanianzishia uzi humu kuhusu uendeshaji wangu wa bike.

Kilichofuata hata wiki haikupita... mimi chali!. Uzi ule wa kwanza ukafutwa na kupandishwa uzi huu
Pascal Mayalla apata ajali..... na ndipo nami nikatua rasmi humu JF na baada ya mwaka nikatoa shukrani
Waraka wa Pascal Mayalla - Asanteni Sana!
from then mimi ni mtu makini sana
naamini kwenye nguvu ya kauli Wito Kwa Watanzania:Tuitumie Nguvu ya Kauli, Kumuingiza Ikulu Kiongozi Tunayemtaka!. Mdomo Huumba!.

Mimi ni muumini kuwa humu jf tuna manabii wetu wa ki jf jf TZ Tulipo Sipo!. Nabii Hakubaliki Nyumbani, JF Tuna Manabii wa Kweli, Tuwatumie Walisaidie Taifa!

Pia humu JF tuna wanga wengi tuu Angalizo kwa Wana JF: Tuwaepuke "Prophets Of The Doom", kauli zao huumba!

P
Mchango mwingine very objective

Japo JF mwanzo was meant to be the home of great thinkers, great mind who discuss ideas, those who can read and think, but as times go by, simple minds who discuss people wakajazana humu, ordinary mind who discuss events nao wakajazana humu, hivyo sasa jf ni home to everyone, simple minds, ordinary minds na great minds, ukipandisha bandiko linalohitaji great mind to digest, only the great mind ndio wataelewa unazungumzia nini, simple minds na ordinary minds wataishia chaka.

Kwa kukusaidia wewe and the like minded people wa level yako, bandiko hili Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!
Maana yake
  1. Marais wa nchi hupangwa na YEYE.
  2. JPM yeye alipanga kumalizia awamu yake ya pili lakini YEYE akampangia kazi nyingine na badala yake ndiye akatuletea Samia.
  3. Hivyo Rais Samia hakupanga yeye kuwa rais wa JMT bali alipangiwa na YEYE.
  4. Urais haupangi wewe, kazi yako ni just to wish, Ila ili uwe wewe na wish yako itimie, ni lazima iwe imepangwa na YEYE.
  5. Rais Samia alipoulizwa na Kikeke kama atagombea 2025 alijibu vizuri kuwa mambo ya 2025 tumwachie mpangaji Mungu.
  6. Kwa vile Tanzania hatukuwahi kuchagua rais Mwanamke, Kwa Samia imetokea tuu kwa kudra za Mungu, then lets wish 2025 tusimame na mgombea Mwanamke.
  7. Nikasema mwanamke huyo, sio lazima awe ni Rais Samia, bali ni yule aliyepangiwa na YEYE.
  8. Hivyo kama 2025, ni Samia ndiye aliyepangiwa na YEYE, then who are we to say no?.
  9. Hivyo kama yeye ndiye aliyepangiwa na YEYE, then 2025 ni yeye.
  10. soma tena
Hivyo wakati tukisubiri 2025 huku tukienda na Samia, hivi visauti sauti sasa ndio vinaanza. Kwa vile no one is certainly sure of tomorrow, na hakuna uthibitisho wa hizi sauti , voices from within kama ni sauti ya YEYE au yeye, ukisikia sauti inakuambia kitu, kama kitu hicho kinasemeka, kiseme, ili kijulikane, kama ni kizuri kipepewe, kama ni sio kizuri kitafutiwe jinsi.

Natumaini nimeeleweka.
P.
Umemaliza Anko.
Lucas Mwashambwa pitia hapa upige msasa akili yako
 
Wanabodi
Leo nilikuwa naandika bandiko fulani humu JF, ndipo ghafla nikaisikia sauti (voices from within) kuwa Rais wa JMT kwa mwaka 2025 should be a man kwa kipindi kimoja, then 2030 ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo inamaanisha inamtaka Rais Samia ajiandae kisaikolojia kuwa ni rais wa JMT kwa kipindi kimoja tuu cha mpito cha awamu moja kuimalizia awamu ya pili ya JPM hadi 2025 na afuatiwe na rais mwanaume atakaye kaa kwa kipindi kimoja tuu hadi 2030 sasa ndipo tuje na mgombea mwanamke!.

Sauti hiyo maana yake inamaanisha ni Rais Samia yeye mwenyewe, willingly anatakiwa kujiandaa kisaikolojia kuwa ni rais wa awamu moja, na kumuandaa mtu wa kumkabidhi urais awamu yake ya pili ya miaka 5 yake iliyobakia ya 2025 - 2030!.

Kwa mujibu wa utaratibu wa CCM, hakuna mwana CCM yeyote anayeruhusiwa kùomba fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea urais kwa pande zote mbili za muungano. Mgombea urais wa CCM kwa 2025 kwa huku bara ni rais aliyepo madarakani sasa, Rais Samia na kwa Zanzibar ni Dr. Mwinyi, kwasababu wote wiwili hii ni awamu yao ya kwanza!. Hivyo utaratibu wa CCM ni ule utaratibu wa mserereko wa kuchapisha na kutoa fomu moja tuu ya urais kwa pande zote mbili za muungano ambao kiukweli kabisa huu ni utaratibu wa zengwe!.

Kama sauti hii nilioisikia ni sauti ya kweli ya kwake YEYE, then hii inamaana, huu ni ujumbe kwa Rais Samia, ama Rais Samia yeye mwenyewe ameisha ambiwa na YEYE, ama YEYE ameanza kutuambia kwanza akina sisi wengine wa kutangazia umma ili kuanza kuwaandaa Watanzania kisaikolojia kuhusu 2025,kisha atamtaarifu mhusika mwenyewe.

Hivyo wakati tukisubiri 2025 huku tukienda na Samia, hivi visauti sauti sasa ndio vinaanza. Kwa vile no one is certainly sure of tomorrow, na hakuna uthibitisho wa hizi sauti , voices from within kama ni sauti ya YEYE au yeye, ukisikia sauti inakuambia kitu, kama kitu hicho kinasemeka, kiseme, ili kijulikane, kama ni kizuri kipepewe, kama ni sio kizuri kitafutiwe jinsi.

Natumaini nimeeleweka.
P.
Haya matokeo ya uchaguzi wa Marekani, yamenipelekea kumtafakari mgombea mwanamke kwa 2025,
ila tukubali tukatae, Wamarekani ni majitu majinga ajabu!, yanawezaje kumchagua mtu wa ajabu vile ili tuu kumchagua mgombea mwanaume hata awe wa ajabu vipi, kuliko kumchagua mgombea mwanamke!.

2025 Tanzania tuinyeshe Dunia kuwa ni Baba wa Demokrasia Afrika Mashariki kwa Kumchagua Rais Mwanamke.
P
 
Tatizo walamba asali .
Walamba asali ni watu wahuni, washenzi na wasio na uchungu na Taifa lao.
Ni kama watu wasio na utaifa.
Wanachoangalia ni maslahi yao tu na walivyo na akili finyu wanajua kuwa ili maslahi ipatikane lazima wamsifie Maza kuwa ni best president ambaye hakuna mfano wake. Maza ataingia king atavuta fomu na kupita kwa kishindo huku mafisadi wakashangilia chooni .
 
Back
Top Bottom