Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Aaah wapi....kuuza damu nimo, figo, yaan hata wewe ukibugi nakuuza, cha maana chapaa tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jokes aside hela hamna haki tena sijui ni hii wave tatu
Sasa nyie mkisema hela hamna sie mabaharia itakuwaje aisee! Mtoto mzuri unalia hela amna dah ni huzuni 😌😌😌
 
Sasa nyie mkisema hela hamna sie mabaharia itakuwaje aisee! Mtoto mzuri unalia hela amna dah ni huzuni [emoji18][emoji18][emoji18]
Haa haa haa...mtoto mzuri tena ukijiachia unatupiwa wadudu wanaonyenvua nyevua[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]

Acha tukomae na jasho letu kama bado tunataka kuishi, Heineken tamuuu[emoji39][emoji39]
 
Haa haa haa...mtoto mzuri tena ukijiachia unatupiwa wadudu wanaonyenvua nyevua[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji1787]

Acha tukomae na jasho letu kama bado tunataka kuishi, Heineken tamuuu[emoji39][emoji39]
Wadudu wa kunyevusha ndio wadudu gani ? Watu wa dar es salaam mna misemo mingi, ambayo inatuacha wa mikoani hoi kabisa
 
Back
Top Bottom