Volkswagen Touareg gari ambayo imetokea kunikonga nyoyo sana of all the German makes

Hahahah hilux iwe yenye turbo ile kale kamluzi kake [emoji28][emoji28][emoji28]
Kaka umeamsha mashetan yng, kale kamluzi ni nyoko kuna mwanangu analo mwnz, nilitoka nalo mwanza to dar and return balaa lake acha kbs na kale kamruzi yan full mzuka, pale igunga kuna waarabu walinipiga mkono wakiuliza bei jamaa akachomoa!
 
Mshahara wa dhambi ni mauti.. dhambi hutunga mimba ya mauti, na wokovu huja na karama ya uzima wa milele.. mbele zipo baraka na laana.. ni kujichagulia tu mwenyewe [emoji846][emoji846][emoji846]
Hii statement nimeipenda..
Hili neno inabidi mzee wa utelezi limuingie kabisa, maana yeye ni haelewi kabisa[emoji1787][emoji1787]
 
Vw Touareg vs Audi Q7 vs Porsche Cayenne.

All the best.
Mkuu hizo gari ni za kibabe hiyo Audi kuanzia Q 5 iliyo 2.0TD ikiwa kwenye mwendo inashika bara bara balaa ipo moja nilimletea jamaa mmoja Chuga aisee ni gari..hiyo porsche ndio chaguo langu sema miaka ya karibuni bei zake zimechangamka mno na road inanasa kama sumaku...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…