Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Usijiongeleshe hapa kama mzaha. Ahadi ni den😂Haya mambo nimechoka kuyaona kwenye movie.
hivi hapa tz kuna wanaume besdei wanatoa hii zawadi?

Note: simaanishi wale wasanii wanaoende showroom kukodi za kuonesha mbele ya camera asubuhi zinarudishwa.

Namaanisha real men wapo hapa bongo?
Wagawa magari mbona wapo wengi sana kama kina Extrovert 😀😀😀
 
Umenitajia VW betatlle 😀😀😀 nimekumbuka, kuna jamaa namtongoza aniuzie bei ya kutupa, kaniwekea roho ngumu tu hadi leo ila ni ki gari kizuri kakutoka na wife. Hakuna lift hapo, ila vina nafasi nyuma kubwa tu, sema ndio milango miwili
Beetle Ile ya old skuli Bei ni haifai(kubwa) hivi vi Beetle vya siku hizi(mayai mayai) naona Bei yake kawaida.


All the best man.
 
Beetle Ile ya old skuli Bei ni haifai(kubwa) hivi vi Beetle vya siku hizi(mayai mayai) naona Bei yake kawaida.


All the best man.
Jamaa kanikazia sana, ni cha zamani ila naona walikuwa wamekapaki tu, bado ipo na hali nzuri sana, na kuna siku aliniachia nikatumie.. juzi tu nime mkumbusha anaruka ruka 😀😀.. ila sitochoka ipo siku atanasa tu
 
Ki Golf kizuri sana


Eeh mtaaan hawajui magari asee

Nilishuka kwenye hiyo BMW X6 la kuomba, mijinga inapita getin nasikia " ona harrier hiyo tako la nyani" kidogo nitapike[emoji36]
Hahahahahah ulifanya road test kidogo 😅😅😅 ila umepagawa nalo balaa!
 
Ahaaaaa hakunaga cha bure dunia hii.

Aiseee kazi ya moyo ni kutamani achana na kusukuma damu. Jana kazini nkaona ford everest imepaki sasa mimi navyopenda vikubwa moyo ulifanya paah.😡nikasema ipo siku😂😂😂
Nimegundua madem wengi wanapenda SUV’s kuliko tugari twa chini tule!😅😅😅
 
Jamaa kanikazia sana, ni cha zamani ila naona walikuwa wamekapaki tu, bado ipo na hali nzuri sana, na kuna siku aliniachia nikatumie.. juzi tu nime mkumbusha anaruka ruka 😀😀.. ila sitochoka ipo siku atanasa tu
Daah kale kanauzwa pesa mingi aisee,kitu air cooled engine mzee baba.

Ukikapata nishtue siku tukiwa na event yetu Ile ya vintage car huku chuga nitakualika.

Enjoy.
 
Ahaaaaa hakunaga cha bure dunia hii.

Aiseee kazi ya moyo ni kutamani achana na kusukuma damu. Jana kazini nkaona ford everest imepaki sasa mimi navyopenda vikubwa moyo ulifanya paah.😡nikasema ipo siku😂😂😂
😀😀😀😀 vya bure havipo ukweli, cha kwanza lazima uwe na product mfanye exchange. Ni kweli ipo siku yako tu mkuu utapata, hata mmbuyu ulianza kama majani
 
Hahahahahah ulifanya road test kidogo [emoji28][emoji28][emoji28] ila umepagawa nalo balaa!
Mkuu acha kabisa..

Ujue nyie ( wewe na holy) mnalionaga tu hamjawahi kuingia ndani na kulitekenya (kuwasha), ukafungua music [emoji134][emoji134]


Gari lile ni ndege ya ardhini, kitu kimetulia barabarani, sterling laini soft kama ngozi ya Zari

Aah acha nitafute hela asee, yule mzungu anaenjoy asee na huu mchuma[emoji848]
 
Waaminifu mbona wapo wengi mkuu, ukiona kuna giza ujue na kuna nuru 😀😀😀.. sema Mungu anakupa wa kufanana nae sasa
Hahahahah unanifunga mota nisije nikawa chizi mzee 😅 unampa demu funguo kisha anakusaliti baada ya mwezi! Smart911 ana uzoefu wa vibinti vya mjini akina Mahondaw😂😂😂 baada ya kugawa zawadi za maua ya pesa!
 
Back
Top Bottom