Pirate of Carribean
Senior Member
- Sep 4, 2019
- 116
- 189
Hatarii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Death Wish
Benz ni 240 Beatleni 260Je benz alikuwa kwenye mashindano? Usikute kajikadiria mwenyewe mie mwisho ni 140, akawa anatembea humo.
Utata ulianzia hapaaJe benz alikuwa kwenye mashindano? Usikute kajikadiria mwenyewe mie mwisho ni 140, akawa anatembea humo.
😂🤣😆Je benz alikuwa kwenye mashindano? Usikute kajikadiria mwenyewe mie mwisho ni 140, akawa anatembea humo.
angalia clip nyingine nime upload mkuu utapata jibu[emoji23][emoji1787][emoji38]
Kuna watu wanaona kila aliyeko barabarani anashindana
Hiyo speed ni kubwa Sana angalia vizuri hiyo clip utapata jibu..speed 140 ni yakawaida Sana barabarani usikariri kwenye speed za Toyota hawa no wajerumani mzeeeJe benz alikuwa kwenye mashindano? Usikute kajikadiria mwenyewe mie mwisho ni 140, akawa anatembea humo.
Sifa ya magari ya kijerumani ni speed kutokana na design ya engine na gear box huku yakiwa na balance ya Hali ya juu😂🤣😆
Kuna watu wanaona kila aliyeko barabarani anashindana
Hapo benz 260 Golf 280 au 300Benz ni 240 Beatleni 260
Wasauz hao na hayo ndiyo maisha Yao kwasababu wenzetu Wana barabara zenye Akili.Wote Walikuwa Kwenye Race?
140 ni speed ya kawaida kwa barabara zipi mkuu? Ndio maana mnakufa sana sababu ya ushamba na ulimbukeni wenu wa Magari.Hiyo speed ni kubwa Sana angalia vizuri hiyo clip utapata jibu..speed 140 ni yakawaida Sana barabarani usikariri kwenye speed za Toyota hawa no wajerumani mzeee
Jamaa wana Kaushamba fulani hivi huwezi kufuta🤣🤣Wazulu mara nyingi wanatafuta mashindano sehemu isiyokua na mashindano na kujirekodi...
Wengi wao hawataki kuikubali Mercedes kwanza wanaweza kuimudu VW hata ikiwa mpya ila Mercedes wengi inawashinda mpaka ipite muda ndio wananunua sasa hawa wengine kwa sababu hiyo wanaanza kuichukia na kumchukia mwenye Mercedes hata kwa kuweka ligi tuu za kutengeneza...Jamaa wana Kaushamba flani hivi huwezi kufuta🤣🤣