kumbe aliyetoa a go ahead kwa kina Mdee na kundi lake, ni kigogo wa Chadema!。
Sasa sauti imeniambia the one behind hii saga yote ya kina Mdee, ni Kigogo mmoja mkubwa tuu wa Chadema!. Sauti hiyo imeniambia Kigogo huyo alikuwepo ukumbini, kwenye vikao vyote viwili vilivyowatimua kina Mdee!. Jee Kigogo huyu ni nani?,
, kule NEC hawahitaji taarifa za kikao, wanahitaji barua ya uteuzi na fomu zilizosainiwa. Barua ilikuwepo na fomu zilikuwepo na hapa ndipo nikaisikia sauti from within kuwa mtu aliyewapa go ahead kina Mdee ni Kigogo mmoja wa Chadema, ni mjumbe wa CC na siku ya kikao cha Kamati Kuu Chadema, kilichokaa kama a Kangaroo court na kuwatimua, alikuwepo!. Siku ya Kikao cha Baraza Kuu, kubariki ule Ukangaroo wa Kamati Kuu Chadema alikuwepo ukumbini!. Sauti Imeishia hapo.
Jee Kigogo Huyu ni Nani?.