zege la nyasi
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 938
- 1,255
K
🙌🙌🙌....
Naam sababu ya kutokea jambo ni huyo aliyeruhusu na kadhalika kutotokea ni huyo pia.
Binadamu hukumu zetu zinaongozwa sana na nyakati zilizopita ila Mungu nafikiri anahukumu kwa wakati uliopo sasa hapo ndio pagumu kuelewa iweje mwenye historia ya uovu akubalike na Mungu kumbe Mungu anahusika na wakati uliopo na hata sekunde chache kabla ya Roho na mwili kuachana Mtu anaweza kuiona Mbingu kutokana na neema.
Kaka naamini ni mmoja ya watu unaelewa vizuri sana mambo ya karma na jinsi inavyofanya kazi.Anayeleta ndiye ametwaa, anapoleta huwa hatoi sababu na anapotwaa pia huwa hatoi sababu, hivyo hakuna yeyote ajuaye for sure the exact reasons za kutwaliwa, ila pia tupo akina sisi, ambao kabla hajawa, tulisema kitu, Elections 2015 - Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli
Aliposhinda uchaguzi ile 2015, tukasema kitu Elections 2015 - If you can't beat them, join them! He is the worst dictator. Let's pray for him!
Baada ya mtu kulalamikia matokeo pia tukasema kitu Elections 2015 - Kama Hii ni Kweli, Then, Serikali Yetu ni Serikali Dhalimu?, Haramu?. Hukumu ya Karma ii Juu Yake!
Kabla ya uchaguzi wa 2020 tukashauri Ombi Maalum, Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na Uchaguzi Mkuu wa 2020, Uendeshwe kwa Ceteris Peribus, Sio Kwa Mutatis Mutandis. Tutabarikiwa!
Baada ya kushuhudia rafu zilizochezwa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2019, tukasema kitu Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi
Kwenye hizo hoja zote, pia ninaweka kitu kinachoitwa causes and effects, kwenye effects naweka the consequences.
Kilichomuondoa Blaza ni the accumulation of bad karma "The Power of 'Karma'- Ndio Hukumu Pekee ya Haki Kamili Hapa Duniani!, Unahukumiwa kwa Matendo Yako!
Yaani ni karma imekula kichwa!.
Uzuri wa karma, ukiishalipa deni la karma, deni linakuwa limelipwa, unatakasika, unaingia peponi, ndivyo JPM alivyoingia mbinguni.
P
🙌🙌🙌....
Naam sababu ya kutokea jambo ni huyo aliyeruhusu na kadhalika kutotokea ni huyo pia.
Binadamu hukumu zetu zinaongozwa sana na nyakati zilizopita ila Mungu nafikiri anahukumu kwa wakati uliopo sasa hapo ndio pagumu kuelewa iweje mwenye historia ya uovu akubalike na Mungu kumbe Mungu anahusika na wakati uliopo na hata sekunde chache kabla ya Roho na mwili kuachana Mtu anaweza kuiona Mbingu kutokana na neema.