Siyo kwa prado hizi za kuanzia 2019 kuja juu aiseeEwaaaaa mule mule...
Kwenye kunesa nesa Body la Nissan ndio mwenyewe,
Prado sijawahi kuendesha lkn wamiliki naona wanalalamika kuwa ukiwa kwenye mwendo mkali ni utafikiri unasukumwa na kitu kwa nyuma full kuweweseka, na ndio maana wanapiga ngwala sana! Sijui ni hizo suspensions
Mimi siwezi kununua kigari cha chini chenye cc kubwa namna hiyo!Majesta gani anapigwa na Brevis hio itakuwa Majesta ya kuchora ila ile yenye 4300cc V8 haiwezi sumbuliwa na watoto wadogo!
asa.posche huku.tz.unaendeshea wpVw Touareg vs Audi Q7 vs Porsche Cayenne.
All the best.
vp kuhusu nissan terrano na mistubish outlanderHii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Mbona Porsche Cayenne mtaani ziko za kutosha tu mzee baba.asa.posche huku.tz.unaendeshea wp
Kijijini mbali humu humu town, kuna mahala lazima upige mahesabu sana kuingia na hizi gari za chini, ila tumezipenda tu. Majesta zina option ya kuongeza kimo mkuu na kupunguzaMimi siwezi kununua kigari cha chini chenye cc kubwa namna hiyo!
Ukubwa huo wa injini alafu hata kijijini kwenu unaenda kwa mawazo?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kijijini mbali humu humu town, kuna mahala lazima upige mahesabu sana kuingia na hizi gari za chini, ila tumezipenda tu. Majesta zina option ya kuongeza kimo mkuu na kupunguza
Terrano kali ni ile box ya 1995 na ile new model yake nafikiri ya mwisho 2000 ile! Kale kalikofata ni kamekaa kijinga jinga sana!vp kuhusu nissan terrano na mistubish outlander
Mitsubishi outlander yameshuka bei...ila ukilileta bongo unalo mafundi watakuchokonolea gari lako hawana uzoefu...full umeme[emoji848]vp kuhusu nissan terrano na mistubish outlander
Majesta ndo linaburuza kabisa ardhini...asee rafiki yangu anapata sana shida kwenye bums, kata Kona nyingi shoto kulia kukwepa mgongo wa bums kama anaendesha scania vile[emoji848][emoji848]...sasa mateso yote ya nini? Angeongezea 10m kwenye hiyo 16m yake akuchukua kubwaKijijini mbali humu humu town, kuna mahala lazima upige mahesabu sana kuingia na hizi gari za chini, ila tumezipenda tu. Majesta zina option ya kuongeza kimo mkuu na kupunguza
Kuna sehemu yangu huwa napaki , natembe tu kuepusha shari ππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
20 mguuni unamaanisha 20m mkononi?Terrano kali ni ile box ya 1995 na ile new model yake nafikiri ya mwisho 2000 ile! Kale kalikofata ni kamekaa kijinga jinga sana!
Mitsubishi Outlander tuko pamoja mzee hasa ukiikuta imeoga kweli kweli 20β mguuni!
Kwanini mkuu?Kuna sehemu yangu huwa napaki , natembe tu kuepusha shari [emoji3][emoji3]
Majesta unaipakazia hiyo itakuwa ni Crown Athelete. Majesta nyingi nimeona zina option ya kuzinyanyua mkuu ( unaongeza kimo ) inapanda juu.. ila Athlete na Royal yanatembelea tumbo sana πππMajesta ndo linaburuza kabisa ardhini...asee rafiki yangu anapata sana shida kwenye bums, kata Kona nyingi shoto kulia kukwepa mgongo wa bums kama anaendesha scania vile[emoji848][emoji848]...sasa mateso yote ya nini? Angeongezea 10m kwenye hiyo 16m yake akuchukua kubwa
ππππ kuna sehemu mbaya sana kuingiza gari za chini, unaweza haribu gari kizembe zembe tuKwanini mkuu?
Mkuu si ndo hii....full kuburuza banaMajesta unaipakazia hiyo itakuwa ni Crown Athelete. Majesta nyingi nimeona zina option ya kuzinyanyua mkuu ( unaongeza kimo ) inapanda juu.. ila Athlete na Royal yanatembelea tumbo sana [emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa shida yote ya nini hiyo mkuu...mnapata sana shida nyie basi tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kuna sehemu mbaya sana kuingiza gari za chini, unaweza haribu gari kizembe zembe tu
Mkuu zina hii option ππMkuu si ndo hii....full kuburuza bana
Mbona unaitetea sana au ndo unamiliki[emoji16]View attachment 1844833
Mbona kawaida sanaaa πππ, hiyo inatokea mala moja moja sanaaaSasa shida yote ya nini hiyo mkuu...mnapata sana shida nyie basi tu
Nishaendesha sana! Ila kwa Sasa napendelea Bugatti Veyron.Kuna gari zinaitwa dodge challenger au demon ni kali sana mkuu.
View attachment 1842787