ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,247
- 6,578
Fundi kichaaKuna garage Arusha niliikuta Santa-fe mwenye nayo akawa anashauriwa na fundi aweke engine ya Rav 4 kwny hio gari, sijui waliishia wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fundi kichaaKuna garage Arusha niliikuta Santa-fe mwenye nayo akawa anashauriwa na fundi aweke engine ya Rav 4 kwny hio gari, sijui waliishia wapi
Kia Stinger GTNaikubali sana KIA kwa mara ya kwanza wamenikosha na wana gari nzuri sana sahizi naona wale ma designer wa zamani washafutwa kazi [emoji28][emoji28][emoji28]
Mafundi wa bongo ujuzi wao ukifika mwisho ndio wanakuja na pigo hizoKuna garage Arusha niliikuta Santa-fe mwenye nayo akawa anashauriwa na fundi aweke engine ya Rav 4 kwny hio gari, sijui waliishia wapi
Hata subaru zinanesa 🙂🙂Hahah umenikumbusha Pajero V6 3.5 Yale ma old skuli ya enzi hizo, Kuna mwana walikua nalo kwao,ilikua na air suspension aisee Ile Gari ilikuaga inanesa kishenzi,yaani hata ikisimama kwny mataa road mneso wake huko nyuma sio wa mchezo.,lilivyokufaga air suspension likapakiwa mazima enzi hizo.
Mchizi kalifufua mwaka juzi,kaweka suspension za KYB.
Kwa watu wa matukio kama kina Extrovert ndio mahala pake hizo air susp 🙂🙂Kwny LR3 air suspension zake zilichoka bei yake ya ku replace ilikua balaa ikabidi tu kununua coil conversion kit.
Sijajua kwny majesta gharama zake zikoje air suspension zikichoka.
Ila kwa ule mneso wa air suspension gharama zake it's worth it.
Hii gari jana nimeikuta mlimani cityMashine kali sana. Kiukweli gari inaweza kuwa kali ila badge ikaishusha. Mfano hii gari ingekuwa na badge ya BMW,BENZ ingekuwaje?!! Au chukulia VW Amarok ipachike badge ya TATA utaikubali?
Inabidi tumuombee kibali kwa mme wake witnessj , tumpishe trip moja hatari ndani ya Majesta ndio ajue utamu wa hicho chuma 🙂🙂🙂Hili majesta la zamani. lile jipya haligusi chini hata kidogo ena linapenda rough road
😀😀😀😀 bei imechangamka kweli kweli... ila na wewe uta enjoy sanaaaHahah kwa 2013 Bei iko mahala pake.
Utelezi tuHio ni minyemko tu 😅😅😅 kwichiliii...kwichili hamnaga 😅 mwendo wa tssss...tssss!
Hahah zile zinatikisika,hazinesi mzee baba 😄😄😄Hata subaru zinanesa 🙂🙂
Umeamua kuwaua kabisa jamaaa 😀😀😀Hahah zile zinatikisika,hazinesi mzee baba 😄😄😄
Napenda udogo wa injini ukilinganisha na TuaregTiguan iko poa sana eeh
Gari nzuri, inao uwezo wa kutosha na ila gharama kwenye spare parts na inajua kubugia mafuta hasa! Si kama gari za kijapani tulizozizoea wengi wetu. Ila ukiwa nayo kama utazimudu gharama ni gari nzuri sana!Hii gari bana kila nikiiona inanipa hasira sana za kutafta hela wazee ni gari flani ambayo ni sort of a cross over SUV ila design yake imekaa makini sana kwa picha inaonekana ndogo ila in reality its a huge machine. Nimeiweka kwenye wishlist yani ikatokea siku nimepiga mshindo tu imma cop this whip!
View attachment 1841907View attachment 1841908View attachment 1841909
Ukiniambia ni gari gani naiwaza na kuiota kuja kuimiliki basi this is it. Its a dream hasa ile V6! Wenye uzoefu na hii gari karibuni mnipe mchanganuo wa wasifu wake zaidi sababu muda ukifika sitajiuliza mara 2!
Naskia ile ya diesel haili sana weseGari nzuri, inao uwezo wa kutosha na ila gharama kwenye spare parts na inajua kubugia mafuta hasa! Si kama gari za kijapani tulizozizoea wengi wetu. Ila ukiwa nayo kama utazimudu gharama ni gari nzuri sana!