Duuuh...wanawake wengi wanajitambua bana[emoji848]Nafurahi kusikia hilo mama kumbe ambao mnajitambua bado mpo ni jambo la heri sana
Kaka umeamsha mashetan yng, kale kamluzi ni nyoko kuna mwanangu analo mwnz, nilitoka nalo mwanza to dar and return balaa lake acha kbs na kale kamruzi yan full mzuka, pale igunga kuna waarabu walinipiga mkono wakiuliza bei jamaa akachomoa!Hahahah hilux iwe yenye turbo ile kale kamluzi kake [emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio kama wenzio bana wengi wanazingua humu [emoji28][emoji28][emoji28] ujuaji mwingi wanataka kufanya biashara ya nyama
Tutafute mapesa man[emoji848]Hehehe hatari man
Noma sana hiyo, iki ji short circuit umeisha πππ
Mshahara wa dhambi ni mauti.. dhambi hutunga mimba ya mauti, na wokovu huja na karama ya uzima wa milele.. mbele zipo baraka na laana.. ni kujichagulia tu mwenyewe πππNoma sana best..mji mchafu sana huu
Ukipanda mwili imekula kwako mtoto wa kike[emoji848]
Hii statement nimeipenda..Mshahara wa dhambi ni mauti.. dhambi hutunga mimba ya mauti, na wokovu huja na karama ya uzima wa milele.. mbele zipo baraka na laana.. ni kujichagulia tu mwenyewe [emoji846][emoji846][emoji846]
Yule ni wa kuongozwa sala ya toba.. πππHii statement nimeipenda..
Hili neno inabidi mzee wa utelezi limuingie kabisa, maana yeye ni haelewi kabisa[emoji1787][emoji1787]
Audi RS ndizo gari inayoweza kunitoa kwenye upenzi wa Volvo.
Audi nimetokea kuzielewa kimtindoAudi RS ndizo gari inayoweza kunitoa kwenye upenzi wa Volvo.
πππnyama kizaman skuiz zinaitwa pochi za ngoziππππWanataka kutuuzia nyara za serikali π π π
Gusa unate hako πππMoto wa kuotea mbali
Niliona hii jana, kametulia sana..VW Scirocco View attachment 1851444
Mkuu hizo gari ni za kibabe hiyo Audi kuanzia Q 5 iliyo 2.0TD ikiwa kwenye mwendo inashika bara bara balaa ipo moja nilimletea jamaa mmoja Chuga aisee ni gari..hiyo porsche ndio chaguo langu sema miaka ya karibuni bei zake zimechangamka mno na road inanasa kama sumaku...Vw Touareg vs Audi Q7 vs Porsche Cayenne.
All the best.