Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Ila ukiwa nayo una enjoy, tena hali ya kujiamini inaongezeka, si unajua unakuwa unique zaidi, halafu AC zake haziko strong sana sababu labda zinatokea kwenye nchi zenye baridi sana
Kweli bob, ac ya toyota bana unaganda kabisa hata iwe ya corrolla 110 namba A ila ac yake full MufindiπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…!

VW Ukichomoza nayo hata ku sign deal unaheshimika!
 
Huyo ananizingua najua ...unajipa moyo vitu ambavyo haviwezekani[emoji848]

Hata ukisave hiyo 50M lazima ubadilishe gia angani[emoji16]

Kununua gari expensive inahitaji moyo wa chuma coz kunahitajika hela yote tena cash sio kama nyumba unadunduliza
Nenda dealership utaweza kununua kwa monthly payment plan. CFAO Motors wana huo utaratibu.
 
Hii uta create a lot of attention. Kuna vyuma vya kibabe ambavyo vinaonekana kama gari za kawaida- Hapa naongelea hizi wagons: RS6, E63, V60 Polestar n.k.
Ni kweli kama hii RS6 ni chuma sana hiyo gari. Mtu hata akiona road anaona kama kagari ka kawaida ila ukigusa tu unanata πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…