Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Wagawa magari mbona wapo wengi sana kama kina Extrovert ๐๐๐Usijiongeleshe hapa kama mzaha. Ahadi ni den๐Haya mambo nimechoka kuyaona kwenye movie.
hivi hapa tz kuna wanaume besdei wanatoa hii zawadi?
Note: simaanishi wale wasanii wanaoende showroom kukodi za kuonesha mbele ya camera asubuhi zinarudishwa.
Namaanisha real men wapo hapa bongo?
Meonaa eeh[emoji848]Chuma heshima hicho mkuu, kama pesa ipo kamata uki plus X6 unatulia zako safii kwenye vyuma vya maana
๐๐๐ vigari vidogo vidogo hata mtaani wana vidharau sana, mfano mtu unakuta Golf GTI anafananisha na ISTMsisahau kuweka na Bei zake,Kuna mtu atakaona ni kadogo dogo hivi adhani Kana Bei ya kama ya Vitz na hapo ndipo atajua hajui.
Beetle Ile ya old skuli Bei ni haifai(kubwa) hivi vi Beetle vya siku hizi(mayai mayai) naona Bei yake kawaida.Umenitajia VW betatlle ๐๐๐ nimekumbuka, kuna jamaa namtongoza aniuzie bei ya kutupa, kaniwekea roho ngumu tu hadi leo ila ni ki gari kizuri kakutoka na wife. Hakuna lift hapo, ila vina nafasi nyuma kubwa tu, sema ndio milango miwili
Kila la kheri mkuu, katika harakati zako, Mungu wako akujalie na kukupa madili ya hela ya kupata hivyo vyuma ๐๐Meonaa eeh[emoji848]
Safari ndo imeanza bablai
๐๐๐ Ma mangi tunakucheki tu tunasema hiiiiiiiiiiiii.Asee sipendi hii tabia...wapare ndo zao hizi kuweka ngao
Ki Golf kizuri sana[emoji3][emoji3][emoji3] vigari vidogo vidogo hata mtaani wana vidharau sana, mfano mtu unakuta Golf GTI anafananisha na IST
Jamaa kanikazia sana, ni cha zamani ila naona walikuwa wamekapaki tu, bado ipo na hali nzuri sana, na kuna siku aliniachia nikatumie.. juzi tu nime mkumbusha anaruka ruka ๐๐.. ila sitochoka ipo siku atanasa tuBeetle Ile ya old skuli Bei ni haifai(kubwa) hivi vi Beetle vya siku hizi(mayai mayai) naona Bei yake kawaida.
All the best man.
Say it again[emoji120]Kila la kheri mkuu, katika harakati zako, Mungu wako akujalie na kukupa madili ya hela ya kupata hivyo vyuma [emoji846][emoji846]
Ha ha ha ...hao hao ndo kiongozi wao[emoji1][emoji1][emoji1] Ma mangi tunakucheki tu tunasema hiiiiiiiiiiiii.
Ahaaaaa hakunaga cha bure dunia hii.Wagawa magari mbona wapo wengi sana kama kina Extrovert ๐๐๐
Hahahahahah ulifanya road test kidogo ๐ ๐ ๐ ila umepagawa nalo balaa!Ki Golf kizuri sana
Eeh mtaaan hawajui magari asee
Nilishuka kwenye hiyo BMW X6 la kuomba, mijinga inapita getin nasikia " ona harrier hiyo tako la nyani" kidogo nitapike[emoji36]
Waaminifu mbona wapo wengi mkuu, ukiona kuna giza ujue na kuna nuru ๐๐๐.. sema Mungu anakupa wa kufanana nae sasaMtoto anataka apewe Mjerumani๐ ila tatizo uaminifu ndio 0 kwa hawa dada zetu wa kibongo!
Nimegundua madem wengi wanapenda SUVโs kuliko tugari twa chini tule!๐ ๐ ๐Ahaaaaa hakunaga cha bure dunia hii.
Aiseee kazi ya moyo ni kutamani achana na kusukuma damu. Jana kazini nkaona ford everest imepaki sasa mimi navyopenda vikubwa moyo ulifanya paah.๐กnikasema ipo siku๐๐๐
Daah kale kanauzwa pesa mingi aisee,kitu air cooled engine mzee baba.Jamaa kanikazia sana, ni cha zamani ila naona walikuwa wamekapaki tu, bado ipo na hali nzuri sana, na kuna siku aliniachia nikatumie.. juzi tu nime mkumbusha anaruka ruka ๐๐.. ila sitochoka ipo siku atanasa tu
Hahah akikutana nayo barabarani akapelekewa Moto ndipo ataelewa.๐๐๐ vigari vidogo vidogo hata mtaani wana vidharau sana, mfano mtu unakuta Golf GTI anafananisha na IST
๐๐๐๐ vya bure havipo ukweli, cha kwanza lazima uwe na product mfanye exchange. Ni kweli ipo siku yako tu mkuu utapata, hata mmbuyu ulianza kama majaniAhaaaaa hakunaga cha bure dunia hii.
Aiseee kazi ya moyo ni kutamani achana na kusukuma damu. Jana kazini nkaona ford everest imepaki sasa mimi navyopenda vikubwa moyo ulifanya paah.๐กnikasema ipo siku๐๐๐
Mkuu acha kabisa..Hahahahahah ulifanya road test kidogo [emoji28][emoji28][emoji28] ila umepagawa nalo balaa!
Hahahahah unanifunga mota nisije nikawa chizi mzee ๐ unampa demu funguo kisha anakusaliti baada ya mwezi! Smart911 ana uzoefu wa vibinti vya mjini akina Mahondaw๐๐๐ baada ya kugawa zawadi za maua ya pesa!Waaminifu mbona wapo wengi mkuu, ukiona kuna giza ujue na kuna nuru ๐๐๐.. sema Mungu anakupa wa kufanana nae sasa