Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwenda Veta kujifunzaHahaha mkuu manual sijui kuendesha😂😂😂
Chukua chombo, VW wapo serious na kazi zao mkuu, mafundi wapo, spare zipo na kama utaichua kwenye hali nzuri kazi yako inakuwa ni services tu mkuu, na kama pia utakuwa mtunzaji, kwenye matuta ibembeleze kwenye barabara za lasta na mbaya siziwe rafiki yako sana.. hapo utazifurahi hizo gari mkuu wangu.
Phoenix nilikuwaga naonekana wa kishua, nilipewa kamoja kadogo dogo ka kua naenda nako shule, totoz zilikuwa zanishobokea.. maana ilikuwa mpyaaaaaa 😀😀😀😀Daah samahani mkuu,mi napenda baiskeli Aina ya swala au Phoenix mkuu.Ndio uwezo wangu unaishia hapo.
View attachment 1843838
Nikisikia mtu anazungumzia manual naona ananirudisha zamani.. mzungu anafanya maisha yawe mepesi hadi analeta magari auto pilot.. mtu analeta habari za manual 😀😀😀😀Hahaha mkuu manual sijui kuendesha😂😂😂
Mkuu hizo VW Scirocco huwa zinakuja zikiwa zimekuwa tuned. Wiki hii Kuna Moja nimekutana nayo Water Front ni IT.
VW gari nyingi sauti zake ni tamu.. hata GTI kina sauti flani nzuri sanaMkuu hizo VW Scirocco huwa zinakuja zikiwa zimekuwa tuned. Wiki hii Kuna Moja nimekutana nayo Water Front ni IT.
Sauti ya engine kama gari VW za Rally.
Apate kama hii,matusi yake itakuwa ni hatariMkuu hizo VW Scirocco huwa zinakuja zikiwa zimekuwa tuned. Wiki hii Kuna Moja nimekutana nayo Water Front ni IT.
Sauti ya engine kama gari VW za Rally.
Ilikuwa kama hii rangi ya Bluu, na ilimpata dereva haswaa alikuwa akiikamua inaita kweli ingawa kipande Water Front-Majani ya Chai mpaka Round About kina foleni muda wa jioni.
Gari ambayo ipo tuned, popote mguu unawasha just usikie ile sound tuIlikuwa kama hii rangi ya Bluu, na ilimpata dereva haswaa alikuwa akiikamua inaita kweli ingawa kipande Water Front-Majani ya Chai mpaka Round About kina foleni muda wa jioni.
Ttzo ni za kichoyo km zilivyokuwa vw beatlle,wangeunda na za milango mitano ingepe dezaVW gari nyingi sauti zake ni tamu.. hata GTI kina sauti flani nzuri sana
Vijana wa ma subaru tunapenda sana hayo mambo kama tumerogwa flani vilee 😀😀😀Hapo jau ni hayo maplastic body kits ndio kimeo! Huwa gari ikiwa hivyo sivutiwi nayo kama ile inayokuwa bare! Gari iwe kama gari tu inavyotakiws kuwa bila hii miplastic na mingao ngao!
Hahahah zama zile kumiliki baiskeli ni kitu cha pekee! Totoz lazma zishobokePhoenix nilikuwaga naonekana wa kishua, nilipewa kamoja kadogo dogo ka kua naenda nako shule, totoz zilikuwa zanishobokea.. maana ilikuwa mpyaaaaaa 😀😀😀😀
Wese bei chee na hela wanazo.Ndio nembo ya taifa na gari za kujivunia hizo kwao unakuta gari ina 6200cc V8 ama V12 bonge ya engine kwa ajili ya vurugu tu! Kwao wese bei chee!
Umenitajia VW betatlle 😀😀😀 nimekumbuka, kuna jamaa namtongoza aniuzie bei ya kutupa, kaniwekea roho ngumu tu hadi leo ila ni ki gari kizuri kakutoka na wife. Hakuna lift hapo, ila vina nafasi nyuma kubwa tu, sema ndio milango miwiliTtzo ni za kichoyo km zilivyokuwa vw beatlle,wangeunda na za milango mitano ingepe deza
😀😀😀😀 lift, unambeba kwa mbele pale kwenye bombaHahahah zama zile kumiliki baiskeli ni kitu cha pekee! Totoz lazma zishoboke