National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Mawazo yako tu, wapo wanatunza gari za mzungu kuliko hizo za japan.Inawezekana Mkuu ila wa bongo wengi utunzaji wetu wa gari za kizungu ni mtihani , kingine wazoefu wa hizi gari hua wana shauri mtu kama gari yake ya kwanza kumiliki aanze na mjapan hasa Toyota
Inawezekana mkuu mi pia nawajua baadhi wametunza vizuri gari zaoMawazo yako tu, wapo wanatunza gari za mzungu kuliko hizo za japan.
🤣🤣🤣Usije ukafanya makosa na kuanza safari ya kumiliki gari nje ya Toyota😀
Hahahah success rate ni ndogo mnoMawazo yako tu, wapo wanatunza gari za mzungu kuliko hizo za japan.
Sio kweli acheni kutosha watu ,hizi akili za Toyota zinawatoka liniUsije ukafanya makosa na kuanza safari ya kumiliki gari nje ya Toyota[emoji3]
Unanuaje gari mkononi mkuuNb:bajeti yangu ni 10m,
Kabla sijakutana na huyu mtu wa volkwaggen.nilikua nataka kununua gari kati ya hizi,naziandika kutokana na priority
1.premio
2.allex
3.runx
4.allion
Sasa huyu wa volkswagen namfahamu japo gari sijaiona,ila anaitumia mke wake na hana mizunguko kiivyo pia toka inunuliwe haina muda sana ,sasa ndio amenishtua kwamba nikitaka naweza ichukua hiyo,nishaurini wakuu
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Hilo angalizo tu 🤣 mtu hajui kama kuna kubadili oil na filter pamoja na kukagua break fluid, maji na ATF ukamtweshe mjerumani aanze kuteswa na sensor na oil leaks?Sio kweli acheni kutosha watu ,hizi akili za Toyota zinawatoka lini
Amekuseti kiboya hapo. Hio gari kashaona mziki wake mnene 🤣 utashangaa baada ya kukuuzia wewe hio yeye atakimbilia kwenye RunX au Premio 🤣Nb:bajeti yangu ni 10m,
Kabla sijakutana na huyu mtu wa volkwaggen.nilikua nataka kununua gari kati ya hizi,naziandika kutokana na priority
1.premio
2.allex
3.runx
4.allion
Sasa huyu wa volkswagen namfahamu japo gari sijaiona,ila anaitumia mke wake na hana mizunguko kiivyo pia toka inunuliwe haina muda sana ,sasa ndio amenishtua kwamba nikitaka naweza ichukua hiyo,nishaurini wakuu
Sent from my CPH2121 using JamiiForums mobile app
Daah mimi nilianza na 405 nikaja na Honda ballade auto nilipokuja nayo Tanzania walisema auto zinasumbua mno mno walikua wanatumia manual kipindi hicho...nilipoiacha wakaona inatembea tuu wakawa wanapishana kutaka kununua wakati nilishabadili mawazo kwa kaburu unaweza kutoka na Jiwe lolote na like likakusaidia huku mbele gari zao ni ngumu sana na pia watumiaji wanajali sana Service ya gari..Usije ukafanya makosa na kuanza safari ya kumiliki gari nje ya Toyota😀